Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

Nyinyi kwa kubadili maneno si mnajulikana?
Kabla hajashambulia maneno yalikuwa ni akirusha hata jiwe ndani ya Israel ndo mwisho wa Ayatulla maneno yakageuka yakawa hakuna kombora lililo vuka kuingia Israel lakini wakati huwo wanasifu ulinzi wa Israel yaani taafulani tupu ili mjifariji.
Tujifariji kwa lipi.
Dunia nzima imeshuhudia jinsi mikombora ilivyokua ikishushwa kama nzige, tena yale makombora mliyokua mkiyasifu kila siku eti hayazuiliki.

Israel iliua majenerali 7 wa ngazi za juu wa iran, je Iran imeua nani Israel?!
 
Tujifariji kwa lipi.
Dunia nzima imeshuhudia jinsi mikombora ilivyokua ikishushwa kama nzige, tena yale makombora mliyokua mkiyasifu kila siku eti hayazuiliki.

Israel iliua majenerali 7 wa ngazi za juu wa iran, je Iran imeua nani Israel?!

Ww jamaa kumbe kichwani ni mtupu kabisa , Zaidi ya wiki 2 Iran anatangaza kulipiza kisasi na bado Iran kawapa taarifa masaa 72 kabla ya shambulio kwa hiyo ulitegemea wanajeshi na makamanda wa Israel wangekaa kusubiri makombora ya Iran yaje yawauwe?

Vipi hayo asilimia 1 ya makombora mnayodai ndo yalipenya vipi kama Iran isinge yaelekeza kwenye uwanja ndege wa kijeshi badala yake ingeyaelekeza kwenye makazi ya watu yangeshindwa kuuwa?
Ww jamaa mbona unaongea kama umekatwa kichwa?

Au unadhani jeshi la Iran linafanya mambo kama vichaa kama jeshi la Israel linalo uwa watoto ndani ya shule na hospital?

Ww unadhani Marekani anaye izuia Israel isithubutu kuishambulia Iran hana akili kama ww?,ana juwa ni kipi kitakacho mpata Israel baada ya kufanya upuuzi huo.
 
Mzee anapata wakati mgumu sana na Israeli kila aikisimama mbele ya camera watampa kiharusi mda si mrefu
Yaani mjuu, Mzee Baiden anapitia kipindi kigumu sana. Russia anamtoa kamasi kule Ukraine, halafu Nyatanahu anaanzisha balaa lingine huko Middle East. Sijui hata kama anapata usingizi hapo alipo.
 
Mkuu, Iran kafanya mashambulizi Israel..... au yameishia njiani?
Mashambulizi yamezuiliwa na mitambo ya Radar ya Israel na Marekani (Iron Dome na David's Sling). Hayakuleta madhara yoyote kwa Israel. Nadhani Iran alikuwa anatest zari aone jinsi gani anga la Muyahudi linavyolindwa.
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele

Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba, ikitokea mechi ya USA na yeye, angalau hata jasho laweza kumtoka

Wakati akiendelea kuamini hicho, Anayeaminigi kuwa ni mnyonge wake, alichomfanyia juzi, ni masikitiko

Maandalizi ya kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya balozi zake pale SYRIA yaliyofanywa na Majeshi ya Israel na kuuwa makamanda wengi wa Ki Irani, yamefanyika kwa wiki nzima na siku

Bila ya shaka maandalizi hayo, Irani aliyaandaa na akiamini atakapo fyatua mabomu, Lengo ni kuisambaratisha kabisa Tela Aviv

Kilichotokea, ndio hiki nimekiita kuwa, unayekuwa ukiamini ni mnyonge wako unapotupa ngumi kali halafu akaikwepa, inabidi ujiulize mara mbili mbili

Gharama yote ile iliyotumika na Irani halafu haijaleta dhara lolote, halafu Israel kamdharaaau na hata hana shida naye huku akiendelea kuwatwanga Gaza, ujue hizo ni dharau kubwa sana dhidi ya Irani

IRAN Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi mengine kwa Israel ili angalau ashituke
Iran baba wa ugaidi duniani amevuna aibu kwa lile shambulio la juzi
 
Ww jamaa kumbe kichwani ni mtupu kabisa , Zaidi ya wiki 2 Iran anatangaza kulipiza kisasi na bado Iran kawapa taarifa masaa 72 kabla ya shambulio kwa hiyo ulitegemea wanajeshi na makamanda wa Israel wangekaa kusubiri makombora ya Iran yaje yawauwe?

