Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

Aongeze moto zaidi mkuu, maana bado ni dharau
 
Tukumbushane tu kwamba, baada ya vita ya 1973, hakuna nchi nikimmanisha (Sovereign state) imejaribu kuishambulia Israel. Again, hapa tunaondoa (Hamas na Hizbollah) ambao wamekuwa wakikabiliana na Israel mara kwa mara.

Kwa hiyo, hili shambulizi la Iran kwa Israel, limeondoa ile dhana iliyojengeka miongoni mwa Waisrael kwamba hawagusiki (ndio wababe) peke yao pale Ghuba ya Uajemi. Ile dhana kwamba hakuna wa kujaribu imeishaondoka. Kazi imebaki kwa U. S kuendelea kuilinda Israel kwa gharama yoyote.

Mimi namuonea huruma yule mzee Baiden. Sidhani kama anapata usingizi. Na uchaguzi wa raisi unakuja, ni dhahiri kwamba hatapita. Afadhali mwehu Trump aingie labda anaweza ku- control mambo. Hakuna anaemsikiliza Joe Biden, haswa Netanyahu.
 
Aongeze moto zaidi mkuu, maana bado ni dharau
Dharau gani sasa hapo, wewe kwa akili yako one on one, Israel anamuweza Iran?

Hint moja tuu, Israel hamna anachoweza kufanya bila kumtumia US kama shield na financier, Iran akimchapa Israel, ujue kamchapa US, UK, Fr. na wengineo
 
Mkuu, Iran kafanya mashambulizi Israel..... au yameishia njiani?
 
Mnapoambiwa Mungu wa Yakobo ndiye Mungu huwa hata hamuelewi! Hutenda kwa namna ya ajabu sana!
 
Dharau gani sasa hapo, wewe kwa akili yako one on one, Israel anamuweza Iran?

Hint moja tuu, Israel hamna anachoweza kufanya bila kumtumia US kama shield na financier, Iran akimchapa Israel, ujue kamchapa US, UK, Fr. na wengineo
Umeona hapo nimeandika anamuweza au yeye Iran ndo anajiuliza ikiwa anamuweza, maana si kwa kudharirika huko
 
Hayo mataifa wanajipendekeza tu, maana hawakuombwa msaada wowote na Israel...
 
Waliombwa wakalinde?
 
Naunga mkono hoja
 
Humu wengi ni wajinga wajinga yaani MTU Yuko kimbiji au nyamadoke na mingine kolomije sasa anavyoeleze utafikiri ndo msemaji WA majeshi kumbe na yeye kasoma au kasikia kijiweni
 
Hawa Iran hawana mapenzi na watu wao. Tusubiri muda utaongea
 
Na china?

Yule mjanja mjanja sana hawezi kutia jeshi lake yule kushambulia nchi yoyote zaidi ya vitisho tu
China ni Kekundu keusi.
China inayoweza kupigana vita ni ile China kwenye movies tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…