Tatizo la hawa WANGUNYA ni kutotaka kusema UKWELI.
Semeni kwa SAUTI MMOJA kwamba HAMUTAKI MUUNGANO full stop. Hii ya kuzunguka mbuyu haitawasaidia.
Sasa mkitoa hayo mambo 4 yakabaki mambo 3 tu ya MUUNGANO utakuwa tena huo ni MUUNGANO?!
chabuso,
..mimi nimekuonyesha kwamba Tanganyika ilikuwa mwanachama wa UN in 1961.
..Zanzibar ilikuwa mwanachama wa UN in 1963. tena nyinyi mliwatungulia hata Oman ambao walipata uanachama in 1971.
..data nilizokuletea nimekupa mpaka link ya UN wenyewe.
..what more do u need ili kujiridhisha kwamba Tanganyika ilikuwa mwanachama wa UN kabla ya Zanzibar, Uganda, na hata Kenya??
..madai kwamba kiti cha Tanzania UN kilikuwa cha Zanzibar siyo ya kweli. Ukweli ni kwamba nchi hizo ziliunganisha uanachama wao baada ya muungano.
Bado hawajapata majambia ya kutosha kujilinda.Unajua hawa jamaa ni kama changudoa wakati wote anapiga kelele kutetea maslahi yake kwa jicho moja bila kujua kuna gharama upande mwingine ata kama ulimnunulia pombe na chakula kabla ya kuanza kuchachuana.Waache waende makwao watuondolee na mkata viuno wa taarabu HADIJA MAKOPA
Mkiyapata hayo mambo manne wazenji mjiandae kwenda kuishi Zenji!
Ni kweli kabisa, yani sisi watanganyika ni watu wa ajabu sana, muungano ulitupelekea hadi nchi yetu tanganyika tukaitelekeza.Mimi nadhani ingekuwa bora tuondokane na huu muungano maana chokochoko hazitaisha, tumetumia mabilioni ya pesa kuja na hii rasimu, pesa ambazo zingeweza kabisa kuinua elimu yetu.
Ipo harufu huko mbeleni tutakuja tumia matrilioni mengine kwa ajili ya hayo saba yaliyobaki kwenye muungano.
These people will never rest mpaka wahakikishe wameuvunja.
poor,very poor insight and analysis.. Whatever the criterium you are using is so insignificant,incoherent, judgemental.. I wonder if you have passed through university,college or madrasa... Help me to know those six magnificient university to accommodate those scholar of yours?? Mkuu this kind of comparison is very poor ..dont be proud of itJe unafahamu kuwa nchi ndogo kama Znz yenye wati wasiozidi milioni moja na nusa wana University 6. Je tanganyika yenye watu zaidi ya Milioni 40 kuna university ngapi?
Angalia vile vile namba ya graduates kwa mwaka kwa nchi hizo mbili kisha utajua hilo.
Pole sana
chabuso,
..tukirudi kwenye suala la UN. wewe siyo Mzanzibari wa kwanza kudai kwamba Tanganyika haikupata kuwa mwanachama wa UN. where did you get that information from?? nchi yoyote ile inapopata uhuru wake basi haichukui muda kuandikishwa uanachama UN.
..mimi nina swali moja kwako. je, unamfahamu Balozi wa Zanzibar UN baada ya mapinduzi na kabla ya muungano?? mabalozi wa Tanganyika kipindi hicho walikuwa ni Chief Mang'enya[Jan 1963 - June 1964] na John Malecela [Nov 1964 - March 1968]. Sasa kumbuka kwamba TANZANIA[tgk + znz] uanachama wake UN ulianza Nov 1, 1964.
..zaidi, kwanini mnazungumzia uanachama wa UN tu? kwanini hamzungumzii uanachama wa Tanganyika na Zanzibar ktk OAU?? kwa uelewa wangu by 1964, Tanganyika ilikuwa ina nafasi na heshima kubwa sana ktk OAU. kama sijakosea tayari tulishapewa dhamana ya kuwa mwenyekiti wa kamati ya ukombozi wa kusini mwa Afrika ya OAU. sasa ndiyo maana wakati mwingine nashangazwa kidogo na madai ya baadhi ya wa-Zanzibar kwamba kabla ya muungano, Tanganyika ilikuwa haijulikani pahali popote.
..jambo lingine umeligusia kuhusu Jamshid kukimbilia Uingereza badala ya Oman. sina uhakika, lakini inawezekana sababu kubwa ni kwamba mwaka 1964, Oman ilikuwa choka mbaya. nadhani hazina ya mafuta iligunduliwa miaka ya 70.
cc: Nguruvi3, GHIBUU, Barubaru, Nonda
GHIBUU,
..majadiliano kuhusu mambo gani yawepo ktk muungano yalipaswa kuwa kati ya TGK na ZNZ.
..sijui kama unakumbuka hii ndiyo ilikuwa rai kuu ya mh.TUNDU LISSU.
