every leader must be responsible and accountable for their doings within the govt. whether is wrong or right πwishes and riding horses isn't it
Haya uliyoyaandika ni kweli kabisa ndugu Sakasaka Mao .Na kuna genge limeajiriwa na kumwagwa Jf, ni wengi kama ndege wa kwelea kwelea ili ma great thinkers tuhangaike nalo.
Ni kumsifia Rais kwa sifa za kushangaza, mpaka Jf imekosa hadhi kabisa.
ExactlyUkienda China kuna mfumo wa mikoa kama kwetu. Wao wanaita Provinces, na tofauti yao na sie ni kuwa wao mikoa yao ni mikoa ya kiuchumi ( Economic provinces) wakati sie mikoa yetu ni mikoa ya kisiasa (political provinces)
Wanapotushinda China ni watu wanaoteuliwa kuongoza hizo provinces. Kwao wanateua watu wenye uwezo na mawazo makubwa ya kiuchumi unaweza sema watu creative na innovative ambao wamesoma, wana exposure na wana uelewa mkubwa wa masuala ya kiuchumi na kidunia.
Provinces za China zinashindana kiuchumi, hawa wanaanzisha viwanda wa mafriji hawa wanaanzisha viwanda vya washing machines. Ili mradi siku ya mwisho provinces moja iwe zaidi ya nyingine kiuchumi na kimaendeleo.
Leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kapewa mic aongee kwenye tukio la Kumbukumbu cha kifo cha Sokoine. Pamoja na kumuelezea Sokoine , kwa watu wenye akili walitegemea ni kitu gani ambacho atakiongea katika kuelezea namna ambavyo ataweka mipango kabambe ili Jiji lile liwe namba moja kiuchumi Tanzania.
Tofauti na hayo Makonda ameelezea kuweka baiskeli za polisi, camera za usalama barabarani mambo ambayo unaweza sema kuwa ni just petty issues!
Mbaya zaidi kama kawaida yake, ametoa vitisho kwa watu eti wanaomsema Rais Samia.
Napenda kuwaambia wana JF huyu ndo makonda sasa na alilofanya leo ndo mambo anayoweza. Ufitini, uchonganishi, kujipendekeza na kujifanya yeye ndo anayempenda zaidi kiongozi wake kuliko mtu yeyote yule ili angalau aendelee kupata vyeo na kuishi kupitia hivyo vyeo.
Alivyo Makonda ndo walivyo watu na vijana wengi kuanzia Chama cha Mapinduzi hadi sehemu nyingine. Hawana muda wa kuonesha uwezo wao kwenye mambo ya msingi bali kujipendekeza kwa watu wenye nafasi ili waendelee kula.
Naionea huruma Tanzania. Kesho yetu inasikitisha hakika.
Kauli ya Makonda kuwataja wanaomchafua Rais Samia, soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Natamani sana kama hapa JF kungeanzishwa jukwaa la kuwezesha wale wote wenye uwezo wa uongozi lakini wanakumbana na changamoto zinazowafanya wabaki nnje ya mfumo wa uongozi.Na hii ni kansa ambayo sasaivi ina mature kila siku.
Watu hawapewi nafasi kwa sababu ya merit ila kujipendekeza, kujuana na kufitiana.
We are dead!
Kweli kabisaNapenda niandike jambo moja.
Ni mlemavu wa akili na asiyekuwa na uwezo wowote ndiye anayeweza kuajiri watu wa kumsifia, kumtetea,kumpigania na kumsemea kazi/mazuri yake.
Kweli kabisa. Nami naunga mkono hoja yako.Natamani sana kama hapa JF kungeanzishwa jukwaa la kuwezesha wale wote wenye uwezo wa uongozi lakini wanakumbana na changamoto zinazowafanya wabaki nnje ya mfumo wa uongozi.
Naamini Moderator na Maxence Melo pamoja na Chige wataunga mkono.
