Aliens inasemekana kuwasaidia sana jeshi la Marekani katika teknolojia ya silaha

Aliens inasemekana kuwasaidia sana jeshi la Marekani katika teknolojia ya silaha

wanaoaminika kuwazidi binadamu akili ,marekani baada ya kushindwa kuunda kombola la hypasonic wanahaha kuwapata Hawa viumbe​

thumb_616_800x420_0_0_auto.jpg


VITABU vitakatifu vimeandika kuwa Mwenyezi Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana,inaaminika kuwa vitu visivyoonekana ni vingi kuliko vinavyoonekana.

Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens.Inaaminika wana muonekano kama binadamu isipokuwa hawafanani moja kwa moja na binadamu. Viumbe hao waliogundulika karne kadhaa zilizopita wameshatengenezewa filamu nyingi na wasanii mbalimbali duniani (tutazichambua huko mbele).

Aliens wapo wa rangi tofauti kama kijani, weupe, weusi, njano, zambarau na kila aina ya rangi.Inaaminika kuwa Aliens wanaoishi angani wana akili nyingi kuliko binadamu. Wana mfumo wa kompyuta uitwao Alien Software na wapo juu kiteknojia kuliko binadamu tatizo tuu hawavai nguo!!

Tofauti na binadamu ambaye anafanya kazi kwa hatua moja kwenda nyingine, Aliens wao hufanya mambo kinyume kabisa. Kwa mfano wakitaka kusema ‘naomba maji’ husema ‘maji naomba’ yaani cha nyuma kinakwenda mbele na cha mbele kinarudi nyuma. Kama tunavyowashangaa, nao pia wanatushangaa na kutuona viumbe wa ajabu.

Haijulikani moja kwa moja viumbe hawa wa ajabu wanaishi sayari gani lakini Pia inaaminika waliwahi kuonekana Kisiwa cha Bermuda pwani ya Mashariki mwa Marekani, Kisiwa cha Puerto Rico kilichopo Kaskazini mwa Carrebian na Fort Lauderdale huko Florida, Marekani.

Aliens wanatajwa kuhusika na upotevu wa watu duniani ikiaminika kuwa labda watu hao walikufa lakini ukweli ni kwamba huchukuliwa na viumbe hao.Ndege za kijeshi zimeripotiwa mara nyingi kupotea au kutokuonekana milele ,inaaminika viumbe Aliens ndiyo wahusika wa upotevu huo.Wapo binadamu wanaoamini kuwa Aliens walikuwepo duniani tangu enzi hizo kabla ya binadamu na hawajaondoka.

Inaaminika viumbe hawa wamekuwa wakitua maeneo mbalimbali duniani na kuna baadhi ya serikali duniani zinawajua.Wataalam wa anga wanadai kuwa kazi ambazo zinafanywa na Aliens kwa siku moja binadamu anaweza kutumia miaka 100 kufanyakazi hiyo kwa hiyo viumbe hao wako mbali kimaendeleo na wanafanya wanavyotaka
Hadith hiz hazina tofauti na zile binadamu wa kwanza alikua nyani
 

wanaoaminika kuwazidi binadamu akili ,marekani baada ya kushindwa kuunda kombola la hypasonic wanahaha kuwapata Hawa viumbe​

thumb_616_800x420_0_0_auto.jpg


VITABU vitakatifu vimeandika kuwa Mwenyezi Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana,inaaminika kuwa vitu visivyoonekana ni vingi kuliko vinavyoonekana.

Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens.Inaaminika wana muonekano kama binadamu isipokuwa hawafanani moja kwa moja na binadamu. Viumbe hao waliogundulika karne kadhaa zilizopita wameshatengenezewa filamu nyingi na wasanii mbalimbali duniani (tutazichambua huko mbele).

Aliens wapo wa rangi tofauti kama kijani, weupe, weusi, njano, zambarau na kila aina ya rangi.Inaaminika kuwa Aliens wanaoishi angani wana akili nyingi kuliko binadamu. Wana mfumo wa kompyuta uitwao Alien Software na wapo juu kiteknojia kuliko binadamu tatizo tuu hawavai nguo!!

Tofauti na binadamu ambaye anafanya kazi kwa hatua moja kwenda nyingine, Aliens wao hufanya mambo kinyume kabisa. Kwa mfano wakitaka kusema ‘naomba maji’ husema ‘maji naomba’ yaani cha nyuma kinakwenda mbele na cha mbele kinarudi nyuma. Kama tunavyowashangaa, nao pia wanatushangaa na kutuona viumbe wa ajabu.

Haijulikani moja kwa moja viumbe hawa wa ajabu wanaishi sayari gani lakini Pia inaaminika waliwahi kuonekana Kisiwa cha Bermuda pwani ya Mashariki mwa Marekani, Kisiwa cha Puerto Rico kilichopo Kaskazini mwa Carrebian na Fort Lauderdale huko Florida, Marekani.

Aliens wanatajwa kuhusika na upotevu wa watu duniani ikiaminika kuwa labda watu hao walikufa lakini ukweli ni kwamba huchukuliwa na viumbe hao.Ndege za kijeshi zimeripotiwa mara nyingi kupotea au kutokuonekana milele ,inaaminika viumbe Aliens ndiyo wahusika wa upotevu huo.Wapo binadamu wanaoamini kuwa Aliens walikuwepo duniani tangu enzi hizo kabla ya binadamu na hawajaondoka.

