Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele

Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba, ikitokea mechi ya USA na yeye, angalau hata jasho laweza kumtoka

Wakati akiendelea kuamini hicho, Anayeaminigi kuwa ni mnyonge wake, alichomfanyia juzi, ni masikitiko

Maandalizi ya kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya balozi zake pale SYRIA yaliyofanywa na Majeshi ya Israel na kuuwa makamanda wengi wa Ki Irani, yamefanyika kwa wiki nzima na siku

Bila ya shaka maandalizi hayo, Irani aliyaandaa na akiamini atakapo fyatua mabomu, Lengo ni kuisambaratisha kabisa Tela Aviv

Kilichotokea, ndio hiki nimekiita kuwa, unayekuwa ukiamini ni mnyonge wako unapotupa ngumi kali halafu akaikwepa, inabidi ujiulize mara mbili mbili

Gharama yote ile iliyotumika na Irani halafu haijaleta dhara lolote, halafu Israel kamdharaaau na hata hana shida naye huku akiendelea kuwatwanga Gaza, ujue hizo ni dharau kubwa sana dhidi ya Irani

IRAN Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi mengine kwa Israel ili angalau ashituke
 
Mkuu yaonekana unapenda sana kuona mataifa yakiwa kwenye mitafaruku ya kurushiana risasi na mabomu eti. Kinachotokea huko usifikirie hakitatugusa sisi, kama ulisoma impacts za 1WW, Great Depression na 2WW kwa upande wa Afrika hautatamani mitafaruku duniani.
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele...
Israel katumia Dola BILION 1.3 kujilinda.

Iran katumia Dola Million Mia Thelathini.

Mashambulizi ya Iran hayakua na lengo la Kuumiza Israel, yalikua na Lengo la Kupima Ulinzi wa Anga wa Israel.

Israel kalindwa zaidi na US, UK ,Franc na Jordan.

Huu mzozo, msiuchukulie kawaida.

Iran karuhusiwa kuishambulia Israel Toka Kwa haohao URUSI NA UCHINA.

Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja.
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele...
Haha mtu anakushambulia na taarifa imetolewa na hayo madude yaliporushwa mtu unajua kabisa sasahivi yanakuja hadi unajua muda gani zitakua zimefika wapi.

Jamaa sana sana alifanya tu psychological warfare kwa ile wiki baadae akatafuta tu kitu cha kumalizia,,,siku zote mwenye nia ya kuangamiza lazima afanye ambush
 
Iran amerusha makombora kwenda Israel huku akitoa taarifa. Ushawahi kuona vita inatolewa taarifa siku kadhaa kabla.

Hao walikua wanatuliza hasira tu za wananchi.
Makombora na drones zaidi ya 300 ndio unaita kutuliza hasira.

Na mleta mada mwongo wewe. Makombora na drones zaidi ya 300 za Iran zimefanikiwa kujeruhi binti mmoja Israel. Unasemaje hakuna madhara. Iran imelipa kisasi cha mabomu mawili hivi yaliyoua maafisa 7 waliokuwa ubalozini.
 
Makombora na drones zaidi ya 300 ndio unaita kutuliza hasira.

Na mleta mada mwongo wewe. Makombora na drones zaidi ya 300 za Iran zimefanikiwa kujeruhi binti mmoja Israel. Unasemaje hakuna madhara. Iran imelipa kisasi cha mabomu mawili hivi yaliyoua maafisa 7 waliokuwa ubalozini.
Hamas alishaonyesha namna njema ya kumshambulia Israel. Alirusha kombora 500 na zaidi bila taarifa. Sasa Iran ipo mbali na Israel kama alitaka kushambulia why hakurusha kutokea Yemen kwa washrika wake? Iran ana makombora ya supersonic why hakurusha hata moja kwenda kusumbua ngome?
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele
...
Kilichojitokeza ni hiki, Israel ilipoishambulia Iran, alijua fika kuwa Iran lipiza Kwa Ukali.
Kwahiyo Israel alichofanya ni kulinda Kwa Nguvu zote anga lake na kuweka Mfumo wa ulinzi standby.
Hata Sasa ulinzi umeimarishwa sana
 
