Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama

Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama

Yaani kama ulikua kwenye akili yangu. Mimi niliweka gari ya nyumbani mafuta nikaenda sehem kama klm 23 kufata dem. Si mchezo akili yangu ilifanya kazi sana. Kwanza nikamwambia mimi napata muda wa kuja kuanzia saa kumi na moja jioni akasema sawa manake najua nikienda kuna umbali kuanzia ile saa 11 hadi kufika ni mwendo kidogo na muda utakua umesepa sana so itamuwea ngumu kunimbia nirudi.
Kufika akafungua geti nikaingiza gari ndani. Nikaingia ndani tukapiga stori sana ila nikawa najiuza kwanini muda unaenda na hapiki,? Itakuwaje au anajua naondoka? Baadae akaropoka kuna sehem ananipeleka kula samaki mkubwa nikasema yess manake kwenye stori za simu anasikia nikisema napenda samaki wakubwa.
Nikamuuliza kiutani kuwa nitamani anipikie akajibu atanipikia kesho mchana, hapo nikaanza kujipa nafasi ila akawa hataki kunikaribia kabisa kila nikimsogelea kumwonyesha kitu kwenye simu nimtege ananitema.
Akili ikawa inaniuma sana aisee, nikarusha tena mtego kwa kuwa nilikua sitaki kuwa bize na simu usiku ili kuepuka videm vingine visinichek nikamuuliza swali la mtego kuwa niache simu yangu kwenye chaji hapa home au tutabaki huko huko tukienda kula? Akajibu tunarudi kulala hatuwezi kulala huko. Sasa hapo mwanaume nikawa nawaza yale maneno, "TUNARUDI KULALA HATUWEZI KULALA HUKO" nikarudia tena kusema kichwani kwangu TUNA. Maana yake ni wingi yaani mimi na yeye tunarudi na vilevile nikajisemea angekua ananiwekea ngumu angesema ANARUDI sio TUNARUDI. Hapo nikajiwekea nafasi na point kadhaa.
Akili ingine ikaja kuwa naweza kuja kulala kwake asilale na mimi aidha alale chumbani na mimi nilale sebuleni au kinyume chake pia. Kuanzia pale nikawa naangalia udhaifu wa ile nyumba na ni nini anapenda, akawa hana tv na mziki na dem mwenyewe anapenda mziki balaa, nikajiropokea nikirudi kazini keshokutwa nakutumia tv na homethatre akafurahi sana. Kwa kufupisha tuu tulitoka kula na kunywa na tukarudi na nikapiga mzigo ila baada ya kutumia akili nyingi sana manake alikua anagoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili mingi kiongozi lakini vipi kuhusu TV?? Ulituma??

.
 
Miezi mitatu iliyopita,ulikuwa mwezi wa septemba mwaka 2018 katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nilikutana na bi dada,tukabadilishana namba tukawa tunachart......kupigiana sim kila mara...baby umekula,unafanya nini,njoo tulale...nakadhalika na kadhalika

Baadaye nikamwambia naomba nije kukusalimia......bi dada akakubali,basi nikafungasha safari km 800 kumsalimia...siyo siri alinipokea kwa furaha pale stend hadi kuni-hug.....nikasuzika moyo nikafikiria leo nitaenjoy....


Ilipofika muda wa jioni.....nikadhani nitalala na bi dada anitoe uchovu loh!
Mambo yakabadilika,bi dada akasimama na msimamo kuwa siku ya kwanza asingelala na mimi,niende kulala mwenyewe lodge au aniachie chumba chake nilale.....siyo siri nilichoka akili,nikajiuliza nitawezaje kulala mwenyewe na huku tukiwa tunachart na bi dada huwa tunachart mpaka morning glory, iweje leo anikatae tusilale pamoja?......siyo siri niliona bora nikalale kusikojulikana

Bi dada nimeuona uzi wako ukidai kwa nini sikuvumilia....lakini sikuweza kuvumilia kwa sababu kabla ya kuja kwako ulikubali kuwa tungelala kitanda kimoja hata kama tusinge-du siku hiyo...pia nilihitaji tupige stori usiku ule ningewezaje kulala mwenyewe bi dada???

