Aliens inasemekana kuwasaidia sana jeshi la Marekani katika teknolojia ya silaha

Chai hii Ina viungo vingi!
 
Si ndio hapo , hawa madogo wanameza Tu kila conspiracy theory bila kufikiri , projects zote za jeshi la Marekani zinafanywa na military industrial contractors , projects kama DARPA , za kuzalisha aircrafts ,recoinasance tools zinafanywa na makampuni binafsi kama boeing , Lockheed Martin , General dynamics ,Northrop Grumman NK
 
Me nataka kujua pale area 51 kuna nini kwanini panalindwa sana,,nasikia mwaka juzi watu walijipanga kwenda huko baada ya muda janga la corona sijui walifanikiwa tena au vipi
 
Hivi bafo kuna watu wanao amini kwenye UFO?? Yaani mawazo ya kitoto kabisa!
Mkuu wewe uamini haya makitu??yani USA anaweka reseach ya haya mdudu ilewewe huku mgambo tanga utaki!!
 
Me nataka kujua pale area 51 kuna nini kwanini panalindwa sana,,nasikia mwaka juzi watu walijipanga kwenda huko baada ya muda janga la corona sijui walifanikiwa tena au vipi
Pale kuna top secret projects za utengenezaji na majaribio ya vifaa vya kijeshi kama zile stealth aircraft za US (ndege za kivita zisizoweza onekana Kwa radar ), hizo ndege zilitengenezwa hapo Nevada desert (Area 51) pamoja na vifaa chungumzima na kuna projects bado zinaendelea mpaka leo hata za Nuclear weapons pia , Kwa hiyo ulinzi lazima uwe mkali mahali hapo , projects kama hizo ni top secret na most protected Kwa nchi yeyote Ile , Kwa sababu zinagusa maslahi na usalama WA nchi ya Marekani directly , hata hapa bongo si rahisi kujua projects za jeshi au mahala palipo na silaha nzito za kivita au sehemu ambapo silaha hizo zinafanyiwa marekebisho , it's the same in every country sioni cha ajabu .
 
Nger
Me nataka kujua pale area 51 kuna nini kwanini panalindwa sana,,nasikia mwaka juzi watu walijipanga kwenda huko baada ya muda janga la corona sijui walifanikiwa tena au vipi
Ngerengere Pana nini? Mbona panalindwa Sana?
 
Watu wanatumia mabilioni ya dola kwenye mambo ya utafiti kila uchao na hawalali ila nyie mnaoamini katika kuchukua watu misukule na kuwanga usiku kucha watu hawalali ndio mnaoleta stori za kijinga kama hizo.

Nyie ndio wale wanaosema eti dunia ni tambarare na jua linazama kwenye tope. Hata hamjui sayansi 100% ni utafiti. Bure kabisa.
 
Hata katika vitabu vitakatifu hasa biblia inasema Kuna Dunia ambazo Kuna viumbe ambavyo havijaasi Kama Dunia yetu ilivyoasi kupitia anguko la ADAM NA HAWA hivyo uwezekano wa uwepo wa viumbe km Alliens upo.
 
Hahaaaa wanaamini mzungu amechukua misukule toka Mars kaiweka Nevada impe idea za kiteknolojia [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Watoto wakishua utawajua tu story zao za ajabu ajabu yani kwa akili za kawaida tu unaamin vingedere kama ivyo vina exist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…