Alichokifanya Irene Uwoya kwenye utambulisho wa Swahiliflix ni ushamba na urimbukeni wa pesa

Alichokifanya Irene Uwoya kwenye utambulisho wa Swahiliflix ni ushamba na urimbukeni wa pesa

Anachezea muhimili wa nne wa serikali ngoja wenye vyombo vya habari wa mpige pini (wamfungie) kote ndipo atajua kufanya wema machoni pa wengi ni sawa na kutoa tafsiri ya matusi ya nguo kwenye mji mtakatifu.
 
Hivi kumbe waandishi wana njaa kiasi hiki?Mimi nilikua najua hii ni miongoni mwa kada zenye dau nono hadi nikataka nikatupie hata kacheti ka journalism.
 
Yana huyo Irene Uwoya amedhihirisha kuwa hicho wanachokizindua ni ugoro mtupu.
 
Hela yenyewe hata laki haifiki.

If you want to make it rain, make it rain

Kuna mchizi alimwaga $100,000 Manhattan. Dola mia mia ziwe elfu moja.

That's how you make it rain.

Yani unamwaga hela zinazozidi gharama ya uharibifu wowote utakaotokea.

Ever heard of Big Meech? BMF?

The World Is BMF’s.....
 
Uwoya biashara ya 0713 ............ imemtoa aisee, ndio tukaona jeuri yote ile
Aliruka na mtoto wa Tajiri mmj bongo
Amini nachokwambia kna mshkj mmja namjua naye alikuwa kwenye mchongo wa ku connect alilamba $1000 ya vocha
--- akaenda mkonge krd dzm baada ya siku 3 akawa na prado
Mjini hapaaaaa mambo ni mengi[emoji23][emoji23]
Ukienda last minute utamgumia Hana noma
Sema Kuna siku nlikuwa naenda wanyama hotel
Nlipita pale kwke kulikuwa na mzozo yeye na Janko mmja walipishana kauli khsu mmbo ya kelelee uwoy akamjib sht yule Janki sjui yy anampung Mara Ana Juana na watu matop
Ah mbn yule kijana alienda mlaza mabatini pale
Nashangaa stori haikitokaaa
Mjini kna mambo aise........
Zurulaaa uone mengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Hela yenyewe hata laki haifiki.

If you want to make it rain, make it rain

Kuna mchizi alimwaga $100,000 Manhattan. Dola mia mia ziwe elfu moja.

That's how you make it rain.

Yani unamwaga hela zinazozidi gharama ya uharibifu wowote utakaotokea.
Au alivyofanya askofu arusha
Au yule mthailand wa upanga Tom mining

Ova
 
Back
Top Bottom