Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

Iran amerusha makombora kwenda Israel huku akitoa taarifa. Ushawahi kuona vita inatolewa taarifa siku kadhaa kabla.

Hao walikua wanatuliza hasira tu za wananchi.

Hapo ndipo uwezo wa Iran ulipoishia.

Israel inaizidi Iran karibia kwa kila kitu, kuanzia uchumi mpaka ubora wa jeshi. Uchumi wa Iran ni mdogo sana ukilinganisha na uchumi wa Israel licha ya kwamba population ya Iran ni kibwa mara 10 ya Israel.

How is Israel's economy compared to Iran?

Comparison In 2022, Israel ranked 19 in the Economic Complexity Index (ECI 1.17), and 49 in total exports ($76.9B). That same year, Iran ranked 58 in the Economic Complexity Index (ECI 0.071), and 86 in total exports ($15.9B).
 
Israel katumia Dola BILION 1.3 kujilinda.

Iran katumia Dola Million Mia Thelathini.

Mashambulizi ya Iran hayakua na lengo la Kuumiza Israel, yalikua na Lengo la Kupima Ulinzi wa Anga wa Israel.

Israel kalindwa zaidi na US, UK ,Franc na Jordan.



Huuu mzozo, msiuchukulie kawaida.

Iran karuhusiwa kuishambulia Israel Toka Kwa haohao URUSI NA UCHINA.

Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja.
Mmmm! Nani kakudanganya - Eti "Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja??."
Ngoja hao walio kwenye hayo maeneo matatu wajaribu kuliamsha ndipo utakapojua na kujiridhisha kama Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja au wanao huo uwezo.
Mbona Israeli anapigana na Hizbula(Lebanon), HAMAS (Palestina), Wahauti na sasa Iran ilhali Israeli ni kanchi kamoja tena kadogo tu? Tumwombe sana Mungu apishie mbali vita hiyo isitokee. Hali itakuwa sio poa kabisa.😵
 
Israel katumia Dola BILION 1.3 kujilinda.

Iran katumia Dola Million Mia Thelathini.

Mashambulizi ya Iran hayakua na lengo la Kuumiza Israel, yalikua na Lengo la Kupima Ulinzi wa Anga wa Israel.

Israel kalindwa zaidi na US, UK ,Franc na Jordan.



Huuu mzozo, msiuchukulie kawaida.

Iran karuhusiwa kuishambulia Israel Toka Kwa haohao URUSI NA UCHINA.

Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja.
Mmmm! Nani kakudanganya - Eti "Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja??."
Ngoja hao walio kwenye hayo maeneo matatu wajaribu kuliamsha ndipo utakapojua na kujiridhisha kama Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja au wanao huo uwezo.
Mbona Israeli anapigana na Hizbula(Lebanon), HAMAS (Palestina), Wahauti na sasa Iran ilhali Israeli ni kanchi kamoja tena kadogo tu? Tumwombe sana Mungu apishie mbali vita hiyo isitokee. Hali itakuwa sio poa kabisa.😵
 
Israel katumia Dola BILION 1.3 kujilinda.

Iran katumia Dola Million Mia Thelathini.

Mashambulizi ya Iran hayakua na lengo la Kuumiza Israel, yalikua na Lengo la Kupima Ulinzi wa Anga wa Israel.

Israel kalindwa zaidi na US, UK ,Franc na Jordan.



Huuu mzozo, msiuchukulie kawaida.

Iran karuhusiwa kuishambulia Israel Toka Kwa haohao URUSI NA UCHINA.

Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja.
Mmmm! Nani kakudanganya - Eti "Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja??."
Ngoja hao walio kwenye hayo maeneo matatu wajaribu kuliamsha ndipo utakapojua na kujiridhisha kama Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja au wanao huo uwezo.
Mbona Israeli anapigana na Hizbula(Lebanon), HAMAS (Palestina), Wahauti na sasa Iran ilhali Israeli ni kanchi kamoja tena kadogo tu? Tumwombe sana Mungu apishie mbali vita hiyo isitokee. Hali itakuwa sio poa kabisa.😵
 
Hapo ndipo uwezo wa Iran ulipoishia.

Israel inaizidi Iran karibia kwa kila kitu, kuanzia uchumi mpaka ubora wa jeshi. Uchumi wa Iran ni mdogo sana ukilinganisha na uchumi wa Israel licha ya kwamba population ya Iran ni kibwa mara 10 ya Israel.

