Alikiba Afunguka kuhusu tuzo za Afrimma, asema pesa nyingi zilitumika kupambana nae..!

Alikiba Afunguka kuhusu tuzo za Afrimma, asema pesa nyingi zilitumika kupambana nae..!

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Wasalaam wana jamvi!
Wengi walikuwa wakijiuliza kwanini King Kiba hakwenda kwenye utoaji wa tunzo huko Nigeria na wengine wakidhani amedharau tunzo hizo!

King kiba kupitia mtandao wa picha amesema kuwa
" Asanteni sana najua mmpega kura sana lakini nilikuja kugundu baada ya kufatilia kuwa kuna mambo yanaendelea watu wanadiriki hata kupoteza pesa zao kwaajili yangu,ila nawaomba fans msinielewe vibaya i will always be there for you"

Mtu yeyote mwenye utimamu wa kichwa akimsoma Alikiba vyema atagundua kuwa anajaribu kusema yafuatayo

Diamond hakushinda tunzo kihalali!

Diamond amehonga ili kupata tunzo!

Management ya Diamond inapambana na Kiba kuhakikisha hawiki kimziki.

Tujiulize ni kweli ana hujumiwa? uploadfromtaptalk1447674595121.png
 
Bila shaka anatoa yaliyo moyoni ..

Ni kweli kila mtu ana njia yake ya kupunguza maumivu ila kwa kutumia akili ndogo tuuu alitarajia mtu mwenye tuzo ya world act akose tuzo ya Africa mashariki....

Akazane tuuu atafika ila sio kwa kua mlalamishi kiasi hiki na ajifunze kuweka akiba ya maneno #miMkubwaKulikoTuzo sijui sasa analia nini
 
Wasalaam wana jamvi!
Wengi walikuwa wakijiuliza kwanini King Kiba hakwenda kwenye utoaji wa tunzo huko Nigeria na wengine wakidhani amedharau tunzo hizo!

King kiba kupitia kupitia mtandao wa picha amesema kuwa
" Asanteni sana najua mmpega kura sana lakini nilikuja kugundu baada ya kufatilia kuwa kuna mambo yanaendelea watu wanadiriki hata kupoteza pesa zao kwaajili yangu,ila nawaomba fans msinielewe vibaya i will always be there for you"

Mtu yeyote mwenye utimamu wa kichwa akimsoma Alikiba vyema atagundua kuwa anajaribu kusema yafuatayo

Diamond hakushinda tunzo kihalali!

Diamond amehonga ili kupata tunzo!

Management ya Diamond inapambana na Kiba kuhakikisha hawiki kimziki?

Tujiulize ni kweli ana hujumiwa?View attachment 306051
Hiv c ndo huyu huyu alosema mziki wake una thaman kuliko tuzo iweje leo alalamike!!yan bora kiba angenyamaza kimya tu lakin kwa hili kachemka!!iweje tuzo alokuwepo na mond ndo alalamike wameacha kulalamika wakina davido mtvema!!juhud tu za mtu zinaonyesha wazi nan alistahili kupata!! Afrima c o ktma kura za mashabiki tu ndo zimpe ushindi!!halaf c oni hata haja ya mond kutoa pesa ili ashinde tuzo wakat kamuacha kiba mbali sana
 
Nagharamia Imebumaaaa!!!!anatapatapa huyu mariooo!anatafuta Busta ya kubusti kanyimbo kake
Teh Teh nimecheka sana sikuwai kutegemea kuwa Kiba atakuja kuandika aliyo yaandika! Hivi kweli kuna mtu ana doubt uwezo wa diamond? Lets wait labda ana ushahidi kabisa..
 
