Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama

Akili mingi kiongozi lakini vipi kuhusu TV?? Ulituma??

.
 
Ahahahaha, JF never boring......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] "shikamooo moyo usukumao damu"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajitekenya na kucheka mwenyew.umeandika uzi kwa id nyingine umekuja kujijibu kwa id hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tv ulipeleka?
 
ha ha ha ha ha hii inafaa kwa wale wa kutafuna tu,ila kwa mke mtarajiwa usitumie hii njia tumia njia halali kama aliyotumia cosovo kumjua tabia halisi ya mtu aliyekuwa anachat naye.
 
Mi nadhani mlikuwa bado hamjakubaliana vizuri, jifunze kuwa papuchi haifuatwi bali inatumiwa nauli + ya kula njiani + ya nguo kujiweka sawa + ya emergency.
Moving shop au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…