Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Magu alisema korona imeondolewa Tz kwa maombi, sasa wewe unataka kanisa lifungwe ili korona irudi?Mkuu wakazi wa hapa wameshapeleka malalamiko kila sehemu , DC , DED , OCD ,OCS Mmassy , Mtendaji Kata , Mwenyekiti wa mtaa , kote hakuna hatua zinazochukuliwa , wananchi wamechoka sana wanasema mwishoni watajichukulia sheria mkononi .
Jirani na eneo hilo yanapakana , zilibomolewa nyumba zaidi ya Mia unaitwa mtaa wa Tukutuku .Kwa nn hayo maeneo nyumba zilibomolewa... Na imekuwaje watu kuruhusiwa kujengwa Tena?
Hilo sio kosa la kanisa, ni kosa la halmashauri na TARURA.Wewe nenda kamalizie uzi wako ulioutelekeza kule jukwaa la hoja mchanganyiko , kusema watu wamejenga katikati ya barabara Ni majungu? Bila kibali ? Makanisa yote yanamaelekezo Kama kibali Chao kilivyo tolewa na afisa utamaduni hujui ? Chizi kweli wewe .
Hawakuui utaombewa na walokole uchwara Kama wale waliofyeka msitu wa nyumba nitu wakakiona Cha moto .Unataka nikamalizie waniue kwa ugonjwa?
Ila na nyie watani zangu wanyamwezi acheni Majungu. Ndo maana hamwendelei. Mna Majungu sana.Hawakuui utaombewa na walokole uchwara Kama wale waliofyeka msitu wa nyumba nitu wakakiona Cha moto .
Hawakuui utaambewa na walokole uchwara Kama wale waliofyeka msitu wa nyumba nitu wakakiona Cha motoUnataka nikamalizie waniue kwa ugonjwa?
Bosi wako kaishachanja chanjo ya Corona kawapa na watu wake wa karibu na wewe amekupa?.Magu alisema korona imeondolewa Tz kwa maombi, sasa wewe unataka kanisa lifungwe ili korona irudi?
Roho mtakatifu awalinde walokole uchwara ?ROHO MTAKATIFU anawalinda, najua hapa Tabora watoto wa ma'mdogo hawapendi makanisa ila okovu ndio umefika sasa
Nipeni laki moja tuu nawaletea mizinga 2 ya nyuki wakalii naiweka hapo kanisani kwao....Kwa kweli imani zingine ni kero wengine sijui ni ulimbukenii,naamini ibada ina mda wake,sio unafungulia mziki Kwa sauti Kwa ajili ya kuwasikilizisha wengine,bila kujali kuna wagonjwa n.k
Finally umeonyesha Rangi yako halisiRoho mtakatifu awalinde walokole uchwara ?
Hapo naona nyumba 2 na gofu moja hilo kanisa liko wapiNikiwa Tabora ambapo nilikwenda kwenye msiba wa rafiki yangu aliyefiwa na mama yake mwezi huu. Nilikutana na kituko cha mwaka ambapo tukiwa hapo msibani ulisikika muziki mkubwa sana kiasi ambacho huwezi kuongea na mtu jirani yako, huwezi kupokea simu au kusikiliza simu. Nilipouliza nikaambiwa hilo ni kanisa la walokole Bethel, ambao walifukuzwa kutoka kata ya cheyo ndio wamehamia Kariakoo Tabora kata ya Kitete, ambapo toka wahamie Muziki ni masaa 24 kwa sauti ya juu sana.
Wakazi wa eneo hilo licha ya kulalamika kwa mkuu wa wilaya kwa maandishi DC Komanya, mkurugenzi, mtendaji kata, mwenyekiti wa mtaa, polisi mkuu wa kituo Mmassy, OCD, bado kanisa hilo linaendelea na fujo, vurugu huku mchungaji wa kanisa hilo Mch Jackson akiwambia wakazi hao kuwa serikali yote ya mkoa ameiweka mfukoni.
Mbaya zaidi huyo kaamua kujenga katikati ya barabara na kuziba barabara mtaa hivyo hapapitiki kwa gari, huwezi kupitisha mgonjwa, maiti hata kwa matumizi ya kawaida.
Jirani na kariakoo Ni eneo la Tukutuku ambapo nyumba zaidi ya Mia zilivunjwa kwa kujengwa maeneo yasiyoruhusiwa na bila kibali cha manispaa. Kanisa hilo linajengwa katikati ya barabara bila kibali? Au ndio afisa mipango miji katoa kibali Cha kujenga katikati ya barabara be? Haya yanafanyika huku Mkuu wa Mkoa yupo, Mkuu wa Wilaya yupo, Mkurugenzi yupo, Afisa Mipango Miji yupo na taarifa za malalamiko wanazo au ndiyo ukweli wa maneno ya rais Magufuri kuwa Tabora wamekalia majungu hawafanyi kazi?