Inaaminika viumbe hawa wamekuwa wakitua maeneo mbalimbali duniani na kuna baadhi ya serikali duniani zinawajua.Wataalam wa anga wanadai kuwa kazi ambazo zinafanywa na Aliens kwa siku moja binadamu anaweza kutumia miaka 100 kufanyakazi hiyo kwa hiyo viumbe hao wako mbali kimaendeleo na wanafanya wanavyotaka
Stori za Abunuasi na hadithi za hekaya
 
elimu ya kundalini ndio inawapa watu shida ila tunayoifahamu unaweza usistaajabu kuhusu mungu,wewe,dini na vyote
 
Msiwe mnalishwa matango pori nanyi mnayabeba hivyo hivyo. Ukisubiri aliens waje hapo makao makuu ya jeshi kuwasaidia kuborrsha jeshi lenu mtasubiri sana.

facts.
bajeti ya jeshi la marekani inayo elekezwa kwenye tafiti zinazo lenga uboreshwaji wa silaha na mambo mengine ya kijeshi ni sh. Ngapi?

taifa hilo linazalisha wataalamu wangapi ambao ni wabobezi wa maswala ya teknolojia za kivita?

makampuni/mashirika mangapi binafsi yameingia mikataba na jeshi la marekani kuwauzia teknolojia mpya mpya?

Tazania babu yako akikutwa na gobole huko kijijini alilojitengenezea unadhani Kamanda Sirro atamfanya nini?

Tanzania bajeti ya matumizi na ile ya tafiti ukizilinganisha zinakupa majibu gani?
Teknolojia siyo equivalent na hela!!!
 
Hivi bafo kuna watu wanao amini kwenye UFO?? Yaani mawazo ya kitoto kabisa!
 
Alliens wapo more advanced miaka elf 3 mbele yetu. Vifaa vyao mfano UFO Hakuna kifaa chochote cha binadamu kinaweza kikamata ni lazima kiyeyuke. Technology zote unazoziona duniani ni copy and paste ya vilivyomo katika technology ya ulimwengu usioonekana vitu kama radar, smart tv, phone, jet fighter, satellite, mifumo mbalimbali ya kidunia ulimwengu usioonekana wanavyo tangu kabla. Elites au watu ambao ni magenius mfano kina Tesla, elon musk, Ford, nk hawa wamepewa uwezo (ideas) kwa kulink visiovyoonekana. Hata wazungu wengi ni mchanganyiko wa genies za alliens na binadamu.
Haya mambo huwezi yaelewa hadi uwe na elimu kuhusu viumbe vya ulimwengu usioonekana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nyani kama nyani tu.
 
UFO zinatoka Russia na wazungu wanaamini ni Aliens [emoji89] hahaha
Kila mmoja ana mtazamo wake hata kama hukubali
 
Hawavai nguo na wala hawatamaniani...

Hawana dhambi ya asili ya kuvunja amri ya sita...
 
wanaoaminika kuwazidi binadamu akili ,marekani baada ya kushindwa kuunda kombola la hypasonic wanahaha kuwapata Hawa viumbe
thumb_616_800x420_0_0_auto.jpg


VITABU vitakatifu vimeandika kuwa Mwenyezi Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana,inaaminika kuwa vitu visivyoonekana ni vingi kuliko vinavyoonekana.

Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens.Inaaminika wana muonekano kama binadamu isipokuwa hawafanani moja kwa moja na binadamu. Viumbe hao waliogundulika karne kadhaa zilizopita wameshatengenezewa filamu nyingi na wasanii mbalimbali duniani (tutazichambua huko mbele).

Aliens wapo wa rangi tofauti kama kijani, weupe, weusi, njano, zambarau na kila aina ya rangi.Inaaminika kuwa Aliens wanaoishi angani wana akili nyingi kuliko binadamu. Wana mfumo wa kompyuta uitwao Alien Software na wapo juu kiteknojia kuliko binadamu tatizo tuu hawavai nguo!!

Tofauti na binadamu ambaye anafanya kazi kwa hatua moja kwenda nyingine, Aliens wao hufanya mambo kinyume kabisa. Kwa mfano wakitaka kusema ‘naomba maji’ husema ‘maji naomba’ yaani cha nyuma kinakwenda mbele na cha mbele kinarudi nyuma. Kama tunavyowashangaa, nao pia wanatushangaa na kutuona viumbe wa ajabu.

Haijulikani moja kwa moja viumbe hawa wa ajabu wanaishi sayari gani lakini Pia inaaminika waliwahi kuonekana Kisiwa cha Bermuda pwani ya Mashariki mwa Marekani, Kisiwa cha Puerto Rico kilichopo Kaskazini mwa Carrebian na Fort Lauderdale huko Florida, Marekani.

Aliens wanatajwa kuhusika na upotevu wa watu duniani ikiaminika kuwa labda watu hao walikufa lakini ukweli ni kwamba huchukuliwa na viumbe hao.Ndege za kijeshi zimeripotiwa mara nyingi kupotea au kutokuonekana milele ,inaaminika viumbe Aliens ndiyo wahusika wa upotevu huo.Wapo binadamu wanaoamini kuwa Aliens walikuwepo duniani tangu enzi hizo kabla ya binadamu na hawajaondoka.

Inaaminika viumbe hawa wamekuwa wakitua maeneo mbalimbali duniani na kuna baadhi ya serikali duniani zinawajua.Wataalam wa anga wanadai kuwa kazi ambazo zinafanywa na Aliens kwa siku moja binadamu anaweza kutumia miaka 100 kufanyakazi hiyo kwa hiyo viumbe hao wako mbali kimaendeleo na wanafanya wanavyotaka
Hao watakuwa alien wa mchongo wanashindwa kutengeneza silaha za hypersonic na wanategemea lifti ya Russia kwenda anga za mbali.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom