Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Google earthApp gani hii mkuu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Google earthApp gani hii mkuu?!
Naomba icon yake niitafute playstoreGoogle earth
Mwenye uelewa mzuri na Maana zaidi,
Kuhusu Sadala na maana yake atujuze tafadhali..!!
Asante sanaView attachment 1792018
Hiyo iliyoandikwa earth
Eti Rayvan anavyo behave..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa Ni comedianHaki nimecheka hapo pa kujifunza jinsi dai na ray wanavyobehave kwenye jamii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] i was like, "seriously"!!!!!!!
Jiffunze kutiririka vzr na uzi.Habari Wana Jf
Kweli nimeamini mziki unekuwa mgumu Sana yaani kwa kitendo hivhi Cha kitoto ambacho Amekifanya Alikiba imejidhihirisha wazi kua Diamond platinumz ndio a true definition of mature musician.
Na hii inadhihirisha kwa Sasa hakuna msanii ambae bila kupitia Kiki ya Diamond platinumz anatoboa [emoji23][emoji23][emoji23],Kama Alikiba kaingia kwenye mipasho Kama ya Khadija kopa Sasa amesubiria Nini kusataafu.[emoji24][emoji24][emoji24]
Harmonize na Alikiba wanasafari ndefu ya kujifunza kutoka kwa DIAMOND PLATINUMZ na RAYVANNY jinsi wanavyo behave kwenye jamii.
Alikiba ameona upepo umekata wote ameamua apitie mlango wa diamond platinumz kuongelewa na ili atoe Album Yake ya utopolo.[emoji383][emoji383][emoji383]
WARNER MUSIC GROUP nasikia inampa kiwewe sana na amechanganyikiwa sana.
N.B: DIAMOND PLATINUMZ NAOMBA ASIMJIBU NA KUMPA BOOST YA ALBUM YAKE YA UTOPOLO.
Diamond platinumz anahela[emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383]
Pale ni Hai mkuuMoshi hiyooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni soko lililoko mkoani KilimanjaroView attachment 1791986
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa Sadala.....
Aisee! Pale kuna vibaka wanachomoa balaa. Hata hela iliyopo kwenye bukta wanachukua.
Sasa sijui ndo watoto wa Sadala ama la!.
Au huko ulikolitoa walimaanisha sadali? Sadali kama Sadali = Pusha= Muuza mihadarati!Mwenye uelewa mzuri na Maana zaidi,
Kuhusu Sadala na maana yake atujuze tafadhali..!!
Fact kaishiwa anataka boost ya king diamond platinumzAlikiba kama Yanga, wamechoka
Eti anataka show offKwan alikiba kasemaje