NB: Kanisa na nyumba ya mchungaji vimejengwa kuziba barabara. Muziki mkubwa kanisani waliomo ndani sasa hata kumi hawafikiriki.
Nikiwa Tabora ambapo nilikwenda kwenye msiba wa rafiki yangu aliyefiwa na mama yake mwezi huu. Nilikutana na kituko cha mwaka ambapo tukiwa hapo msibani ulisikika muziki mkubwa sana kiasi ambacho huwezi kuongea na mtu jirani yako, huwezi kupokea simu au kusikiliza simu. Nilipouliza nikaambiwa hilo ni kanisa la walokole Bethel, ambao walifukuzwa kutoka kata ya cheyo ndio wamehamia Kariakoo Tabora kata ya Kitete, ambapo toka wahamie Muziki ni masaa 24 kwa sauti ya juu sana.
Wakazi wa eneo hilo licha ya kulalamika kwa mkuu wa wilaya kwa maandishi DC Komanya, mkurugenzi, mtendaji kata, mwenyekiti wa mtaa, polisi mkuu wa kituo Mmassy, OCD, bado kanisa hilo linaendelea na fujo, vurugu huku mchungaji wa kanisa hilo Mch Jackson akiwambia wakazi hao kuwa serikali yote ya mkoa ameiweka mfukoni.
Mbaya zaidi huyo kaamua kujenga katikati ya barabara na kuziba barabara mtaa hivyo hapapitiki kwa gari, huwezi kupitisha mgonjwa, maiti hata kwa matumizi ya kawaida.
Jirani na kariakoo Ni eneo la Tukutuku ambapo nyumba zaidi ya Mia zilivunjwa kwa kujengwa maeneo yasiyoruhusiwa na bila kibali cha manispaa. Kanisa hilo linajengwa katikati ya barabara bila kibali? Au ndio afisa mipango miji katoa kibali Cha kujenga katikati ya barabara be? Haya yanafanyika huku Mkuu wa Mkoa yupo, Mkuu wa Wilaya yupo, Mkurugenzi yupo, Afisa Mipango Miji yupo na taarifa za malalamiko wanazo au ndiyo ukweli wa maneno ya rais Magufuri kuwa Tabora wamekalia majungu hawafanyi kazi?
NB: Kanisa na nyumba ya mchungaji vimejengwa kuziba barabara. Muziki mkubwa kanisani waliomo ndani sasa hata kumi hawafikiriki.
Tabora na manzese ni chupi na taiti, hawana tofauti na ni waswahilina sana, wakusamehe t hawaNYIE WATU WA TABORA MNA MAJUNGU SANA,WIVU NA FITNA NA UMEONESHA TABIA ZENU
Soma mada uelewe acha kukurupuka , Majungu ndio watu wajenge Katikati ya barabara ? Bila kibali ? Masharti ya kujenga nyumba za ibada unayafahamu sure unajisemea tu .MLETA MADA NDO MKAZI HALISI WA TABORA. MAJUNGU,WIVU,CHUKI NA FITNA NDO SIFA ZA WA ASILI YA TABORA. HATA RAIS ALISEMA NA JAMAA KAWAKILISHA NDUGU ZAKE KABISA KWA MAJUNGU.
Umeshindwa kumaliza Uzi wako unadakis mengine , Kama unstaka watu wakuchangie sema au unahamia telegram ?MLETA MADA NDO MKAZI HALISI WA TABORA. MAJUNGU,WIVU,CHUKI NA FITNA NDO SIFA ZA WA ASILI YA TABORA. HATA RAIS ALISEMA NA JAMAA KAWAKILISHA NDUGU ZAKE KABISA KWA MAJUNGU.
Wewe na chizi mwenzio page moja imewashinda kuelewa mmeishia darasa la pili ? Tumia akili uelewe pointi hapo ni je sheria inaruhusu kujenga kanisa kwenye makazi ya watu ? Pili sheria inaruhusu kujenga katikati ya barabara ? Tatu wahusika wana kibali cha kubadili matumizi ya eneo husika ? Kumbuka hutolewa tangazo la miezi mitatu wakazi wa eneo husika waruhusu au watoe pingamiza , Nne kama kanisa lijijengwa kwenye makazi ya watu masharti yake ni yapi ? Tano sheria ina kiwango maalum cha sauti volume uliza TFMDA , Kama hujui kitu nyamaza unajiabisha , tumia hata akili za mbuzi kuvukia barabara kuelewa your an empty head tabulalasa kwelikweli .Tabora na manzese ni chupi na taiti, hawana tofauti na ni waswahilina sana, wakusamehe t hawa
Wanyamwezi mnapenda sana majungu. Rais alisema jambo hili. Ndo maana hamwendelei. Mnapenda sana majungu. Na wewe umeonesha mnavyopenda majungu.Umeshindwa kumaliza Uzi wako unadakis mengine , Kama unstaka watu wakuchangie sema au unahamia telegram ?