Wanawake muwe na huruma....angalia safari aliyotembea kukufuata...muda wake,wanawake wangapi amewaacha kwa kila mita 100 ni zaidi ya 300, pesa alizotumia halafu anafika kwako unamchenjia siyo vizuri,siyo siri usiku ule sikulala,nilikaa stendi mpaka asubuhi nikiwaza dunia inachonitendea



Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahaha, JF never boring......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] "shikamooo moyo usukumao damu"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi mitatu iliyopita,ulikuwa mwezi wa septemba mwaka 2018 katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nilikutana na bi dada,tukabadilishana namba tukawa tunachart......kupigiana sim kila mara...baby umekula,unafanya nini,njoo tulale...nakadhalika na kadhalika

Baadaye nikamwambia naomba nije kukusalimia......bi dada akakubali,basi nikafungasha safari km 800 kumsalimia...siyo siri alinipokea kwa furaha pale stend hadi kuni-hug.....nikasuzika moyo nikafikiria leo nitaenjoy....


Ilipofika muda wa jioni.....nikadhani nitalala na bi dada anitoe uchovu loh!
Mambo yakabadilika,bi dada akasimama na msimamo kuwa siku ya kwanza asingelala na mimi,niende kulala mwenyewe lodge au aniachie chumba chake nilale.....siyo siri nilichoka akili,nikajiuliza nitawezaje kulala mwenyewe na huku tukiwa tunachart na bi dada huwa tunachart mpaka morning glory, iweje leo anikatae tusilale pamoja?......siyo siri niliona bora nikalale kusikojulikana

Bi dada nimeuona uzi wako ukidai kwa nini sikuvumilia....lakini sikuweza kuvumilia kwa sababu kabla ya kuja kwako ulikubali kuwa tungelala kitanda kimoja hata kama tusinge-du siku hiyo...pia nilihitaji tupige stori usiku ule ningewezaje kulala mwenyewe bi dada???

Wanawake muwe na huruma....angalia safari aliyotembea kukufuata...muda wake,wanawake wangapi amewaacha kwa kila mita 100 ni zaidi ya 300, pesa alizotumia halafu anafika kwako unamchenjia siyo vizuri,siyo siri usiku ule sikulala,nilikaa stendi mpaka asubuhi nikiwaza dunia inachonitendea



Sent using Jamii Forums mobile app
Unajitekenya na kucheka mwenyew.umeandika uzi kwa id nyingine umekuja kujijibu kwa id hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kama ulikua kwenye akili yangu. Mimi niliweka gari ya nyumbani mafuta nikaenda sehem kama klm 23 kufata dem. Si mchezo akili yangu ilifanya kazi sana. Kwanza nikamwambia mimi napata muda wa kuja kuanzia saa kumi na moja jioni akasema sawa manake najua nikienda kuna umbali kuanzia ile saa 11 hadi kufika ni mwendo kidogo na muda utakua umesepa sana so itamuwea ngumu kunimbia nirudi.
Kufika akafungua geti nikaingiza gari ndani. Nikaingia ndani tukapiga stori sana ila nikawa najiuza kwanini muda unaenda na hapiki,? Itakuwaje au anajua naondoka? Baadae akaropoka kuna sehem ananipeleka kula samaki mkubwa nikasema yess manake kwenye stori za simu anasikia nikisema napenda samaki wakubwa.
Nikamuuliza kiutani kuwa nitamani anipikie akajibu atanipikia kesho mchana, hapo nikaanza kujipa nafasi ila akawa hataki kunikaribia kabisa kila nikimsogelea kumwonyesha kitu kwenye simu nimtege ananitema.
Akili ikawa inaniuma sana aisee, nikarusha tena mtego kwa kuwa nilikua sitaki kuwa bize na simu usiku ili kuepuka videm vingine visinichek nikamuuliza swali la mtego kuwa niache simu yangu kwenye chaji hapa home au tutabaki huko huko tukienda kula? Akajibu tunarudi kulala hatuwezi kulala huko. Sasa hapo mwanaume nikawa nawaza yale maneno, "TUNARUDI KULALA HATUWEZI KULALA HUKO" nikarudia tena kusema kichwani kwangu TUNA. Maana yake ni wingi yaani mimi na yeye tunarudi na vilevile nikajisemea angekua ananiwekea ngumu angesema ANARUDI sio TUNARUDI. Hapo nikajiwekea nafasi na point kadhaa.
Akili ingine ikaja kuwa naweza kuja kulala kwake asilale na mimi aidha alale chumbani na mimi nilale sebuleni au kinyume chake pia. Kuanzia pale nikawa naangalia udhaifu wa ile nyumba na ni nini anapenda, akawa hana tv na mziki na dem mwenyewe anapenda mziki balaa, nikajiropokea nikirudi kazini keshokutwa nakutumia tv na homethatre akafurahi sana. Kwa kufupisha tuu tulitoka kula na kunywa na tukarudi na nikapiga mzigo ila baada ya kutumia akili nyingi sana manake alikua anagoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tv ulipeleka?
 