How is Israel's economy compared to Iran?

Comparison In 2022, Israel ranked 19 in the Economic Complexity Index (ECI 1.17), and 49 in total exports ($76.9B). That same year, Iran ranked 58 in the Economic Complexity Index (ECI 0.071), and 86 in total exports ($15.9B).
Unaizungumzia Iran ambayo imekua ikiwekewa vikwazo toka 1979 mzee.
Unaifananishaje na Israel ambayo inasaidiwa na USA na EU hadi katika favour za kibiashara!?
Embu kuwa serious mkuu.
Hivi ulishajiuliza kama Israel ingewekewa vikwazo vya kiuchumi kama Iran ingekua na hali gani!?

Kihistoria ya vita Iran iko vizuri katika medani ya vita kuliko Israel.
Fuatilia toka inaitwa himaya ya Persi(Anatolia) mpaka miaka ya 1979 utawala wa Khomeini unaanzishwa.
 
Israel katumia Dola BILION 1.3 kujilinda.

Iran katumia Dola Million Mia Thelathini.

Mashambulizi ya Iran hayakua na lengo la Kuumiza Israel, yalikua na Lengo la Kupima Ulinzi wa Anga wa Israel.

Israel kalindwa zaidi na US, UK ,Franc na Jordan.



Huuu mzozo, msiuchukulie kawaida.

Iran karuhusiwa kuishambulia Israel Toka Kwa haohao URUSI NA UCHINA.

Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja.
Mmmm! Nani kakudanganya - Eti "Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja??."
Ngoja hao walio kwenye hayo maeneo matatu wajaribu kuliamsha ndipo utakapojua na kujiridhisha kama Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja au wanao huo uwezo.
Mbona Israeli anapigana na Hizbula(Lebanon), HAMAS (Palestina), Wahauti na sasa Iran ilhali Israeli ni kanchi kamoja tena kadogo tu? Tumwombe sana Mungu apishie mbali vita hiyo isitokee. Hali itakuwa sio poa kabisa.😵
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele

Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba, ikitokea mechi ya USA na yeye, angalau hata jasho laweza kumtoka

Wakati akiendelea kuamini hicho, Anayeaminigi kuwa ni mnyonge wake, alichomfanyia juzi, ni masikitiko

Maandalizi ya kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya balozi zake pale SYRIA yaliyofanywa na Majeshi ya Israel na kuuwa makamanda wengi wa Ki Irani, yamefanyika kwa wiki nzima na siku

Bila ya shaka maandalizi hayo, Irani aliyaandaa na akiamini atakapo fyatua mabomu, Lengo ni kuisambaratisha kabisa Tela Aviv

Kilichotokea, ndio hiki nimekiita kuwa, unayekuwa ukiamini ni mnyonge wako unapotupa ngumi kali halafu akaikwepa, inabidi ujiulize mara mbili mbili

Gharama yote ile iliyotumika na Irani halafu haijaleta dhara lolote, halafu Israel kamdharaaau na hata hana shida naye huku akiendelea kuwatwanga Gaza, ujue hizo ni dharau kubwa sana dhidi ya Irani

IRAN Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi mengine kwa Israel ili angalau ashituke
mabomu machache ndo yalifika israle na bado yaka mhimenyesha air defence aslilimia 70 yalichujwa na USA UK, Iraq Jordan saudia Arabia, pamoja na misri
 
Mmmm! Nani kakudanganya - Eti "Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja??."
Ngoja hao walio kwenye hayo maeneo matatu wajaribu kuliamsha ndipo utakapojua na kujiridhisha kama Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja au wanao huo uwezo.
Mbona Israeli anapigana na Hizbula(Lebanon), HAMAS (Palestina), Wahauti na sasa Iran ilhali Israeli ni kanchi kamoja tena kadogo tu? Tumwombe sana Mungu apishie mbali vita hiyo isitokee. Hali itakuwa sio poa kabisa.😵
Unaizungumzia Israel ambayo Hamas tu alipoivamia Oktoba 7 US navy ilituma manowari tatu na askari 2k kwaajili ya kusaidiwa dhidi ya Hamas!?
Au unaizungumzia Israel ipi?
EU na NATO sasa hivi washachoshwa na vita,mathalan Ukraine mataifa kibao mabunge yao yalionesha kupinga kusapotiwa Ukraine katika hiyo vita.
Vita gharama mzee usichukulie poa.
 
