Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele
Kwwani wanapimana nidhamu?
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele

Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba, ikitokea mechi ya USA na yeye, angalau hata jasho laweza kumtoka

Wakati akiendelea kuamini hicho, Anayeaminigi kuwa ni mnyonge wake, alichomfanyia juzi, ni masikitiko

Maandalizi ya kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya balozi zake pale SYRIA yaliyofanywa na Majeshi ya Israel na kuuwa makamanda wengi wa Ki Irani, yamefanyika kwa wiki nzima na siku

Bila ya shaka maandalizi hayo, Irani aliyaandaa na akiamini atakapo fyatua mabomu, Lengo ni kuisambaratisha kabisa Tela Aviv

Kilichotokea, ndio hiki nimekiita kuwa, unayekuwa ukiamini ni mnyonge wako unapotupa ngumi kali halafu akaikwepa, inabidi ujiulize mara mbili mbili

Gharama yote ile iliyotumika na Irani halafu haijaleta dhara lolote, halafu Israel kamdharaaau na hata hana shida naye huku akiendelea kuwatwanga Gaza, ujue hizo ni dharau kubwa sana dhidi ya Irani

IRAN Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi mengine kwa Israel ili angalau ashituke
Nguvu kubwa inayotumika kuonesha hakuna madhara makubwa yaliyotokea,ni dalili ya kuficha aibu ya mataifa nane makubwa kufeli kuzuia makombora ya Iran.
Pia wale mayahudi wa kupaka wa humi JF kuficha aibu yao kwa madai yao kuwa Mayahudi hawagusiki
 
Hivi yule babu aliyesema "dont",alikuwa na maana gani?
 
Fattah-1 ni hypersonic missile? Yani ukiamua kuita missile yako ni hypersonic basi kila mtu akubali. Mbona Iran ilidai ina makombora ya kuharibu Israel na ikarusha zaidi ya 300 na hamna kitu imefanya
We dogo kama Fattah 1 c hypersonic we tuambie ulikuwa engineers wa hizo missiles au 😄

We mwambie Israel akapige basi Iran. Kelele tu kama mlevi wa gongo.
 
Kilichojitokeza ni hiki, Israel ilipoishambulia Iran, alijua fika kuwa Iran lipiza Kwa Ukali.
Kwahiyo Israel alichofanya ni kulinda Kwa Nguvu zote anga lake na kuweka Mfumo wa ulinzi standby.
Hata Sasa ulinzi umeimarishwa sana
Israel hana uwezo wa kujilinda wala vita
Hata kupigana na wanagambo wa hamas marekani alipeleka mimeli na midege ya kivita kumsaidia
That group of europeans is overrated
 
Nguvu kubwa inayotumika kuonesha hakuna madhara makubwa yaliyotokea,ni dalili ya kuficha aibu ya mataifa nane makubwa kufeli kuzuia makombora ya Iran.
Pia wale mayahudi wa kupaka wa humi JF kuficha aibu yao kwa madai yao kuwa Mayahudi hawagusiki
Tuonyeshe ni madhara gani yametokana na hayo makombora. Israel imeua maafisa 7 wa jeshi wakipanga ugaidi, Iran imefanya madhara gani.
 
Mtaongea mengi Iran kaweka history kwanza aliwajulisha kabla ya masaa 72 kuwa atapiga wapi US, UK, France na Jordan, Egypt, UAE, Saud Arabia wakawa nazingoja hizo drones na Missiles pale Jordan.

Hata Israel alituma ndege zake zikawa zinazingojea drones na Missiles kwenye ardhi ya Jorda na zingine ndani ya Israel na juu ya hayo yote Iran kapiga target zake 💯
 
Kobazi mbona jazba sana, shusha pumzi huu mchezo hauhitaji hasira.

Mapipa yenu yaliyoshushwa haya hapa, mlikua mkiyasifu eti hayawezi kuzuilika kumbe hakuna kitu. Aiseee kombora kama Costa ya abiria halafu linaishia kujeruhi mcheza rede wa kiyahudi lazima Uwe jazba.

View: https://youtu.be/ADbQlXM0oGY?si=vXtMcdgPlJohSNbq

BADO HUJASEMA😂😂😂

Ndio maana nimekuita punguani maana huna akili.
Ww umesema kuwa Iran haijauwa mtu hata mmoja na ndio maana nikakuuliza kusuhu hayo makombora yaliyo piga kambi ya anga vipi Iran ingeyaelekeza kwenye makazi ya watu yangeshindwa kuuwa ?ww badala ujibu swali unatikisa matako tu.
Nilicho taka kukwambia ni kuwa Iran hakuwa na nia ya kuuwa watu kwasababu kuuwa watu hakukuwa na masilahi kwake na ndio maana alilenga kambi ya kijeshi ambayo alikuwa anajua kabisa kuwa ni tupu haina mtu hata mmoja,hayo makombora 7 ambayo Israel inadai ndo yaliyo penya yangelenga makazi ya watu yangeuwa si chini ya watu 200 hivyo punguza upunguani.

Hayo makombora ambayo yameshindwa kuuwa watu ndo yalizifanya nchi zaidi ya 5 kuungana ili waweze kuya dhibiti na bado mengine yakawashinda.

