Alichokifanya P Diddy iwe Funzo Kwa Vijana Wengine Wapenda Kitonga

Alichokifanya P Diddy iwe Funzo Kwa Vijana Wengine Wapenda Kitonga

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
Samaleko..

Binafsi nampongeza P Diddy Kwa alichowafanyia Hawa Vijana Wapenda Kitonga akiwemo Mjomba Nchumali na Wenzake, Kongole sana kwake.

Nilienda Vacation Zanzibar ila nilichoona kinafanyika kule Mashambani ni ufirauni mtupu, wanaume wanajiuza Kwa Rangi Nyeupe kuliko hata wadada, So Sad.!! Vijana wanaolelewa na mishangazi ni Wengi sana.

Kama wewe ni mwanaume tambua ya kwamba hakuna kitu cha bure hapa Duniani, lazima upambanie kombe ipasavyo.

Haijalishi unapitia kipindi gani kwenye maisha, umedondoka kiasi gani au mara ngapi unafosi michongo inafeli, usikate tamaa Man ni suala la muda juhudi zako zitazaa Matunda, usichoke kuPAMBANA.!!

Hao watu unaowaona wamefanikiwa pengine ni rika lako au Wengine unawazidi age ila wanakuzidi kimafanikio wasikutoe relini, Kila kitu ni Process, Jipambanishe wewe mwenyewe na hakikisha Jana yako haifanani na Leo baada ya MUDA Kila kitu kitakuwa vile unataka.

Wanaume tuliandikiwa kula Kwa jasho ila usitumie jasho jingi kutafuta hela zama hizi, TUMIA AKILI. Ukitumia akili Yako Vizuri huwezi kuwaza kuuza utu wako kumake pesa.

Mwanaume ni Tunu, Imagine unaiaibisha Familia Yako Kwa sababu ya Tamaa zako za Kifala na ni kijana una nguvu za kuweza kutafuta izo hela, Acha Shortcut.

No Free Lunch Man.!!
 
Familia ndio chanzo cha hayo hasa,unakuta familia inalelea watoto kama mayai,mwishowe wanakuwa watu wazima wasio na ujuzi wowote ndio hapo wanaanza kujipeleka kirahisi kwenye midomo ya fisi maji.
 
Familia ndio chanzo cha hayo hasa,unakuta familia inalelea watoto kama mayai,mwishowe wanakuwa watu wazima wasio na ujuzi wowote ndio hapo wanaanza kujipeleka kirahisi kwenye midomo ya fisi maji.
sababu ni nyingi sana, kuna moja inatajwa sana na si familia
 
Acha bwana! Mmasai kabisa au Hawa wamasai feki wa Chalinze?
Uliwasikia wakiongea kimasai original?
Mmasai wa Ngorongoro aliyepitia jandoni hawezi kuinamishwa na MTU. Ataongea Nini akifika kwao.
Kuna true story moja nilisikia nilivofika uko, Kuna mmasai mmoja alikua na ushkaji na mzungu Sasa akaambiwa atafute shoga wa kulala na mzungu usiku mzima akaambiwa poa. Alivoshuka ngazi akajifikiria akaamua kumrudia mzungu kuulizia day akaambiwa 500usd, akatoka akafika getini tena akarudi akamuuliza mzungu "si unaingisa tu kichwa unatoa?" Mzungu akamwambia Ndio, mmasai akamwambia Mimi nawesa,

To cut the long story short, alipelekewa moto mpaka akakata moto.
 
Kuna true story moja nilisikia nilivofika uko, Kuna mmasai mmoja alikua na ushkaji na mzungu Sasa akaambiwa atafute shoga wa kulala na mzungu usiku mzima akaambiwa poa. Alivoshuka ngazi akajifikiria akaamua kumrudia mzungu kuulizia day akaambiwa 500usd, akatoka akafika getini tena akarudi akamuuliza mzungu "si unaingisa tu kichwa unatoa?" Mzungu akamwambia Ndio, mmasai akamwambia Mimi naweza,

To cut the long story short, alipelekewa moto mpaka akakata moto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Kuna true story moja nilisikia nilivofika uko, Kuna mmasai mmoja alikua na ushkaji na mzungu Sasa akaambiwa atafute shoga wa kulala na mzungu usiku mzima akaambiwa poa. Alivoshuka ngazi akajifikiria akaamua kumrudia mzungu kuulizia day akaambiwa 500usd, akatoka akafika getini tena akarudi akamuuliza mzungu "si unaingisa tu kichwa unatoa?" Mzungu akamwambia Ndio, mmasai akamwambia Mimi naweza,

To cut the long story short, alipelekewa moto mpaka akakata moto.
😁Chai hii.

Alisimulia nani yote hayo kama mhusika mwenyewe alikata moto?
 
Back
Top Bottom