Aliens inasemekana kuwasaidia sana jeshi la Marekani katika teknolojia ya silaha

Hadith hiz hazina tofauti na zile binadamu wa kwanza alikua nyani
 
Stori za Abunuasi na hadithi za hekaya
 
elimu ya kundalini ndio inawapa watu shida ila tunayoifahamu unaweza usistaajabu kuhusu mungu,wewe,dini na vyote
 
Teknolojia siyo equivalent na hela!!!
 
Hivi bafo kuna watu wanao amini kwenye UFO?? Yaani mawazo ya kitoto kabisa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nyani kama nyani tu.
 
UFO zinatoka Russia na wazungu wanaamini ni Aliens [emoji89] hahaha
Kila mmoja ana mtazamo wake hata kama hukubali
 
Hawavai nguo na wala hawatamaniani...

Hawana dhambi ya asili ya kuvunja amri ya sita...
 
Hao watakuwa alien wa mchongo wanashindwa kutengeneza silaha za hypersonic na wanategemea lifti ya Russia kwenda anga za mbali.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…