Mabadiliko sawa ila yafanyike kwa kuzingatia merit sio majungu, fitna , chuki na uchonganishi.Kwa nyuzi hiz humu jf basi tutegemee mabadiliko madogo ya uongozi kwenye mawaziri na wakuu wa mikoa
Aliomba km 20 za Barabarani π€£π€£Ukienda China kuna mfumo wa mikoa kama kwetu. Wao wanaita Provinces, na tofauti yao na sie ni kuwa wao mikoa yao ni mikoa ya kiuchumi ( Economic provinces) wakati sie mikoa yetu ni mikoa ya kisiasa (political provinces)
Wanapotushinda China ni watu wanaoteuliwa kuongoza hizo provinces. Kwao wanateua watu wenye uwezo na mawazo makubwa ya kiuchumi unaweza sema watu creative na innovative ambao wamesoma, wana exposure na wana uelewa mkubwa wa masuala ya kiuchumi na kidunia.
Provinces za China zinashindana kiuchumi, hawa wanaanzisha viwanda wa mafriji hawa wanaanzisha viwanda vya washing machines. Ili mradi siku ya mwisho provinces moja iwe zaidi ya nyingine kiuchumi na kimaendeleo.
Leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kapewa mic aongee kwenye tukio la Kumbukumbu cha kifo cha Sokoine. Pamoja na kumuelezea Sokoine , kwa watu wenye akili walitegemea ni kitu gani ambacho atakiongea katika kuelezea namna ambavyo ataweka mipango kabambe ili Jiji lile liwe namba moja kiuchumi Tanzania.
Tofauti na hayo Makonda ameelezea kuweka baiskeli za polisi, camera za usalama barabarani mambo ambayo unaweza sema kuwa ni just petty issues!
Mbaya zaidi kama kawaida yake, ametoa vitisho kwa watu eti wanaomsema Rais Samia.
Napenda kuwaambia wana JF huyu ndo makonda sasa na alilofanya leo ndo mambo anayoweza. Ufitini, uchonganishi, kujipendekeza na kujifanya yeye ndo anayempenda zaidi kiongozi wake kuliko mtu yeyote yule ili angalau aendelee kupata vyeo na kuishi kupitia hivyo vyeo.
Alivyo Makonda ndo walivyo watu na vijana wengi kuanzia Chama cha Mapinduzi hadi sehemu nyingine. Hawana muda wa kuonesha uwezo wao kwenye mambo ya msingi bali kujipendekeza kwa watu wenye nafasi ili waendelee kula.
Naionea huruma Tanzania. Kesho yetu inasikitisha hakika.
Kauli ya Makonda kuwataja wanaomchafua Rais Samia, soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Tunatakiwa kutoka huko ili tupate maendeleo ya kweli. Ndo mana hii nchi kila kitu kinafanywa bora liende.Aliomba km 20 za Barabarani π€£π€£
Hata hivyo sio sahihi kumponda Makonda Kwa sababu Viongozi wote wa Tanzania hakuna ambae Huwa anaonesha uwezo.
Ukijifanya unaonesha uwezo Watanzania wanakuchukia labda kama huwajui Watanzania wewe.
Ana shida gani ya kujipendekeza ilihali pesa ya kuishi anayo? Mi naona waTanzania hua mko na shida ya kichwa tu,nchi hii kiongozi akiwa mpole na megevu mnasema nchi/mkoa hauna kabisa kiongozi,mambo yanajiendea tu yenyewe,ameshindwa kufanya kadha wa kadha,na akipatikana kiongozi mpiga kazi anaitwa dikteta na mtu wa kujipendekezaUkienda China kuna mfumo wa mikoa kama kwetu. Wao wanaita Provinces, na tofauti yao na sie ni kuwa wao mikoa yao ni mikoa ya kiuchumi ( Economic provinces) wakati sie mikoa yetu ni mikoa ya kisiasa (political provinces)
Wanapotushinda China ni watu wanaoteuliwa kuongoza hizo provinces. Kwao wanateua watu wenye uwezo na mawazo makubwa ya kiuchumi unaweza sema watu creative na innovative ambao wamesoma, wana exposure na wana uelewa mkubwa wa masuala ya kiuchumi na kidunia.
Provinces za China zinashindana kiuchumi, hawa wanaanzisha viwanda wa mafriji hawa wanaanzisha viwanda vya washing machines. Ili mradi siku ya mwisho provinces moja iwe zaidi ya nyingine kiuchumi na kimaendeleo.