Makombora na drones zaidi ya 300 ndio unaita kutuliza hasira.

Na mleta mada mwongo wewe. Makombora na drones zaidi ya 300 za Iran zimefanikiwa kujeruhi binti mmoja Israel. Unasemaje hakuna madhara. Iran imelipa kisasi cha mabomu mawili hivi yaliyoua maafisa 7 waliokuwa ubalozini.
Wewe naye ........yaani unapima majenerali 3 na viaskari kamanda kadhaa.........una compare na binti wa miaka 10 kweli? Aliyekupereka shule kala hasara
 
Israel katumia Dola BILION 1.3 kujilinda.

Iran katumia Dola Million Mia Thelathini.

Mashambulizi ya Iran hayakua na lengo la Kuumiza Israel, yalikua na Lengo la Kupima Ulinzi wa Anga wa Israel.

Israel kalindwa zaidi na US, UK ,Franc na Jordan.



Huuu mzozo, msiuchukulie kawaida.

Iran karuhusiwa kuishambulia Israel Toka Kwa haohao URUSI NA UCHINA.

Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja.
Mmmm! Nani kakudanganya - Eti "Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja??."
Ngoja hao walio kwenye hayo maeneo matatu wajaribu kuliamsha ndipo utakapojua na kujiridhisha kama Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja au wanao huo uwezo.
Mbona Israeli anapigana na Hizbula(Lebanon), HAMAS (Palestina), Wahauti na sasa Iran ilhali Israeli ni kanchi kamoja tena kadogo tu? Tumwombe sana Mungu apishie mbali vita hiyo isitokee. Hali itakuwa sio poa kabisa.😵
 
Tukumbushane tu kwamba, baada ya vita ya 1973, hakuna nchi nikimmanisha (Sovereign state) imejaribu kuishambulia Israel. Again, hapa tunaondoa (Hamas na Hizbollah) ambao wamekuwa wakikabiliana na Israel mara kwa mara.

Kwa hiyo, hili shambulizi la Iran kwa Israel, limeondoa ile dhana iliyojengeka miongoni mwa Waisrael kwamba hawagusiki (ndio wababe) peke yao pale Ghuba ya Uajemi. Ile dhana kwamba hakuna wa kujaribu imeishaondoka. Kazi imebaki kwa U. S kuendelea kuilinda Israel kwa gharama yoyote.

Mimi namuonea huruma yule mzee Baiden. Sidhani kama anapata usingizi. Na uchaguzi wa raisi unakuja, ni dhahiri kwamba hatapita. Afadhali mwehu Trump aingie labda anaweza ku- control mambo. Hakuna anaemsikiliza Joe Biden, haswa Netanyahu.
Mzee anapata wakati mgumu sana na Israeli kila aikisimama mbele ya camera watampa kiharusi mda si mrefu
 
Hamas alishaonyesha namna njema ya kumshambulia Israel. Alirusha kombora 500 na zaidi bila taarifa. Sasa Iran ipo mbali na Israel kama alitaka kushambulia why hakurusha kutokea Yemen kwa washrika wake?
Israel iko kwenye readiness ya hali ya juu ndio maana ndegevita hazikauki angani zinafanya patrol, likizo za marubani wa kijeshi zote zimefutwa, missile defense forces zipo kwenye attention. Baada ya kushambulia ubalozi Israel ilijua kutakuwepo na majibu ikajipanga. Iran haikuwahi sema itapiga wapi na wapi na itapiga lini. Kama una ushahidi leta. Iran ilisema italipa kisasi, haikusema kivipi.

Ni intelligence ya Israel iliyoonyesha watarusha maana maandalizi yanaonekana, na missile warning systems zilionyesha tangu makombora yanafyatuliwa Iran hayajatoka kwenye anga lao. Engagement ikafanywa na jets za Israel, AD mbalimbali, melivita kama Saar 6, Patriot na kidogo silaha za washirika.

