Alikiba Afunguka kuhusu tuzo za Afrimma, asema pesa nyingi zilitumika kupambana nae..!

Ali Kiba anazeeka vibaya miaka 45 bado anaongea pumba mitandaoni. Wenzie kina Bitchuka na Mwinjuma Muumini alioanza nao mziki mbona atuwasikii kulalamika
 
Ali Kiba anazeeka vibaya miaka 45 bado anaongea pumba mitandaoni. Wenzie kina Bitchuka na Mwinjuma Muumini alioanza nao mziki mbona atuwasikii kulalamika

Tehe!tehe! Sahivi anatakiwa atulie awe anakula pension tu hawa kina Diamond watamtengua kiuno.
 
I saw this on twita
 

Attachments

  • 1447707679844.jpg
    64.2 KB · Views: 321
  • 1447707695065.jpg
    128.3 KB · Views: 322
Hahaahah daaaah analeta uswahili sasa. Aache wazimu badala yakupga kaz analialia...
 
kuna kamsemo kadogo tu alisemaga watanyoka sijui ndo kanaendelea kufanya kazi
 
Unajua hiz team zinawaathiri wasanii sana tofauti na washabiki wanavyodhani.Jiulize tu kama mtu mzima analia hadharani ivo unadhani moyoni ana mangapi yanayomnyima raha?

Law of comparison inasema you should compare apple with apple.(Sio apple with Orange)

Kule west,tuzo ya best male west kaichukua Olamide japo wengi walidhani atashinda Davido.Pamoja na hivo Davido akiwa bado na stress za kuibiwa pesa plus kukosa tuzo kabisa lakin bado amepost picha kupromote kaz ya Olamide same day.

Kwa kumaliza niseme tu ni busara yakaisari angepewa kaisari na Bwana apewe Bwana.

Hard work pays ndo msemo usiochuja.
 
Ndio ujuwe bifu linambeba, hajawahi kuongelewa sana kama leo ila kwasababu kagusa pabaya ashakuwa maarufu ghafla

Tabu anatafuta bifu sababu pesa anayoipata kufutia machozi haikai kila siku inashuka anaweweseka. Angekuwa amerizika na life na yupo poa asingebwatwa.

Maisha ya kulelewa jadi leo hajui kujiendeleza anatafita huruma.
 

Ahsante my!naona vumbi limegoma kutoka kwenye kiti!jana chamoto alikiona!alimchokoza mwenye Instagram jana mwishowe kaamua kufuta post mwenyewe!kweli Ally kiba hana mashabiki wengi,tulimvamia jana kambini kwake mpaka akatoka ndukiii
 
naona ulikuwa unavumilia lakini umeshindwa ukaamua kuniita, mimi mbona nilishaachana na habari za kiba, diamond tangu wakati wa kampeni au ulijua natania

Ahahahaaa!!mtani usiache ushabiki wa mziki kisa siasa banaaa
 
Ahsante my!naona vumbi limegoma kutoka kwenye kiti!jana chamoto alikiona!alimchokoza mwenye Instagram jana mwishowe kaamua kufuta post mwenyewe!kweli Ally kiba hana mashabiki wengi,tulimvamia jana kambini kwake mpaka akatoka ndukiii

Ahahahaaa!!mtani usiache ushabiki wa mziki kisa siasa banaaa

Habari yako mama wa team no stress....



Kambi ya upande wa pili wanagharamia mituzo tuu
 

Davido ilimbidi Ku promote ile kazi maana ni yake Davido ft olamide inaitwa money na Davido kapotezwa ktk iyo track kwa mtazamo wng
 
Only in Africa, fedha ni jawabu la mambo yote. Leo hii Nasema nawe ni wimbo bora wa mwaka Africa hahahaha
Kwa mfano ungepewa nafasi ya kuchagua wimbo wa Alikiba upate ushindi ungechagua wimbo upi?
 
Kwa hiyo Kiba ni janga kuzidi mashambulizi ya Paris....

Nimesikia hiki kijamaa kinasema yale maneno ilikuwa kwaajili ya mashabiki zake kwamba wanapoteza pesa kumpigia kura hahahaha hivi inaingia akilini kweli??

Yani alivyopost ujinga ule alikuwa anatafuta huruma ya mashabiki kwamba anahujumiwa kumbe kaingia choo cha kike

+kama anasema amegundua watu wanapoteza pesa kumpigia kura siku zote alikuwa anajuwa bando zinatolewa bure???

+Kukaa kwenye muziki zaidi ya miaka kumi leo ndio anagundua watu wanapoteza pesa kumpigia kura asigundue kwenye tuzo za pombe ambazo kila sms huwa inagharimu pesa taslim na sio kifurushi

LAZIMA WANYOOKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…