Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Ila baada ya kupost uzuzu wake huo cha moto amekiona, manake kala kichambooooo, cha mbwa mwitu, hapo alipo now anapumua kwa msaada ya diclofenac, BUT HONESTLY THIS GUY NEED A DOKTA, haiwezekani juzi tu hapa akijishauwe kuwa yeye na mziki wake wanathani kuliko tuzo, leo alalamikie kuhujumiwa, NO NO NO! THIS DUDE NEED A CHECKUP, labda lile vumbi lilikokuwa kwenye kiti limemuathiri ubongo on process ya kulifuta kwa namna flani.