Alichokisema Rais Magufuli Tabora ni kweli; majungu watu hawafanyi kazi. Kanisa lajengwa katikati ya barabara, lapiga muziki masaa 24

Mkuu wakazi wa hapa wameshapeleka malalamiko kila sehemu , DC , DED , OCD ,OCS Mmassy , Mtendaji Kata , Mwenyekiti wa mtaa , kote hakuna hatua zinazochukuliwa , wananchi wamechoka sana wanasema mwishoni watajichukulia sheria mkononi .
Magu alisema korona imeondolewa Tz kwa maombi, sasa wewe unataka kanisa lifungwe ili korona irudi?
 
Hilo sio kosa la kanisa, ni kosa la halmashauri na TARURA.
 
Unataka nikamalizie waniue kwa ugonjwa?
Hawakuui utaambewa na walokole uchwara Kama wale waliofyeka msitu wa nyumba nitu wakakiona Cha moto
Magu alisema korona imeondolewa Tz kwa maombi, sasa wewe unataka kanisa lifungwe ili korona irudi?
Bosi wako kaishachanja chanjo ya Corona kawapa na watu wake wa karibu na wewe amekupa?.
 
Kwa kweli imani zingine ni kero wengine sijui ni ulimbukenii,naamini ibada ina mda wake,sio unafungulia mziki Kwa sauti Kwa ajili ya kuwasikilizisha wengine,bila kujali kuna wagonjwa n.k
Nipeni laki moja tuu nawaletea mizinga 2 ya nyuki wakalii naiweka hapo kanisani kwao....
 
Hapo naona nyumba 2 na gofu moja hilo kanisa liko wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na kanisa wewe, mbona bar zikifunguliwa hamlalamiki ?
 
Rais alisema kweli kwamba Tabora majungu ndio kwao. Ona sasa mtoa post unatuletea majungu yako hapa. Peleka huko. Fyuuuuuuu.
 
MLETA MADA NDO MKAZI HALISI WA TABORA. MAJUNGU,WIVU,CHUKI NA FITNA NDO SIFA ZA WA ASILI YA TABORA. HATA RAIS ALISEMA NA JAMAA KAWAKILISHA NDUGU ZAKE KABISA KWA MAJUNGU.
 
MLETA MADA NDO MKAZI HALISI WA TABORA. MAJUNGU,WIVU,CHUKI NA FITNA NDO SIFA ZA WA ASILI YA TABORA. HATA RAIS ALISEMA NA JAMAA KAWAKILISHA NDUGU ZAKE KABISA KWA MAJUNGU.
Soma mada uelewe acha kukurupuka , Majungu ndio watu wajenge Katikati ya barabara ? Bila kibali ? Masharti ya kujenga nyumba za ibada unayafahamu sure unajisemea tu .
 
MLETA MADA NDO MKAZI HALISI WA TABORA. MAJUNGU,WIVU,CHUKI NA FITNA NDO SIFA ZA WA ASILI YA TABORA. HATA RAIS ALISEMA NA JAMAA KAWAKILISHA NDUGU ZAKE KABISA KWA MAJUNGU.
Umeshindwa kumaliza Uzi wako unadakis mengine , Kama unstaka watu wakuchangie sema au unahamia telegram ?
 
Tabora na manzese ni chupi na taiti, hawana tofauti na ni waswahilina sana, wakusamehe t hawa
Wewe na chizi mwenzio page moja imewashinda kuelewa mmeishia darasa la pili ? Tumia akili uelewe pointi hapo ni je sheria inaruhusu kujenga kanisa kwenye makazi ya watu ? Pili sheria inaruhusu kujenga katikati ya barabara ? Tatu wahusika wana kibali cha kubadili matumizi ya eneo husika ? Kumbuka hutolewa tangazo la miezi mitatu wakazi wa eneo husika waruhusu au watoe pingamiza , Nne kama kanisa lijijengwa kwenye makazi ya watu masharti yake ni yapi ? Tano sheria ina kiwango maalum cha sauti volume uliza TFMDA , Kama hujui kitu nyamaza unajiabisha , tumia hata akili za mbuzi kuvukia barabara kuelewa your an empty head tabulalasa kwelikweli .
 
Umeshindwa kumaliza Uzi wako unadakis mengine , Kama unstaka watu wakuchangie sema au unahamia telegram ?
Wanyamwezi mnapenda sana majungu. Rais alisema jambo hili. Ndo maana hamwendelei. Mnapenda sana majungu. Na wewe umeonesha mnavyopenda majungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…