Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HayaKuna watu wanafurahi wasipotajwa kuwa na hela.
Moshi hiyooo.Hahahah kwa Sadala ni eneo flani lenye landscape yenye gentle slope mkoa flani! Hapo gari inaenda bila hata mafuta maana ni asili ya mteremko
Alikiba kama Yanga, wamechokaHabari Wana Jf
Kweli nimeamini mziki unekuwa mgumu Sana yaani kwa kitendo hivhi Cha kitoto ambacho Amekifanya Alikiba imejidhihirisha wazi kua Diamond platinumz ndio a true definition of mature musician.
Na hii inadhihirisha kwa Sasa hakuna msanii ambae bila kupitia Kiki ya Diamond platinumz anatoboa [emoji23][emoji23][emoji23],Kama Alikiba kaingia kwenye mipasho Kama ya Khadija kopa Sasa amesubiria Nini kusataafu.[emoji24][emoji24][emoji24]
Harmonize na Alikiba wanasafari ndefu ya kujifunza kutoka kwa DIAMOND PLATINUMZ na RAYVANNY jinsi wanavyo behave kwenye jamii.
Alikiba ameona upepo umekata wote ameamua apitie mlango wa diamond platinumz kuongelewa na ili atoe Album Yake ya utopolo.[emoji383][emoji383][emoji383]
WARNER MUSIC GROUP nasikia inampa kiwewe sana na amechanganyikiwa sana.
N.B: DIAMOND PLATINUMZ NAOMBA ASIMJIBU NA KUMPA BOOST YA ALBUM YAKE YA UTOPOLO.
Diamond platinumz anahela[emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383]
Hahahah kwa Sadala ni eneo flani lenye landscape yenye gentle slope mkoa flani! Hapo gari inaenda bila hata mafuta maana ni asili ya mteremko
Hujakosea kabisa, ukiwa unaelekea Arusha lazma upite hio SadalaMoshi hiyooo.
Yaan chawa wa WCB wana haha hatari lol, tuishie kuwatazama tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haki nimecheka hapo pa kujifunza jinsi dai na ray wanavyobehave kwenye jamii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] i was like, "seriously"!!!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tajiri sadala
App gani hii mkuu?!Ni soko lililoko mkoani KilimanjaroView attachment 1791986