Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama

Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama

Pole sana...

Muwe na makoromea ya kuhifadhi mambo pasipo kuyatangaza, mambo kama haya...

Kama ni demu unakausha na kwa men unakausha pia maisha yanandelea...


Cc: mahondaw
 
Naweza sema ulijikosesha bahati mwenyewe mvumilivu hula mbivu baba. Mwanamke anahitaji nafasi ili afanye tendo sisi wanaume tunahitaji sehemu tuuu, tunamaliza mchezo. Hasira hasara ungevumilia ungekuwa mpaka sasa unajimegea tu! Mara zote mie huwa simba mwenda pole! Hapo hata bidada keshajua wewe si mvumilivu hata maisha ya kawaida utaleta shida. Wenzenu enzi za mwalimu tunatongoza mwaka. Unakuja likizo toka shule unakuta jirani yenu kuna demu mkali unatongoza mwezi mzima wa likizo hakieleweki unarudi shule. Mwezi wa sita likizo ukirudi tu unae tena hapa mnaanza kuelewana mnakaa napiga story kwa kuiba msikamatwe na wazazi, likizo inaisha. Mwezi wa kumi na mbili tena Christmas mzee inatafutwa chance unakula mzigo. Sasa wewe mzee masaa tu tena umeambiwa ukapumzike unakasirika? Duh
 
Hahahaa ulitaka mlale mpige hata story tu?! Kitanda kimoja!? Aiseee ww hufikirii hata unachoandika.. Kwahyo Km zote hizo ulienda ili upige story usiku
 
Miezi mitatu iliyopita,ulikuwa mwezi wa septemba mwaka 2018 katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nilikutana na bi dada,tukabadilishana namba tukawa tunachart......kupigiana sim kila mara...baby umekula,unafanya nini,njoo tulale...nakadhalika na kadhalika

Baadaye nikamwambia naomba nije kukusalimia......bi dada akakubali,basi nikafungasha safari km 800 kumsalimia...siyo siri alinipokea kwa furaha pale stend hadi kuni-hug.....nikasuzika moyo nikafikiria leo nitaenjoy....


Ilipofika muda wa jioni.....nikadhani nitalala na bi dada anitoe uchovu loh!
Mambo yakabadilika,bi dada akasimama na msimamo kuwa siku ya kwanza asingelala na mimi,niende kulala mwenyewe lodge au aniachie chumba chake nilale.....siyo siri nilichoka akili,nikajiuliza nitawezaje kulala mwenyewe na huku tukiwa tunachart na bi dada huwa tunachart mpaka morning glory, iweje leo anikatae tusilale pamoja?......siyo siri niliona bora nikalale kusikojulikana

Bi dada nimeuona uzi wako ukidai kwa nini sikuvumilia....lakini sikuweza kuvumilia kwa sababu kabla ya kuja kwako ulikubali kuwa tungelala kitanda kimoja hata kama tusinge-du siku hiyo...pia nilihitaji tupige stori usiku ule ningewezaje kulala mwenyewe bi dada???

Wanawake muwe na huruma....angalia safari aliyotembea kukufuata...muda wake,wanawake wangapi amewaacha kwa kila mita 100 ni zaidi ya 300, pesa alizotumia halafu anafika kwako unamchenjia siyo vizuri,siyo siri usiku ule sikulala,nilikaa stendi mpaka asubuhi nikiwaza dunia inachonitendea



Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nitumie namba yake nimpake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu,kuna mawili na yote yanaweza kuwa majibu,inaweza kuwa hakuvutiwa na wewe au alikufanyia hivyo ili kujionyesha kutokuwa cheap;mwenyeji wako alikuwa na nafasi kubwa sana ya kulal na wewe bila se.x ila kugusana hapa na pale ili kumfariji mgeni wake na kufikia mshindo, hii inategemea na utundu na ukomavu wa mwenyeji.Inawezekana ukalazimisha mahusiano baadaye yakakutesa huko mbeleni.Ushauri,usiruhusu hisia kufanya maamuzi magumu angalia unataka upate mtu wa namna gani.
 
Anasema tatizo we hata hukujiongeza yani kila kitu ulikua unataka free mandela, hujawahi hata kutuma ya vocha ni kweli hayo?
ha ha ha ha unajua uanaume ni majukumu,alitakiwa apige mkwara mfano;'sitaki uishi sehemu za shidashida hizi,itabidi wiki ijayo nikupangishie nyumba nzuri bhana nataka nikiwa nakuja nilale sehemu nzuri nzuri',au 'itabidi wiki ijayo uje sehemu fulani ni kufungulie duka la nguo bhana n.k'nadhani angetumia njia za namna hiyo,angepewa staili zote na angeogeshwa na mdalasini.
 
Miezi mitatu iliyopita,ulikuwa mwezi wa septemba mwaka 2018 katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nilikutana na bi dada,tukabadilishana namba tukawa tunachart......kupigiana sim kila mara...baby umekula,unafanya nini,njoo tulale...nakadhalika na kadhalika

Baadaye nikamwambia naomba nije kukusalimia......bi dada akakubali,basi nikafungasha safari km 800 kumsalimia...siyo siri alinipokea kwa furaha pale stend hadi kuni-hug.....nikasuzika moyo nikafikiria leo nitaenjoy....


Ilipofika muda wa jioni.....nikadhani nitalala na bi dada anitoe uchovu loh!
Mambo yakabadilika,bi dada akasimama na msimamo kuwa siku ya kwanza asingelala na mimi,niende kulala mwenyewe lodge au aniachie chumba chake nilale.....siyo siri nilichoka akili,nikajiuliza nitawezaje kulala mwenyewe na huku tukiwa tunachart na bi dada huwa tunachart mpaka morning glory, iweje leo anikatae tusilale pamoja?......siyo siri niliona bora nikalale kusikojulikana

Bi dada nimeuona uzi wako ukidai kwa nini sikuvumilia....lakini sikuweza kuvumilia kwa sababu kabla ya kuja kwako ulikubali kuwa tungelala kitanda kimoja hata kama tusinge-du siku hiyo...pia nilihitaji tupige stori usiku ule ningewezaje kulala mwenyewe bi dada???

Wanawake muwe na huruma....angalia safari aliyotembea kukufuata...muda wake,wanawake wangapi amewaacha kwa kila mita 100 ni zaidi ya 300, pesa alizotumia halafu anafika kwako unamchenjia siyo vizuri,siyo siri usiku ule sikulala,nilikaa stendi mpaka asubuhi nikiwaza dunia inachonitendea



Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh jf ina mambo..mi nakushauri Uanze upya
 
Back
Top Bottom