Hamas alishaonyesha namna njema ya kumshambulia Israel. Alirusha kombora 500 na zaidi bila taarifa. Sasa Iran ipo mbali na Israel kama alitaka kushambulia why hakurusha kutokea Yemen kwa washrika wake? Iran ana makombora ya supersonic why hakurusha hata moja kwenda kusumbua ngome?
Hata hilo lingedakwa sababu anajua kuwa anawindwa
 
Mkuu yaonekana unapenda sana kuona mataifa yakiwa kwenye mitafaruku ya kurushiana risasi na mabomu eti. Kinachotokea huko usifikirie hakitatugusa sisi, kama ulisoma impacts za 1WW, Great Depression na 2WW kwa upande wa Afrika hautatamani mitafaruku duniani.
Mimi sikuwaambia wapigane mkuu
 
Makombora na drones zaidi ya 300 ndio unaita kutuliza hasira.

Na mleta mada mwongo wewe. Makombora na drones zaidi ya 300 za Iran zimefanikiwa kujeruhi binti mmoja Israel. Unasemaje hakuna madhara. Iran imelipa kisasi cha mabomu mawili hivi yaliyoua maafisa 7 waliokuwa ubalozini.
Ni binti tu? Bado ni dharau mkuu
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele

Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba, ikitokea mechi ya USA na yeye, angalau hata jasho laweza kumtoka

Wakati akiendelea kuamini hicho, Anayeaminigi kuwa ni mnyonge wake, alichomfanyia juzi, ni masikitiko

Maandalizi ya kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya balozi zake pale SYRIA yaliyofanywa na Majeshi ya Israel na kuuwa makamanda wengi wa Ki Irani, yamefanyika kwa wiki nzima na siku

Bila ya shaka maandalizi hayo, Irani aliyaandaa na akiamini atakapo fyatua mabomu, Lengo ni kuisambaratisha kabisa Tela Aviv

Kilichotokea, ndio hiki nimekiita kuwa, unayekuwa ukiamini ni mnyonge wako unapotupa ngumi kali halafu akaikwepa, inabidi ujiulize mara mbili mbili

Gharama yote ile iliyotumika na Irani halafu haijaleta dhara lolote, halafu Israel kamdharaaau na hata hana shida naye huku akiendelea kuwatwanga Gaza, ujue hizo ni dharau kubwa sana dhidi ya Irani

IRAN Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi mengine kwa Israel ili angalau ashituke
Ungesema walichokifanya "Israel, Jordan, UK, Saudia, USA ni dharau kwa Iran"

Kwasababu hao ndio waliomsaidia Israel kupangua hayo madude 300

Na umejiuliza matokeo ambayo angeyapata Israel kama hayo madude 300 yote yangefanikiwa kutua kwenye ardhi ya Israel kwa angalau 80%
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele...
Kalindwa na nchi ngapi huyo Israel? Unaanzisha ugomvi unaenda kujificha nyuma ya mwenyekiti wa kikao chenu cha ukoo, na bado unapigwa makofi kama kumi, kisha unaenda kulalamika UN, Kumaamaae mna bahati, bila msaada wa US, UK, Fr, na Jordan israel wangekuwa wanakusanya vipande vya rofali mda huu. Huwezi kujisifia kwa hilo
 
Ungesema walichokifanya "Israel, Jordan, UK, Saudia, USA ni dharau kwa Iran"

Kwasababu hao ndio waliomsaidia Israel kupangua hayo madude 300

Na umejiuliza matokeo ambayo angeyapata Israel kama hayo madude 300 yote yangefanikiwa kutua kwenye ardhi ya Israel kwa angalau 80%
Hivi, Israel yupo NATO?
 
Back
Top Bottom