Tanzania amini msiamini huko nje Diamond anafanya fitina mbaya sana huyu jamaa, anazuiwa kwa connection zake na pesa uchwara zake anazuia ngoma za kiba zisipigwe huko mtv na soundcity na suala si geni, tuzo nazo ndio usiseme eti Nasema nawe ni wimbo bora wa mwaka ujinga ujinga tu
 
Hiv c ndo huyu huyu alosema mziki wake una thaman kuliko tuzo iweje leo alalamike!!yan bora kiba angenyamaza kimya tu lakin kwa hili kachemka!!iweje tuzo alokuwepo na mond ndo alalamike wameacha kulalamika wakina davido mtvema!!juhud tu za mtu zinaonyesha wazi nan alistahili kupata!! Afrima c o ktma kura za mashabiki tu ndo zimpe ushindi!!halaf c oni hata haja ya mond kutoa pesa ili ashinde tuzo wakat kamuacha kiba mbali sana
Labda ana ushihidi maana sikutegemea kama atakuja kusema haya aliyo yasema..! Sasa sijui alitumia vyomba gani kufatilia hayo? Hivi kweli Diamond ana hitaji kuhonga ili kupata tunzo?
 
Ni kweli kila mtu ana njia yake ya kupunguza maumivu ila kwa kutumia akili ndogo tuuu alitarajia mtu mwenye tuzo ya world act akose tuzo ya Africa mashariki....

Akazane tuuu atafika ila sio kwa kua mlalamishi kiasi hiki na ajifunze kuweka akiba ya maneno #miMkubwaKulikoTuzo sijui sasa analia nini
Bado nashangaa na kama ni kiwango cha kupanic basi hii ni stage kubwa sana..pengine anao ushahidi!
 
Teh Teh nimecheka sana sikuwai kutegemea kuwa Kiba atakuja kuandika aliyo yaandika! Hivi kweli kuna mtu ana doubt uwezo wa diamond? Lets wait labda ana ushahidi kabisa..

ahaahahahahaha asilalamike Priyanka Chopra kwenye MTV EMA ya WOLDWIDE aje alalamike huyo sisimizi wa kwenye sukari?!

Yaani ameipata aibu ya mwaka dadadadekiiii!sijui lichawi hili hili li kibaka!
 
Tanzania amini msiamini huko nje Diamond anafanya fitina mbaya sana huyu jamaa, anazuiwa kwa connection zake na pesa uchwara zake anazuia ngoma za kiba zisipigwe huko mtv na soundcity na suala si geni, tuzo nazo ndio usiseme eti Nasema nawe ni wimbo bora wa mwaka ujinga ujinga tu

Ahaha pole aisee!mwambieni kibaka wenu aache mashauzi uchwara kwanza!!Labda wewe hauna access ya Mtv na Soundcity ila zinapigwa nyimbo za kiba!

Huwezi kufanikiwa chini ya RockStar!menejimenti mbovuu,hajipi promo wala kujitangaza unategemea nani amtangaze?!
 
huyu jamaa anaelekea kuchanganyikiwa sasa si bure si alituambia yeye ni mkubwa kuliko tuzo?

Akubali tu kwa sasa mwenzake kamuacha mbali hivi mtu kashinda mpaka mtvema leo akose afrima?

Aache kulalamika afanyekazi zinazoeleweka ajue amokea wapi ili afute makosa kuliko haya mambo anayoamka nayo kilasiku leo kushoto kesho kulia mziki umebadilika ni zaidi ya sura na sauti hivi ndo huwa wanaanzishaga vibifu vya kijinga sasa maneno gani haya?

Nlishasema ajifunze vya kuongea huyu jamaa kusema ni mkubwa zaidi ya tuzo alafu ukikosa unalalamika ni akili za ktoto.

Anawaumiza sana mashabiki ila hajui tu watu wanatumia nguvu kumtetea upuuzi anaolopoka kilasiku alafu anazidisha.

Mwaka unaisha huu collabo na davido bado?na sautisol inatoka lini?nagharamia audio imetoka video mpaka sasa bado mpaka tuichoke chekecha chekecha haikufanya zaidi ya matarajio mwana ilikimbiza vizur sna labda mwaka kesho utakuwa wake kama collabo zote anazoplan zikitoka kweli sio maneno tuu asipobadilika ataendelea kulalamika maana sitegemei mwaka kesho nana itakosa kuwa nominated kama atategemea nacheketua tu ajiangalie nlishasema miezi 6 iliyopita kiba atoe nyimbo kali kabla ya mwezi wa kumi naona tunamaliza mwaka wala nyimbo hatuoni akijichanganya nagharamia nayo video akatoa january itakula kwake.
 
Back
Top Bottom