Vipi hayo asilimia 1 ya makombora mnayodai ndo yalipenya vipi kama Iran isinge yaelekeza kwenye uwanja ndege wa kijeshi badala yake ingeyaelekeza kwenye makazi ya watu yangeshindwa kuuwa?
Ww jamaa mbona unaongea kama umekatwa kichwa?

Au unadhani jeshi la Iran linafanya mambo kama vichaa kama jeshi la Israel linalo uwa watoto ndani ya shule na hospital?

Ww unadhani Marekani anaye izuia Israel isithubutu kuishambulia Iran hana akili kama ww?,ana juwa ni kipi kitakacho mpata Israel baada ya kufanya upuuzi huo.
Kwahiyo wewe kwa akili yako ulidhani Israel ingekaa kizembe baada ya kulipua ule ubalozi na kuua majenerali 7?! Mbona unaongea kama umekatwa kichwa!!!
Tangu Israel ashambulie ule ubalozi missile defense units zote zilikua kwenye high alert huku wakifatilia kwa karibu kila kinachoendelea Iran, likizo za wanajeshi na marubani zilifutwa na walio likizo ilitakiwa kurejea kazini Mara moja sababu walijua nini kitatokea.

Israel anaua watoto hospital lakini husemi Russia anavyoua watoto na wajawazito kule Ukraine analipua mashule, hospital, supermarkets, makazi ya watu. Mbona hatujawahi kukuona ukikemea!!!!!

Halafu Israel haombi ruhusa kwa mtu anatoa taarifa ndio maana hata alipolipua ule ubalozi hakuomba ruhusa popote sababu alikua anataka ale vichwa vya magaidi 7 yaliyokua pale ubalozini yakipanga mipango ya kigaidi yakitumia ubalozi kama kinga ya kutoshambuliwa.

Iran mbwembwe zote zile za kusifia makombora yao wameishia kumjeruhi binti aliyekua anacheza zake rede. Aiseeeee!!!!!!
 
Pili, Iran hana hypersonic missile. Najua hujui maana ya hypersonic missile ila unadhani unajua. Taja hypersonic missile ya Iran unayoijua wewe.

Tatu, range sio kitu kwenye madhara, unacholenga kumaanisha ni kwamba kombora la range kubwa ni la kisasa zaidi si ndio? Israel imeua makamanda wa Iran kwa mabomu hata 100km hayaendi. Kama Iran haiwezi lenga shabaha kwa 2500 miles, kwa 4000 miles je?

Nenda Russia tazama Iskander-M ina range ya 500km tu ila ina accuracy na speed inaheshimika. Ukileta hayo makombora uchwara ya Iran yenye 2500 miles na yanalipua rami utachekwa.

Tena kombora lenye range ndogo linatakuwa liwe na shabaha kubwa na CEP ndogo. Sasa Iran inatumia kombora la range ya 2500 alafu inaambulia kujeruhi binti na kupiga rami uwanjani huo si ni upumbavu?

Military target gani Israel imepigwa. Israel ikipiga military target inaua wahusika na kuharibu zana. Nyinyi mnajeruhi binti na kuharibu rami ya airbase. Eti mnashambulia airbase ya Negev alafu makombora yanaisha ndege zinaruka kawaida, bulldozer zinafukia vishimo eti hapo mmeshambulia military target😂

Waulize Egypt mwaka 1967 Israel iliposhambulia airbases zao zote kama kuna ndege iliamka pale.
😄 We kweli umelala eti Iran hana Hypersonic Missiles

Jibu hili hapa acha ujinga


View: https://youtube.com/shorts/iAAJV28VKM0?si=2lkqL8vlKgbQE7NQ


Israel akipigwa atakuambia kapigwa c aibu kwake, dogo rudi shule kasome.

Ronen Brakman yupo karibu ma Mossad anasema wa Israel wangeona vipi Iran kavuraga hizo military base wangekimbia Israel


Afu dogo Jordan kuna Base za America, UK na France ndio zime mlinda Israel na Jordan yenyewe.

Siri zimeisha vuja Iran next time atapeleka moto Jordan na Israel kwa time moja.

We kale matango ulale.
 