Yemen kuna makombora uchwara ya Iran. Zile cruise missiles zinadondoshwa hata na Apache helicopter. Silaha nzito za Iran hazipo Yemen wala Syria, na hata uko Yemen zimerushwa kutokea ila zimedondoshwa. Si ndio hizo zimepita Saudi Arabia.
Iran ana makombora ya supersonic why hakurusha hata moja kwenda kusumbua ngome?
Almost makombora yote ya Iran ni supersonic. Unataka supersonic yapi tena?
Kwahiyo hayo aliyorusha sio kitu kwa Israel, unataka mengine tena. Kumbe Iran ana makombora ya kinyonge hivyo. Omba Israel isirushe makombora uone precision na Iran haambulii kudungua kombora. Ngoja waamue hawa majamaa
1000342865.jpg
 
Iran amerusha makombora kwenda Israel huku akitoa taarifa. Ushawahi kuona vita inatolewa taarifa siku kadhaa kabla.

Hao walikua wanatuliza hasira tu za wananchi.
White House imekanusha

Coordinator for the U.S. National Security Council, John Kirby stated today that despite some “Reports” the Iranian Government provided No Early Warning to Israel or the United States about their Attack on Saturday, and that the Attack was Clearly Aimed to not Fail causing Serious Damage to the Israeli Air Force.
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele

Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba, ikitokea mechi ya USA na yeye, angalau hata jasho laweza kumtoka

Wakati akiendelea kuamini hicho, Anayeaminigi kuwa ni mnyonge wake, alichomfanyia juzi, ni masikitiko

Maandalizi ya kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya balozi zake pale SYRIA yaliyofanywa na Majeshi ya Israel na kuuwa makamanda wengi wa Ki Irani, yamefanyika kwa wiki nzima na siku

Bila ya shaka maandalizi hayo, Irani aliyaandaa na akiamini atakapo fyatua mabomu, Lengo ni kuisambaratisha kabisa Tela Aviv

Kilichotokea, ndio hiki nimekiita kuwa, unayekuwa ukiamini ni mnyonge wako unapotupa ngumi kali halafu akaikwepa, inabidi ujiulize mara mbili mbili

Gharama yote ile iliyotumika na Irani halafu haijaleta dhara lolote, halafu Israel kamdharaaau na hata hana shida naye huku akiendelea kuwatwanga Gaza, ujue hizo ni dharau kubwa sana dhidi ya Irani

IRAN Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi mengine kwa Israel ili angalau ashituke
Ulienda kuangalia kweli kama hakuna madhara?
 
Israel iko kwenye readiness ya hali ya juu ndio maana ndegevita hazikauki angani zinafanya patrol, likizo za marubani wa kijeshi zote zimefutwa, missile defense forces zipo kwenye attention. Baada ya kushambulia ubalozi Israel ilijua kutakuwepo na majibu ikajipanga. Iran haikuwahi sema itapiga wapi na wapi na itapiga lini. Kama una ushahidi leta. Iran ilisema italipa kisasi, haikusema kivipi.

Ni intelligence ya Israel iliyoonyesha watarusha maana maandalizi yanaonekana, na missile warning systems zilionyesha tangu makombora yanafyatuliwa Iran hayajatoka kwenye anga lao. Engagement ikafanywa na jets za Israel, AD mbalimbali, melivita kama Saar 6, Patriot na kidogo silaha za washirika.

Yemen kuna makombora uchwara ya Iran. Zile cruise missiles zinadondoshwa hata na Apache helicopter. Silaha nzito za Iran hazipo Yemen wala Syria, na hata uko Yemen zimerushwa kutokea ila zimedondoshwa. Si ndio hizo zimepita Saudi Arabia.

Almost makombora yote ya Iran ni supersonic. Unataka supersonic yapi tena?
Kwahiyo hayo aliyorusha sio kitu kwa Israel, unataka mengine tena. Kumbe Iran ana makombora ya kinyonge hivyo. Omba Israel isirushe makombora uone precision na Iran haambulii kudungua kombora. Ngoja waamue hawa majamaaView attachment 2964610
Upunguze chai mkuu.
Iran makombora alotumia ni ya ujazo mwepesi na ni unguided missiles ya medium range.
Bado ana makombora ambayo mazito na ni magumu ku intercept baadhi anayatumia Hizbollah na ndio aliyoyatumia February dhidi ya Kambi za Israel Kaskazini mwa Israel.
Usim underestimate hivyo Iran.
 
Back
Top Bottom