min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😁😁😁 kwambaPia alichokifanya Diddy ni ushahidi tosha kuwa MUNGU & SHETANI wapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁 kwambaPia alichokifanya Diddy ni ushahidi tosha kuwa MUNGU & SHETANI wapo.
Komasava inshu inamtia aibu hiiEti nitakuwa bilionea wa dunia ...
Kumbe ni kupitia kupakwa mafuta
Tuanze na machawa kwanza,chawa wengi wanafanana tabia ba hao wapakwa mafuta.
Uchawa ni janga
Maasai OG wa monduli hawez toa mafla aisee labda wakwavi wa hapo chalinze mpakani na morogoroAcha bwana! Mmasai kabisa au Hawa wamasai feki wa Chalinze?
Uliwasikia wakiongea kimasai original?
Mmasai wa Ngorongoro aliyepitia jandoni hawezi kuinamishwa na MTU. Ataongea Nini akifika kwao.
inauma sana!!!!'''m2 mzima na ndevu zako unapelekewa moto kweye makalio,kisa pesa?????'''kwani ukibeba zege,au ukawa machinga ata ukipata buku 5 ya halali kuna tatizo gani??????........m2 unapuliziwa pumzi ya moto makalioni???...nahumu najua wamo na wanasoma hichi nilichoandika,,,,,,,,"unapelekewa fire mpaka MNDUKU unaota sugu bhana.yaani mpaka mnduku unalalamika kwa nini umeota kwenye mwili wako?"Samaleko..
Binafsi nampongeza P Diddy Kwa alichowafanyia Hawa Vijana Wapenda Kitonga akiwemo Mjomba Nchumali na Wenzake, Kongole sana kwake.
Nilienda Vacation Zanzibar ila nilichoona kinafanyika kule Mashambani ni ufirauni mtupu, wanaume wanajiuza Kwa Rangi Nyeupe kuliko hata wadada, So Sad.!! Vijana wanaolelewa na mishangazi ni Wengi sana.
Kama wewe ni mwanaume tambua ya kwamba hakuna kitu cha bure hapa Duniani, lazima upambanie kombe ipasavyo.
Haijalishi unapitia kipindi gani kwenye maisha, umedondoka kiasi gani au mara ngapi unafosi michongo inafeli, usikate tamaa Man ni suala la muda juhudi zako zitazaa Matunda, usichoke kuPAMBANA.!!
Hao watu unaowaona wamefanikiwa pengine ni rika lako au Wengine unawazidi age ila wanakuzidi kimafanikio wasikutoe relini, Kila kitu ni Process, Jipambanishe wewe mwenyewe na hakikisha Jana yako haifanani na Leo baada ya MUDA Kila kitu kitakuwa vile unataka.
Wanaume tuliandikiwa kula Kwa jasho ila usitumie jasho jingi kutafuta hela zama hizi, TUMIA AKILI. Ukitumia akili Yako Vizuri huwezi kuwaza kuuza utu wako kumake pesa.
Mwanaume ni Tunu, Imagine unaiaibisha Familia Yako Kwa sababu ya Tamaa zako za Kifala na ni kijana una nguvu za kuweza kutafuta izo hela, Acha Shortcut.
No Free Lunch Man.!!
Mkuu nenda Zanzibar ukajionee mwenyewe ndiyo utajua Wamasai wa Chalinze au Wamasai wa Msomera, Yani Wamasai wanatia huruma ukiwakuta Beach za Zanzibar wamesimama mbele za Wanzungu, Cha ajabu hawana biashara wanayoifanya zaidi ya Mwili wao.Maasai OG wa monduli hawez toa mafla aisee labda wakwavi wa hapo chalinze mpakani na morogoro
Imetokea sehemu gani hii ?Kuna true story moja nilisikia nilivofika uko, Kuna mmasai mmoja alikua na ushkaji na mzungu Sasa akaambiwa atafute shoga wa kulala na mzungu usiku mzima akaambiwa poa. Alivoshuka ngazi akajifikiria akaamua kumrudia mzungu kuulizia day akaambiwa 500usd, akatoka akafika getini tena akarudi akamuuliza mzungu "si unaingisa tu kichwa unatoa?" Mzungu akamwambia Ndio, mmasai akamwambia Mimi naweza,
To cut the long story short, alipelekewa moto mpaka akakata moto.
🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu nenda Zanzibar ukajionee mwenyewe ndiyo utajua Wamasai wa Chalinze au Wamasai wa Msomera, Yani Wamasai wanatia huruma ukiwakuta Beach za Zanzibar wamesimama mbele za Wanzungu, Cha ajabu hawana biashara wanayoifanya zaidi ya Mwili wao.
Mzungu😁Chai hii.
Alisimulia nani yote hayo kama mhusika mwenyewe alikata moto?
Wanaume wakipewa crown na iPhone 16 wanabandulikaSamaleko..
Binafsi nampongeza P Diddy Kwa alichowafanyia Hawa Vijana Wapenda Kitonga akiwemo Mjomba Nchumali na Wenzake, Kongole sana kwake.