Israel iko kwenye readiness ya hali ya juu ndio maana ndegevita hazikauki angani zinafanya patrol, likizo za marubani wa kijeshi zote zimefutwa, missile defense forces zipo kwenye attention. Baada ya kushambulia ubalozi Israel ilijua kutakuwepo na majibu ikajipanga. Iran haikuwahi sema itapiga wapi na wapi na itapiga lini. Kama una ushahidi leta. Iran ilisema italipa kisasi, haikusema kivipi.

Ni intelligence ya Israel iliyoonyesha watarusha maana maandalizi yanaonekana, na missile warning systems zilionyesha tangu makombora yanafyatuliwa Iran hayajatoka kwenye anga lao. Engagement ikafanywa na jets za Israel, AD mbalimbali, melivita kama Saar 6, Patriot na kidogo silaha za washirika.

Yemen kuna makombora uchwara ya Iran. Zile cruise missiles zinadondoshwa hata na Apache helicopter. Silaha nzito za Iran hazipo Yemen wala Syria, na hata uko Yemen zimerushwa kutokea ila zimedondoshwa. Si ndio hizo zimepita Saudi Arabia.

Almost makombora yote ya Iran ni supersonic. Unataka supersonic yapi tena?
Kwahiyo hayo aliyorusha sio kitu kwa Israel, unataka mengine tena. Kumbe Iran ana makombora ya kinyonge hivyo. Omba Israel isirushe makombora uone precision na Iran haambulii kudungua kombora. Ngoja waamue hawa majamaaView attachment 2964610
Sasa hivi Iran kafunga site zake zote za nyuklia akihofia usalama!
 
Kwahiyo wewe kwa akili yako ulidhani Israel ingekaa kizembe baada ya kulipua ule ubalozi na kuua majenerali 7?! Mbona unaongea kama umekatwa kichwa!!!
Tangu Israel ashambulie ule ubalozi missile defense units zote zilikua kwenye high alert huku wakifatilia kwa karibu kila kinachoendelea Iran, likizo za wanajeshi na marubani zilifutwa na walio likizo ilitakiwa kurejea kazini Mara moja sababu walijua nini kitatokea.

Israel anaua watoto hospital lakini husemi Russia anavyoua watoto na wajawazito kule Ukraine analipua mashule, hospital, supermarkets, makazi ya watu. Mbona hatujawahi kukuona ukikemea!!!!!

Halafu Israel haombi ruhusa kwa mtu anatoa taarifa ndio maana hata alipolipua ule ubalozi hakuomba ruhusa popote sababu alikua anataka ale vichwa vya magaidi 7 yaliyokua pale ubalozini yakipanga mipango ya kigaidi yakitumia ubalozi kama kinga ya kutoshambuliwa.

Iran mbwembwe zote zile za kusifia makombora yao wameishia kumjeruhi binti aliyekua anacheza zake rede. Aiseeeee!!!!!!
Hana ajuacho zaidi ya kushabikia kibalaghashia
 
Iran has closed its nuclear facilities for a day over “security considerations” in wake of attack on Israel, says head of UN’s atomic watchdog.
 
Kwahiyo wewe kwa akili yako ulidhani Israel ingekaa kizembe baada ya kulipua ule ubalozi na kuua majenerali 7?! Mbona unaongea kama umekatwa kichwa!!!
Tangu Israel ashambulie ule ubalozi missile defense units zote zilikua kwenye high alert huku wakifatilia kwa karibu kila kinachoendelea Iran, likizo za wanajeshi na marubani zilifutwa na walio likizo ilitakiwa kurejea kazini Mara moja sababu walijua nini kitatokea.

Israel anaua watoto hospital lakini husemi Russia anavyoua watoto na wajawazito kule Ukraine analipua mashule, hospital, supermarkets, makazi ya watu. Mbona hatujawahi kukuona ukikemea!!!!!

Halafu Israel haombi ruhusa kwa mtu anatoa taarifa ndio maana hata alipolipua ule ubalozi hakuomba ruhusa popote sababu alikua anataka ale vichwa vya magaidi 7 yaliyokua pale ubalozini yakipanga mipango ya kigaidi yakitumia ubalozi kama kinga ya kutoshambuliwa.

Iran mbwembwe zote zile za kusifia makombora yao wameishia kumjeruhi binti aliyekua anacheza zake rede. Aiseeeee!!!!!!
Jibu swali ww punguani ,hiyo asilimia moja ya makombora iliyo penya na kupiga kwenye kambi ya anga na kusababisha uharibifu kiasi kama Israel inavyo dai, vipi iwapo Iran isinge yaelekeza kwenye hiyo kambi badala yake akayaelekeza kwenye makazi ya watu na mahospitalini yangeshinda kuuwa?

