Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Davido yupo chini ya Sony na ni CEO wa hkn tatizo nn sasa hapo mkuulook here...diamond is building his label. ...wengine wanaingizwa kwenye label za watu
kwani nimesema kuna tatizo?Davido yupo chini ya Sony na ni CEO wa hkn tatizo nn sasa hapo mkuu
Muziki wa ujumbe kibongo bongo haulipi ni mwendo wa kuropoka tu kuhusu mapenzi yasiyoelewaka mbona wabongo watakukubaliVideo kali sana, katika video nyingi alizowahi kufanya, hii ni kali.
Lakini namshauri ajitahidi kuimba nyimbo za kueleweka, i mean zenye ujumbe, naweza kumrefer mwenyewe kama nyimbo ya Ya Karimu, Valentine, ............Yani ukisikiliza Nyimbo Basi Upate Complete Message. Atulie atapasua anga.
Here we go..
Katengeneze ya kwako we ulitaka aifanye nini zaidNi aibu kwa staa kutengeneza video with poor quality kama hii naona giza tu audio yenyewe magumash vidoe mbov huyu jamaa anajua ila ubahili unamponza
Ww unaongezwa na mahaba huwez kuona mapungufu ya ile video kaangalie cheketua ndo uje ukoment ukiikosa baki huko hukoKatengeneze ya kwako we ulitaka aifanye nini zaid
Kweli kipande cha kifaransa ni noma jamaa zouk zinamfaa sana..nimeangalia video more than 7 times bado sichokiKwahii video Alikiba kajitahidi sana hasa kipande anachoimba kifaransa kwa kweli amenikosha!!
Mmh atoto unamuita kwenye haya mambo? Labda kama wanagawa hela humo ndani. Kafanya poaaaaaa sana KibaNice one!
Hapo penye François, smart of him, amekosha vizuri Africa nzima.
Mambo haya, Heaven Sent mwambie atoto AJE! 🙂
Hiyo verse ya kifaransa watu mmeipenda kweli..Nice one!
Hapo penye François, smart of him, amekosha vizuri Africa nzima.
Mambo haya, Heaven Sent mwambie atoto AJE! 🙂
Mmh atoto unamuita kwenye haya mambo? Labda kama wanagawa hela humo ndani. Kafanya poaaaaaa sana Kiba
Hiyo verse ya kifaransa watu mmeipenda kweli..
Hahaha hatoelewa kama hapa unampa exopozha, atataka expozha na hela tehHahahaaa!, wewee!, eti kama wanagawa hela kwenye mwimbo...lol!
Yaani hapa Kiba katenda kitendo, nimependa alivyo kikoroga pia kama vile kashuka few minutes ago from parii!