Alikiba Afunguka kuhusu tuzo za Afrimma, asema pesa nyingi zilitumika kupambana nae..!

Alikiba Afunguka kuhusu tuzo za Afrimma, asema pesa nyingi zilitumika kupambana nae..!

Ila baada ya kupost uzuzu wake huo cha moto amekiona, manake kala kichambooooo, cha mbwa mwitu, hapo alipo now anapumua kwa msaada ya diclofenac, BUT HONESTLY THIS GUY NEED A DOKTA, haiwezekani juzi tu hapa akijishauwe kuwa yeye na mziki wake wanathani kuliko tuzo, leo alalamikie kuhujumiwa, NO NO NO! THIS DUDE NEED A CHECKUP, labda lile vumbi lilikokuwa kwenye kiti limemuathiri ubongo on process ya kulifuta kwa namna flani.
 
Hahahahahahaha kibakuli bwana, kwahiyo CHIBU DANGOTE AMEKUWA NAPE hahaha bao la mkono..

Omba diamond akusaini kwenye WCB na wewe usafishe nyota..
 
Hahahahahaha bao la mkono hahahahahaha chibu dangote katika ubora wake, kabla hata hatujamaliza kumpongeza amechaguliwa tena kuwa balozi wa organization ya Future Africa inayodeal na maendeleo ya vijana Africa..

Hail to the King Of Afropop Chibu Dangote..!
 
Jamaji tusubiri labda tutaambiwa Account wamei hack, ....ni ngumu kuamini kama ni yeye ka post hayo, maana hii haina tofauti na kula matapishi yake mwenyewe...
 
kiba wetu kaa kimya tu. nitaendelea kukubali tu no matter what
 
Ali kiba mpuuzi sana,hv inamaana diamond anapesa nying kuliko wakina davido mpaka afanikiwe kununua tuzo,hv diamond anapesa nying sana mpaka aweze kununua tuzo ya MTV ya world wide act,kiba jaribu kukubali kuwa wakati wako umepita na hata hichi kidogo unachokipata sasa hv ni kutokana na mgongo wa diamond .
 
Tanzania amini msiamini huko nje Diamond anafanya fitina mbaya sana huyu jamaa, anazuiwa kwa connection zake na pesa uchwara zake anazuia ngoma za kiba zisipigwe huko mtv na soundcity na suala si geni, tuzo nazo ndio usiseme eti Nasema nawe ni wimbo bora wa mwaka ujinga ujinga tu

Diamond anajina kubwa sana kuliko huyo kiba wenu,hata akitoa wimbo huku analia mwazo mpaka mwisho,cyo kitu cha ajabu nyimbo hiyo kushinda nyimbo bora,ni kwasababu jina lake linambeba na ametumia miaka ming na akili nying sana kuliweka jina lake ktk chati,hv diamond ana pesa mpaka aweze kuwafanyia fitina davido na wizkid ktk MTV, hv diamond anapesa nying mpaka aweze kuwafanyia fitina wahindi na achukue tuzo ya world wide act?
 
pwilo hahahahaha kwahiyo king zamunda anataka kusema CHIBU DANGOTE anamgharamia hahahaha au ndio kuupa kiki wimbo wa nagharamia

Kama uponae karibu mwambie aagize remy martin tano, nitalipa..!
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa sielewi kama huyu jamaa boya hivi, ila mashabiki ndio zaidi..

Kimtego chake alitaka kuzungumziwa, na pale bifu lilipoonekana limefifia kutokana na mambo ya uchaguzi basi afufue kiki iongezeke na kwa hilo ashafanikiwa ila tatizo tu uwezo hana, anaishia kuwapa matatizo ya moyo mashabiki zake..!

Ndio maana hakuna wasanii wanaompa support katika kazi zake, zaidi ya familia yake, na ma ex wa diamond..!

Mtu mwenyewe kwa show tu hapa tanzania anapojiona ni mkali hana uthamani hata chembe wa kusema afananishwe na diamond, hata show zake nne (4) bado hafikii malipo ya show moja ya diamond bado ooooh ninasauti nzuri, basi khadija kopa angekuwa msanii bora Afrika akashindane na wakina beyonce huko maana hata rihanna hamuwezi kopa

Mkuu acha tuuu, wanagharamia tuzo za diamond
 
Kumbe roho imemuuma ehh! bas akazane maneno hayamsaidii kitu sn sn ukilalamika sn unaonekana m'mke. Mwanaume kazi na siyo kulalalama ovyo tu, na kutafuta pa kujishikia
 
Hahahahahaha bao la mkono hahahahahaha chibu dangote katika ubora wake, kabla hata hatujamaliza kumpongeza amechaguliwa tena kuwa balozi wa organization ya Future Africa inayodeal na maendeleo ya vijana Africa..

Hail to the King Of Afropop Chibu Dangote..!

usiniambie Kidingi!!!!!jamani diamond mshaurini apunguze Dozi watu wanakufaaaa
 
Last edited by a moderator:
Teh wanagharamiaaaa..tuzo za daimond

ahahahahaa!!Muziki sawa na uhai wa kiumbe bwana!lazima unyauke,unawiri na kufa kabisaa ili miti mingine au viumbe wengine vipate nafasi ya kuishi!

Ally hataki kukubali kama mziki wake kwa sasa umenyauka na unaelekea kufa kabisa
 
Ni bora ungekaa kimya ungeonekana una busara. Sema umeshindwa pambano na siyo vita.

Subiri KTMA na tuzo za watu. Huku watakupa kwa sababu wapambe wanadai Diamond wakimpa show ya Mil 8 hataki. Watamkomesha.
 
kiba wetu kaa kimya tu. nitaendelea kukubali tu no matter what
Teh Teh ameshindwa kukaa kimya na amejikuta ana haribu zaidi..hivi nawewe unaamini kwenye aliyo yaandika?
 
Back
Top Bottom