mtu anatoka ulaya ila mabom hayajafika ila bado unashangilia tuKalindwa na nchi ngapi huyo Israel? Unaanzisha ugomvi unaenda kujificha nyuma ya mwenyekiti wa kikao chenu cha ukoo, na bado unapigwa makofi kama kumi, kisha unaenda kulalamika UN, Kumaamaae mna bahati, bila msaada wa US, UK, Fr, na Jordan israel wangekuwa wanakusanya vipande vya rofali mda huu. Huwezi kujisifia kwa hilo
Yaani Iran inatia huruma makombora yote 300 yanaishia tu kujeruhi katoto kadogo kalikokuwa kanacheza kombolela uaniKabinti kadogo 14 yrs kalijeruhiwa na mabaki ya drone iliyotunguliwa. Kalipata huduma za kiafya muda ule ule na kurudi mtaani kucheza "rede" na wenzie as if nothing happened!
Da ila ila we jamaa, Imenidi tu nicheke πππππ.Na mleta mada mwongo wewe. Makombora na drones zaidi ya 300 za Iran zimefanikiwa kujeruhi binti mmoja Israel. .
Taarifa ilikuwa lazima itolewe kwa kuwa mataifa ya Jordan,Iraq Saudi Arabia anga lao lilitumika kupitisha makombaora na drones , lolote linaweza kutokea wakati kombora likiwa safarini na usipotoa taarifa linakuwa shambulizi dhidi ya nchi husika.Hoja ni je yasingedunguliwa ingekuwaje?Iran amerusha makombora kwenda Israel huku akitoa taarifa. Ushawahi kuona vita inatolewa taarifa siku kadhaa kabla.
Hao walikua wanatuliza hasira tu za wananchi.
Israel wako njiani na wamesema Iran ajiandae maana watamvuruga haswa safari hii.Sikuwa na wasiwasi nilijua kipigo kikali kutafuata vinu vya kinyuklia vya Iran viangamizwe
Mkuu, kupigwa kwenyewe ndio huko?Dharau ni kupewa taarifa in next 72hrs nakushambulia na nitapiga air base jiandae wewe na marafiki zako na pia wakati nakupiga natumia drone za mwendo wa polepole ili dunia nzima na vyombo vyote duniani vionyeshe na wananchi wako wajue wanakuja kupigwa ,hii stress na psychological war imemtesa zaidi muisrael kuliko hata mlipuko wa hizo missile kwenye psychological warfare wairan ni magrand master .
Eti unatamani kabisa warudie strikes.. shameKwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani
Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele
Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba, ikitokea mechi ya USA na yeye, angalau hata jasho laweza kumtoka
Wakati akiendelea kuamini hicho, Anayeaminigi kuwa ni mnyonge wake, alichomfanyia juzi, ni masikitiko
Maandalizi ya kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya balozi zake pale SYRIA yaliyofanywa na Majeshi ya Israel na kuuwa makamanda wengi wa Ki Irani, yamefanyika kwa wiki nzima na siku
Bila ya shaka maandalizi hayo, Irani aliyaandaa na akiamini atakapo fyatua mabomu, Lengo ni kuisambaratisha kabisa Tela Aviv
Kilichotokea, ndio hiki nimekiita kuwa, unayekuwa ukiamini ni mnyonge wako unapotupa ngumi kali halafu akaikwepa, inabidi ujiulize mara mbili mbili
Gharama yote ile iliyotumika na Irani halafu haijaleta dhara lolote, halafu Israel kamdharaaau na hata hana shida naye huku akiendelea kuwatwanga Gaza, ujue hizo ni dharau kubwa sana dhidi ya Irani
IRAN Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi mengine kwa Israel ili angalau ashituke