Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tufafanulie mkuu ikifika mwisho wa mwaka ndio utajua/mutajua mshindi ni nani kwenye kitu gani ?????
Ndio anawaambia mashabiki wa kiba kuwa kwa sasa kiba kawa balozi wa Sony na ndio maana mashabiki wao wengi wanaandika " sony vs tomato"
Point ni kwamba yule jamaa amepata deal la tomato anasumbua insta je deal la Sony angepata insta ingekalika ndo maana watu wanaweka tomato vs Sony maana yake amepata la tomato hali ndo ile angepata Sony? Mr misifaKwa hiyo kiba kawa balozi wa Sony ............ au na wewe ndio wale wanaoandika " sony vs tomato" ( maana unalinganisha visivyo lingana)
Hivi bongo kuna nyimbo yenye mashairi mepesi kama "utanipenda " ya diamond hata mtoto mdogo anatunga Yale mashairi akitulia #haterSauti nzuri hila haya mashairi ka underground mashairi mepes sana
Usanii unajumuisha pia kufanya kitu cha kawaida kivutie...kusema ukweli huwezi kumlinganisha Kiba na diamond, Kiba anahitaji kutulia kidogo afanye kitu bora zaidi. Kiba ana mashairi na sauti nzuri ila kuna vitu anamiss hasa namna ya kuteka watu,kujibrand na swagg na ndio maana utaona diamond anazidi kuchukua tuzo za kimataifa lkn Kiba anashindwa. So ngoja tuvute subira na hili dili la sony labda atapaa zaidi. Time will tell.Hivi bongo kuna nyimbo yenye mashairi mepesi kama "utanipenda " ya diamond hata mtoto mdogo anatunga Yale mashairi akitulia #hater
Usanii unajumuisha pia kufanya kitu cha kawaida kivutie...kusema ukweli huwezi kumlinganisha Kiba na diamond, Kiba anahitaji kutulia kidogo afanye kitu bora zaidi. Kiba ana mashairi na sauti nzuri ila kuna vitu anamiss hasa namna ya kuteka watu,kujibrand na swagg na ndio maana utaona diamond anazidi kuchukua tuzo za kimataifa lkn Kiba anashindwa. So ngoja tuvute subira na hili dili la sony labda atapaa zaidi. Time will tell.
Acha utoto we kijana,kuwa label moja ndio nini,mbona husemi label moja na Nakaaya? Hebu hesabu kwanza vitu alivyofanya diamond ndio uje upige kelele hapa,msanii mjanja ana management yake binafsi,unafikiri voda,coca,dstv,fastjet na ivory ni wajinga,yani hawaoni mtu mwingine hadi wakajazane kwa mtu mmoja,lazima ufike wakati uache ushabiki wa kijinga na kusema facts. Kuna msanii East Africa mwenye label yake inayokuza vipaji vipya!?Shika adabu yako huwezi kumfanaisha msanii Aliye lable moja na chris brown na huyo muuza tomato,
hapo ndo unapotimia ule msemo wa "lazima ujue kutofautisha kati msalaba na jumlisha,kuna x na kuzidisha"...that is diamondplatnumz anachokifanya leo kitakuja kuigwa na wengine 3 yrs later akiwa tyr keshamove kwenye another plans...nazani jamaa ana business plan ya 30-50 yrs to come.God will!look here...diamond is building his label. ...wengine wanaingizwa kwenye label za watu
Ndo maana anaitwa simba..... Wengine wanajarb ila wamechelewahapo ndo unapotimia ule msemo wa "lazima ujue kutofautisha kati msalaba na jumlisha,kuna x na kuzidisha"...that is diamondplatnumz anachokifanya leo kitakuja kuigwa na wengine 3 yrs later akiwa tyr keshamove kwenye another plans...nazani jamaa ana business plan ya 30-50 yrs to come.God will!