Leo Mkuu wa Mkoa wa Arusha kapewa mic aongee kwenye tukio la Kumbukumbu cha kifo cha Sokoine. Pamoja na kumuelezea Sokoine , kwa watu wenye akili walitegemea ni kitu gani ambacho atakiongea katika kuelezea namna ambavyo ataweka mipango kabambe ili Jiji lile liwe namba moja kiuchumi Tanzania.
Tofauti na hayo Makonda ameelezea kuweka baiskeli za polisi, camera za usalama barabarani mambo ambayo unaweza sema kuwa ni just petty issues!
Mbaya zaidi kama kawaida yake, ametoa vitisho kwa watu eti wanaomsema Rais Samia.
Napenda kuwaambia wana JF huyu ndo makonda sasa na alilofanya leo ndo mambo anayoweza. Ufitini, uchonganishi, kujipendekeza na kujifanya yeye ndo anayempenda zaidi kiongozi wake kuliko mtu yeyote yule ili angalau aendelee kupata vyeo na kuishi kupitia hivyo vyeo.
Alivyo Makonda ndo walivyo watu na vijana wengi kuanzia Chama cha Mapinduzi hadi sehemu nyingine. Hawana muda wa kuonesha uwezo wao kwenye mambo ya msingi bali kujipendekeza kwa watu wenye nafasi ili waendelee kula.
Naionea huruma Tanzania. Kesho yetu inasikitisha hakika.
Kauli ya Makonda kuwataja wanaomchafua Rais Samia, soma Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Una elimu gani?Ana shida gani ya kujipendekeza ilihali pesa ya kuishi anayo? Mi naona waTanzania hua mko na shida ya kichwa tu,nchi hii kiongozi akiwa mpole na megevu mnasema nchi/mkoa hauna kabisa kiongozi,mambo yanajiendea tu yenyewe,ameshindwa kufanya kadha wa kadha,na akipatikana kiongozi mpiga kazi anaitwa dikteta na mtu wa kujipendekeza
Wakati wa Kikwete watu waliongea idhaifu mwingi,ambao alikuja kuutekeleza JPM kwa kauli hizi hizi za waTanzania hawa kua nchi ilipofika inataka Rais dikteta n asiye muonea mtu haya,kwa ushauri ul ule wa wananchi na wnasiasa pinzani,MUNGU akamuibua JPM akafanya kama ambavyo watu walitaka,vilwazo alivyo nyanyuliwa mpaka leo yuko Kaburini lakini watu waovu wanongea tu kuitulana maiti
Sioni ajabu kwa Makonda kwa sababu naamini anatekeleza kazi zake na ni mtu jasili anayejua kazi aliyopewa anapaswa kuisimamia kwa namna gani bila kuelekezwa.
Polno sana wenye watoto kizazi hikiactually,
Mwanasiasa makini hawezi kupuuza chochote. whether ni hicho unachoita porojo na umbea au vinginevyo π
kupuuza ni among political mistakes ambazo zinaweza kukupelekea ukafanya blunders ambayo itaweza kukufanya politically irrelevant in political sphere π
so,
in professional politics we don't underrate political issues, allegations or statements. we work on it in a very serious way π
and for your information, what RC is doing is going to swip some political giants as soon as possible π
kiushi kwa wazazi ukiwa mtu mzima mawazo huganda kabisaPolno sana wenye watoto kizazi hiki
Ova
Ntake radhi bana ohoookiushi kwa wazazi ukiwa mtu mzima mawazo huganda kabisa
umefanya jambo la maana sana kumpeleka kijana masomoni, sehemu ambayo maadili, mila na desturia ya kuheshimiana ni ya kuwango cha juu sanaNtake radhi bana ohooo
Kwanza nashukuru Kwa kumpeleka mwanangu wa kwanza huko masomoni Hungary
Ova
Watoto wana bahati ya kuwa na mdingi bahariaumefanya jambo la maana sana kumpeleka kijana masomoni, sehemu ambayo maadili, mila na desturia ya kuheshimiana ni ya kuwango cha juu sana
na mwisho, lakini sio kwa umuhimu,
kumbradhi sana, kwa mimi kughafilika dhidi yako bila kujua