Kwa hiyo siku hizi Israel ina mifumo mipya ya ulinzi inayo itwa Marekani, Jordan, Uingereza na Ufaransa ?

Tatizo sio kuomba ruhusa tatizo ni kuanzisha matatizo hali yakuwa huna uwezo wa kujilinda mwenyewe badala yake akisha fanya uchokozi anaenda kujificha nyuma ya matako ya Marekani

Ni kweli ahitaji ruhusa kuanzisha uchokozi na ndio maana wamemuonya ,kwa sababu yeye akifanya uchokozi wao ndo wanagharamika kumlinda maana yeye anacho jua ni kufanya uchokozi lakini uwezo wa kujilinda hana.

Unayabeza makombora ya Iran hali yakuwa nchi zaidi ya 5 yalijenga ngome ya Ulinzi kutoka Iraq ,Syria ,Jordan mpaka kwenye bahari ya medetrania lakini bado mengine yakaweza kupenya bado tu hujaona uwezo wa makombora hayo au unaendekeza ushabiki wa kijinga na kishoga?
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele

Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba, ikitokea mechi ya USA na yeye, angalau hata jasho laweza kumtoka

Wakati akiendelea kuamini hicho, Anayeaminigi kuwa ni mnyonge wake, alichomfanyia juzi, ni masikitiko

Maandalizi ya kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya balozi zake pale SYRIA yaliyofanywa na Majeshi ya Israel na kuuwa makamanda wengi wa Ki Irani, yamefanyika kwa wiki nzima na siku

Bila ya shaka maandalizi hayo, Irani aliyaandaa na akiamini atakapo fyatua mabomu, Lengo ni kuisambaratisha kabisa Tela Aviv

Kilichotokea, ndio hiki nimekiita kuwa, unayekuwa ukiamini ni mnyonge wako unapotupa ngumi kali halafu akaikwepa, inabidi ujiulize mara mbili mbili

Gharama yote ile iliyotumika na Irani halafu haijaleta dhara lolote, halafu Israel kamdharaaau na hata hana shida naye huku akiendelea kuwatwanga Gaza, ujue hizo ni dharau kubwa sana dhidi ya Irani

IRAN Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi mengine kwa Israel ili angalau ashituke
nyie mashoga ndio mliodharauliwa na Iran kabla hajafanya yake aliwapa taarifa kwanza washirika wa israel kwamba nampiga shoga mwenzenu ili wajiandae apate kuwasoma vizuri ufanyaji kazi wa mifumo yenu ya kuzuia upoje...

sasa kwakuwa kidume kashawajua ndo maana kwa kujiamini kabisa amwaambia jibuni mashambulizi muone moto wa makobazi
 
Endelea na uhandisi, hii kada iko juu yako saaaana ya issue za diplomacy. Alafu inaoneka history uliisoma ujaze mitihani tu. Mbona vitu vinajieleza tu hvo
Mkuu unaweza kujibu bila kutweza utu wa mtu? Unataka tuanze kutambishana matokeo na uwezo?
Too low.

Haya subiri Israel ajibu halafu uje kujitetea na diplomasia yako.

Hakuna vita pale ni porojo tu zilifanyika. Iran did that to US mwaka juzi/jana.
 
Mkuu unaweza kujibu bila kutweza utu wa mtu? Unataka tuanze kutambishana matokeo na uwezo?
Too low.

Haya subiri Israel ajibu halafu uje kujitetea na diplomasia yako.

Hakuna vita pale ni porojo tu zilifanyika. Iran did that to US mwaka juzi/jana.
Mstari wa mwisho umeandika, na umejijibu tayari. Nakujibu nn tena hapo?
Thread closed
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele

Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba, ikitokea mechi ya USA na yeye, angalau hata jasho laweza kumtoka

Wakati akiendelea kuamini hicho, Anayeaminigi kuwa ni mnyonge wake, alichomfanyia juzi, ni masikitiko

Maandalizi ya kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya balozi zake pale SYRIA yaliyofanywa na Majeshi ya Israel na kuuwa makamanda wengi wa Ki Irani, yamefanyika kwa wiki nzima na siku

