Carbondioxide
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 733
- 195
Hafu watu wengine muwe mnafikiria kwa upana huo ubongo je! @D.Platnumz ana hela ngapi za kununua Tuzo linganisheni uthamani wa pesa ya TZ na NAIJA.Je Wasafi anauwezo wa kununua Tuzo?Ushindi alopata kwaajili ya kuvote kwa sana.Mboni @KTMA tulitulia tuli kama maji kwenye mtungi.Ye c alisema ndo King uko wapi umalkia wake?