Nilienda Vacation Zanzibar ila nilichoona kinafanyika kule Mashambani ni ufirauni mtupu, wanaume wanajiuza Kwa Rangi Nyeupe kuliko hata wadada, So Sad.!! Vijana wanaolelewa na mishangazi ni Wengi sana.
Kama wewe ni mwanaume tambua ya kwamba hakuna kitu cha bure hapa Duniani, lazima upambanie kombe ipasavyo.
Haijalishi unapitia kipindi gani kwenye maisha, umedondoka kiasi gani au mara ngapi unafosi michongo inafeli, usikate tamaa Man ni suala la muda juhudi zako zitazaa Matunda, usichoke kuPAMBANA.!!
Hao watu unaowaona wamefanikiwa pengine ni rika lako au Wengine unawazidi age ila wanakuzidi kimafanikio wasikutoe relini, Kila kitu ni Process, Jipambanishe wewe mwenyewe na hakikisha Jana yako haifanani na Leo baada ya MUDA Kila kitu kitakuwa vile unataka.
Wanaume tuliandikiwa kula Kwa jasho ila usitumie jasho jingi kutafuta hela zama hizi, TUMIA AKILI. Ukitumia akili Yako Vizuri huwezi kuwaza kuuza utu wako kumake pesa.
Mwanaume ni Tunu, Imagine unaiaibisha Familia Yako Kwa sababu ya Tamaa zako za Kifala na ni kijana una nguvu za kuweza kutafuta izo hela, Acha Shortcut.
No Free Lunch Man.!!
Ngezea wa USA nduguMods badilisheni kichwa Cha Uzi andika
ALICHOKIFANYA PDIDY IWE FUNZO KWA VIJANA WENGINE WANAOPENDA KITONGA
Ukifika Arusha mitaa ya Clocktower utakuta vijana wamefuga rasta wanatembea mji mzima wakiwa wamebeba kimfuko kina ndizi mbivu.. yaani full utumwa. Zamani ilikuwa vijana wanachangamkia fursa za kupelekea moto vibibi vya kizungu na kutimkia USA na Ulaya ila siku hizi wao wanapelekewa moto na kuolewa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu unaweza ukajiona unaandika kitu cha maana kumbe unaandika ufala tu. P didy alichofanya ni makosa, na hata wanaomfikia ni wapambanaji. Hivi kumgikia didy ni kitonga??? Unafikiri ni rahisi hivyo???Samaleko..
Binafsi nampongeza P Diddy Kwa alichowafanyia Hawa Vijana Wapenda Kitonga akiwemo Mjomba Nchumali na Wenzake, Kongole sana kwake.
Nilienda Vacation Zanzibar ila nilichoona kinafanyika kule Mashambani ni ufirauni mtupu, wanaume wanajiuza Kwa Rangi Nyeupe kuliko hata wadada, So Sad.!! Vijana wanaolelewa na mishangazi ni Wengi sana.
Kama wewe ni mwanaume tambua ya kwamba hakuna kitu cha bure hapa Duniani, lazima upambanie kombe ipasavyo.
Haijalishi unapitia kipindi gani kwenye maisha, umedondoka kiasi gani au mara ngapi unafosi michongo inafeli, usikate tamaa Man ni suala la muda juhudi zako zitazaa Matunda, usichoke kuPAMBANA.!!
Hao watu unaowaona wamefanikiwa pengine ni rika lako au Wengine unawazidi age ila wanakuzidi kimafanikio wasikutoe relini, Kila kitu ni Process, Jipambanishe wewe mwenyewe na hakikisha Jana yako haifanani na Leo baada ya MUDA Kila kitu kitakuwa vile unataka.
Wanaume tuliandikiwa kula Kwa jasho ila usitumie jasho jingi kutafuta hela zama hizi, TUMIA AKILI. Ukitumia akili Yako Vizuri huwezi kuwaza kuuza utu wako kumake pesa.
Mwanaume ni Tunu, Imagine unaiaibisha Familia Yako Kwa sababu ya Tamaa zako za Kifala na ni kijana una nguvu za kuweza kutafuta izo hela, Acha Shortcut.
No Free Lunch Man.!!
Nafikiri umeamua kupotosha umma, ungeuliza ni sababu ipi inayowafanya wakae na kusimama mbele beach.Yani Wamasai wanatia huruma ukiwakuta Beach za Zanzibar wamesimama mbele za Wanzungu
Kwa mwanamke sio mbaya sana wao walianza kitambo hata kwenye vitabu vya dini vimeandika ila Kwa Mwanaume hapana.!!Hili neno vijana linawahusu vijana wote wa kike na wa kiume,ingawa kwa wanawake inaonekana kama wao ni sawa tu kufanyiwa huo ufidhuli,huko ulaya wako pia ma celebrities wa kike ambao wameingia huo mtego na leo hii wanaonekana wana mafanikio sana...
Wamasai nlowakuta Zenjibar wamelegea sana, wamejichora tattoos ovyoovyooMaasai OG wa monduli hawez toa mafla aisee labda wakwavi wa hapo chalinze mpakani na morogoro
ZenjibarImetokea sehemu gani hii ?
Good day 👍Wewe usingempanulia? Wengi wa aina yako mnaojifanya wagumu wajua maadili ndio hua mnaachia kirahisi sana.