Bila ya shaka maandalizi hayo, Irani aliyaandaa na akiamini atakapo fyatua mabomu, Lengo ni kuisambaratisha kabisa Tela Aviv

Kilichotokea, ndio hiki nimekiita kuwa, unayekuwa ukiamini ni mnyonge wako unapotupa ngumi kali halafu akaikwepa, inabidi ujiulize mara mbili mbili

Gharama yote ile iliyotumika na Irani halafu haijaleta dhara lolote, halafu Israel kamdharaaau na hata hana shida naye huku akiendelea kuwatwanga Gaza, ujue hizo ni dharau kubwa sana dhidi ya Irani

IRAN Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi mengine kwa Israel ili angalau ashituke
issue kubwa apa iran anayo nuclear, sasa kwenye nuclear hakunaga mshindi ata kama ni vita na USA vita ya nucler kidogo ni ngumu
 
😄 We kweli umelala eti Iran hana Hypersonic Missiles

Jibu hili hapa acha ujinga


View: https://youtube.com/shorts/iAAJV28VKM0?si=2lkqL8vlKgbQE7NQ


Israel akipigwa atakuambia kapigwa c aibu kwake, dogo rudi shule kasome.

Ronen Brakman yupo karibu ma Mossad anasema wa Israel wangeona vipi Iran kavuraga hizo military base wangekimbia Israel


Afu dogo Jordan kuna Base za America, UK na France ndio zime mlinda Israel na Jordan yenyewe.

Siri zimeisha vuja Iran next time atapeleka moto Jordan na Israel kwa time moja.

We kale matango ulale.

Fattah-1 ni hypersonic missile? Yani ukiamua kuita missile yako ni hypersonic basi kila mtu akubali. Mbona Iran ilidai ina makombora ya kuharibu Israel na ikarusha zaidi ya 300 na hamna kitu imefanya
 
Jibu swali ww punguani ,hiyo asilimia moja ya makombora iliyo penya na kupiga kwenye kambi ya anga na kusababisha uharibifu kiasi kama Israel inavyo dai, vipi iwapo Iran isinge yaelekeza kwenye hiyo kambi badala yake akayaelekeza kwenye makazi ya watu na mahospitalini yangeshinda kuuwa?

Kwa hiyo siku hizi Israel ina mifumo mipya ya ulinzi inayo itwa Marekani, Jordan, Uingereza na Ufaransa ?

Tatizo sio kuomba ruhusa tatizo ni kuanzisha matatizo hali yakuwa huna uwezo wa kujilinda mwenyewe badala yake akisha fanya uchokozi anaenda kujificha nyuma ya matako ya Marekani

Ni kweli ahitaji ruhusa kuanzisha uchokozi na ndio maana wamemuonya ,kwa sababu yeye akifanya uchokozi wao ndo wanagharamika kumlinda maana yeye anacho jua ni kufanya uchokozi lakini uwezo wa kujilinda hana.

Unayabeza makombora ya Iran hali yakuwa nchi zaidi ya 5 yalijenga ngome ya Ulinzi kutoka Iraq ,Syria ,Jordan mpaka kwenye bahari ya medetrania lakini bado mengine yakaweza kupenya bado tu hujaona uwezo wa makombora hayo au unaendekeza ushabiki wa kijinga na kishoga?
Kobazi mbona jazba sana, shusha pumzi huu mchezo hauhitaji hasira.

Mapipa yenu yaliyoshushwa haya hapa, mlikua mkiyasifu eti hayawezi kuzuilika kumbe hakuna kitu. Aiseee kombora kama Costa ya abiria halafu linaishia kujeruhi mcheza rede wa kiyahudi lazima Uwe jazba.

View: https://youtu.be/ADbQlXM0oGY?si=vXtMcdgPlJohSNbq

BADO HUJASEMA😂😂😂
 
Fattah-1 ni hypersonic missile? Yani ukiamua kuita missile yako ni hypersonic basi kila mtu akubali. Mbona Iran ilidai ina makombora ya kuharibu Israel na ikarusha zaidi ya 300 na hamna kitu imefanya
Ndo yaleyale ya Russia kudai Kinzal na Zircon ni Hypersonic badala yake zikaja kushushwa na Patriot mfumo wa anga uliojizeekea tech ya zaidi ya miaka 30. Wakati huohuo S400 inashindwa kudaka Storm shadow za Muingereza mpaka inaenda kuteketeza makao makuu ya Black See Fleet.
 
Back
Top Bottom