Yaani kama ulikua kwenye akili yangu. Mimi niliweka gari ya nyumbani mafuta nikaenda sehem kama klm 23 kufata dem. Si mchezo akili yangu ilifanya kazi sana. Kwanza nikamwambia mimi napata muda wa kuja kuanzia saa kumi na moja jioni akasema sawa manake najua nikienda kuna umbali kuanzia ile saa 11 hadi kufika ni mwendo kidogo na muda utakua umesepa sana so itamuwea ngumu kunimbia nirudi.
Kufika akafungua geti nikaingiza gari ndani. Nikaingia ndani tukapiga stori sana ila nikawa najiuza kwanini muda unaenda na hapiki,? Itakuwaje au anajua naondoka? Baadae akaropoka kuna sehem ananipeleka kula samaki mkubwa nikasema yess manake kwenye stori za simu anasikia nikisema napenda samaki wakubwa.
Nikamuuliza kiutani kuwa nitamani anipikie akajibu atanipikia kesho mchana, hapo nikaanza kujipa nafasi ila akawa hataki kunikaribia kabisa kila nikimsogelea kumwonyesha kitu kwenye simu nimtege ananitema.
Akili ikawa inaniuma sana aisee, nikarusha tena mtego kwa kuwa nilikua sitaki kuwa bize na simu usiku ili kuepuka videm vingine visinichek nikamuuliza swali la mtego kuwa niache simu yangu kwenye chaji hapa home au tutabaki huko huko tukienda kula? Akajibu tunarudi kulala hatuwezi kulala huko. Sasa hapo mwanaume nikawa nawaza yale maneno, "TUNARUDI KULALA HATUWEZI KULALA HUKO" nikarudia tena kusema kichwani kwangu TUNA. Maana yake ni wingi yaani mimi na yeye tunarudi na vilevile nikajisemea angekua ananiwekea ngumu angesema ANARUDI sio TUNARUDI. Hapo nikajiwekea nafasi na point kadhaa.
Akili ingine ikaja kuwa naweza kuja kulala kwake asilale na mimi aidha alale chumbani na mimi nilale sebuleni au kinyume chake pia. Kuanzia pale nikawa naangalia udhaifu wa ile nyumba na ni nini anapenda, akawa hana tv na mziki na dem mwenyewe anapenda mziki balaa, nikajiropokea nikirudi kazini keshokutwa nakutumia tv na homethatre akafurahi sana. Kwa kufupisha tuu tulitoka kula na kunywa na tukarudi na nikapiga mzigo ila baada ya kutumia akili nyingi sana manake alikua anagoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha ha hii inafaa kwa wale wa kutafuna tu,ila kwa mke mtarajiwa usitumie hii njia tumia njia halali kama aliyotumia cosovo kumjua tabia halisi ya mtu aliyekuwa anachat naye.
 
Mi nadhani mlikuwa bado hamjakubaliana vizuri, jifunze kuwa papuchi haifuatwi bali inatumiwa nauli + ya kula njiani + ya nguo kujiweka sawa + ya emergency.
Moving shop au sio?
 
Back
Top Bottom