Hayo makombora yasiyo weza kuuwa ndo yamefanya mpaka sasa Netapaka na baraza lake la vichaa kufanya vikao zaidi ya mara 5 ili kujadili namna ya kulipiza kisasi lakini kila kikao wanatoka bila maafikiano maana kila njia yanayo taka kuitumia kulipiza kisasi wakuta ni ya moto.

Hayo makombora ndo yamefanya Israel ikimbilie umoja wa mataifa kuomba Iran iwekewe vikwazo vya teknolojia ya makombora na drone.

Nyinyi kabla Iran haijashambulia mlikuwa mnashinda humu mnatapika mavi na kusema eti Iran imewekewa mtego kijichanganya ndo mwisho wake lakini sasa hivi mmebadilisha maneno kama malaya aliye pata mteja mpya.
 
Iran ilirusha ballistic missiles 120 na zote zikatunguliwa.😂😂😂

Ila Israel wanapenda ugomvi imagine walijiandaa miaka mingapi kuunda hii mifumo
 
Tuonyeshe ni madhara gani yametokana na hayo makombora. Israel imeua maafisa 7 wa jeshi wakipanga ugaidi, Iran imefanya madhara gani.
Picha zimeanza kuvuja.
 

Attachments

  • downloadfile-1.jpg
    downloadfile-1.jpg
    227.4 KB · Views: 3
Iran ilirusha ballistic missiles 120 na zote zikatunguliwa.😂😂😂

Ila Israel wanapenda ugomvi imagine walijiandaa miaka mingapi kuunda hii mifumo
Kama yamezuiwa yote na hii kambi ya mashoga imeharibiwa na mkuki wa baba yako?
 

Attachments

  • downloadfile-1.jpg
    downloadfile-1.jpg
    227.4 KB · Views: 3
Mkuu yaonekana unapenda sana kuona mataifa yakiwa kwenye mitafaruku ya kurushiana risasi na mabomu eti. Kinachotokea huko usifikirie hakitatugusa sisi, kama ulisoma impacts za 1WW, Great Depression na 2WW kwa upande wa Afrika hautatamani mitafaruku duniani.
Great mind.
Wisdom.
 
Iran ilirusha ballistic missiles 120 na zote zikatunguliwa.😂😂😂

Ila Israel wanapenda ugomvi imagine walijiandaa miaka mingapi kuunda hii mifumo
Mifumo inaandaliwa kwaajili ya ulinzi especially unapokuwa na mitafaruku na mataifa chokozi, mataifa yanayozalisha silaha ili nayenyewe yapate utukufu kijeshi duniani.
 
Israel katumia Dola BILION 1.3 kujilinda.

Iran katumia Dola Million Mia Thelathini.

Mashambulizi ya Iran hayakua na lengo la Kuumiza Israel, yalikua na Lengo la Kupima Ulinzi wa Anga wa Israel.

Israel kalindwa zaidi na US, UK ,Franc na Jordan.

Huu mzozo, msiuchukulie kawaida.

Iran karuhusiwa kuishambulia Israel Toka Kwa haohao URUSI NA UCHINA.

Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja.
Uwezo upo ila manufaq au shabaha ni nini? Kesho ukiona vinu vya nyuklia vya iran vina waka moto basi jua hiki kilikuwa kina tafutwa na kwa siku nyingi na nchi zq magharibi na wame kibata kupitia mtoto wao aliyekaa kimkakati na kwa mabavu mashariki yq kati
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele

Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba, ikitokea mechi ya USA na yeye, angalau hata jasho laweza kumtoka

Wakati akiendelea kuamini hicho, Anayeaminigi kuwa ni mnyonge wake, alichomfanyia juzi, ni masikitiko

Maandalizi ya kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya balozi zake pale SYRIA yaliyofanywa na Majeshi ya Israel na kuuwa makamanda wengi wa Ki Irani, yamefanyika kwa wiki nzima na siku

Bila ya shaka maandalizi hayo, Irani aliyaandaa na akiamini atakapo fyatua mabomu, Lengo ni kuisambaratisha kabisa Tela Aviv

Kilichotokea, ndio hiki nimekiita kuwa, unayekuwa ukiamini ni mnyonge wako unapotupa ngumi kali halafu akaikwepa, inabidi ujiulize mara mbili mbili

Gharama yote ile iliyotumika na Irani halafu haijaleta dhara lolote, halafu Israel kamdharaaau na hata hana shida naye huku akiendelea kuwatwanga Gaza, ujue hizo ni dharau kubwa sana dhidi ya Irani

IRAN Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi mengine kwa Israel ili angalau ashituke
Dharau ni kupewa taarifa in next 72hrs nakushambulia na nitapiga air base jiandae wewe na marafiki zako na pia wakati nakupiga natumia drone za mwendo wa polepole ili dunia nzima na vyombo vyote duniani vionyeshe na wananchi wako wajue wanakuja kupigwa ,hii stress na psychological war imemtesa zaidi muisrael kuliko hata mlipuko wa hizo missile kwenye psychological warfare wairan ni magrand master .
 
Tusishabikie vita ndugu zangu Watanzania.

Supply ikikata huko duniani shida ni kwetu, maana Kwa utegemezi HATUJAMBO!
lzm tupitie matatizo ili tuanze na kuwa na akili ya kujitegemea , matatizo hayakuui ila yanakujenga
 
Back
Top Bottom