..sijui kama unakumbuka matusi na dhihaka alizotupiwa mheshimiwa Lissu kwa kudai kwamba wa-TGK na sisi tupewe serikali yetu, kama ndugu zetu wa Znz mlivyo na serikali yenu.
cc: Nonda, Mdondoaji, Barubaru, Kibunango
ingia kwenye google utapata data zote,search for Zanzibar before Union wakati zanzibar ina kiti UN,Tanganyika haijulikani
Barubaru, KVM,
..asanteni kwa marekebisho kwamba wanafunzi wa Tanzania hawakupata kufanya mitihani ya East African Examination Council. nakiri kwamba niliteleza.
..pamoja na ningependa kufanya marekebisho kidogo kwamba NECTA ilianzishwa kisheria mwaka 1973. zaidi, kama mlivyoeleza mitihani ya Cambridge ilisita mwaka 1970. sasa labda tujaribu kuangalia btn 1970 na 1973 mitihani ilitungwa na chombo gani.
cc: Kichuguu, Augustine Moshi, NasDaz, Kitila Mkumbo
Hivi hizo ni university au madrasat?
NOTE:
Zanzibar kuna ILIMU na sio ELIMU.
Alikimbilia UK kwa shemegi zake,yupo dada ake alitoroshwa na muingereza,na akaolewa na huyo muingereza mpaka hivi sasa ana watoto na wajukuu.hahaha hizo data zako source Yake wapi,mpaka hii Leo nchi inayoitwa Tanzania inatumia kiti kilichokuwa cha Zanzibar UN,uhuru bandia hizo ni stori za kipropaganda mbona aliekuwa waziri mkuu wa mwanzo zanzibar alikuwa mpemba Kama sikosei,Sultan alikimbilia Tanganyika halafu uingereza na anaishi mpaka Leo Portmouth,hakukimbilia Oman kwasababu alikuwa raia wa zanzibar sio wa Oman,ndio maana UK walimpa hifadhi ya kisisasa
Hapo ndio ujuwe kama uhuru ulikuwa wa bandia kwa sababu haiwezekani,nchi iwe huru na sultan awe madarakani.hahaha hizo data zako source Yake wapi,mpaka hii Leo nchi inayoitwa Tanzania inatumia kiti kilichokuwa cha Zanzibar UN,uhuru bandia hizo ni stori za kipropaganda mbona aliekuwa waziri mkuu wa mwanzo zanzibar alikuwa mpemba Kama sikosei,Sultan alikimbilia Tanganyika halafu uingereza na anaishi mpaka Leo Portmouth,hakukimbilia Oman kwasababu alikuwa raia wa zanzibar sio wa Oman,ndio maana UK walimpa hifadhi ya kisisasa
poor,very poor insight and analysis.. Whatever the criterium you are using is so insignificant,incoherent, judgemental.. I wonder if you have passed through university,college or madrasa... Help me to know those six magnificient university to accommodate those scholar of yours?? Mkuu this kind of comparison is very poor ..dont be proud of it
Si ukweli,soma upate elimu,uelewe,acha maneno ya vijiweni.Huu muungano unapaswa kuwa wa kiulinzi tu. Hayo mambo mengine yote piga chini.
Tanganyika ndio itakuwa kama ndio mwanzo inapata uhuru. Maana itawalazimu kwenda kujitambulisha kimataifa kwamba mnaitwa watanganyika na sio watanzania!
Mkishapata mamlaka mnayotaka,ngojeni sasa kina Jusa,seif,Hasanal muanze kubaguliwa,huyu ni mhindi,huyu ni muarabu,huyu ni mshihiri,hapo ndio mtajuwa umuhimu wa muungano,mtaanza kufukuzana wenyewe kwa wenyewe.kuna changamoto nyingi mno zaid ya elf zinawakabili (old)watanganyika mi nafikiri nyinyi mkae mjipange na changamoto zenu achaneni na mambo ya zanzibar kudai mamlaka kamili sio dhambi pambaneni na mafisadi wenu wanatafuna nchi kila uchao haya mambo ya zanzibar hebu yaacheni msiburuzwe watanganyika nyieee na hapa inaonyeha zanzibar kuna elimu kubwa sana ya uraia kuliko bara hamjui masikini mnataka nini tukipata mamlaka kamili tutakusaidieni kujua changamoto zenu
Mkuu, hoja za kuwa na mamlaka kamili haziwezi kutetewa na majina ya zamani na sasa.
Hayo ni majina tu, hayana maana.
Jusa anajisifu kwa kurudishiwa mambo yanayokula zaidi kuliko yanayozalisha.
Elimu ya Juu - viwavi jeshi.
Jeshi la polisi - viwavi jeshi
hiyo ni expenditure mkuu, hakuna revenue hapo.
C.C Barubaru
Hao ni vibaraka,hakuna uhuru wakati sltani bado anatawala,mpaka mapinduzi mtawala alikuwa ni sultani.JokaKuu kama unajua kin'gen'ge mambo hayo,ukweli ulio wazi
Bendera ya Kenya na Zanzibar zikipandishwa kwa mara ya kwanza UN baada nchi mbili hizo kujiunga na United Nation
Dunia imekua ndogo kwenye ukweli oungo hujitenga 😉
Hapo hamna mwanarabu,Tumeambiwa serikali iliyopinduliwa ilikuwa ya mwarabu,lakini hapo sioni mwanarabu hao walikuwapo hapo ni wazanzibar wenye asili ya Kiafrika kuanzia waziri mkuu na wafuasi wake........