AliKiba amdiss Diamond Platnumz kuhusu utajiri na Forbes: Wadau wasema Sadala ni kiki ya album yake mpya

AliKiba amdiss Diamond Platnumz kuhusu utajiri na Forbes: Wadau wasema Sadala ni kiki ya album yake mpya

Naomba icon yake niitafute playstore
Screenshot_20210520-194538.png

Hiyo iliyoandikwa earth
 
Haki nimecheka hapo pa kujifunza jinsi dai na ray wanavyobehave kwenye jamii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] i was like, "seriously"!!!!!!!
Eti Rayvan anavyo behave..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa Ni comedian
 
Mtoa mada anaona nyota nyota tu kila akiunga doti anaona chenga tu
 
Habari Wana Jf

Kweli nimeamini mziki unekuwa mgumu Sana yaani kwa kitendo hivhi Cha kitoto ambacho Amekifanya Alikiba imejidhihirisha wazi kua Diamond platinumz ndio a true definition of mature musician.

Na hii inadhihirisha kwa Sasa hakuna msanii ambae bila kupitia Kiki ya Diamond platinumz anatoboa [emoji23][emoji23][emoji23],Kama Alikiba kaingia kwenye mipasho Kama ya Khadija kopa Sasa amesubiria Nini kusataafu.[emoji24][emoji24][emoji24]

Harmonize na Alikiba wanasafari ndefu ya kujifunza kutoka kwa DIAMOND PLATINUMZ na RAYVANNY jinsi wanavyo behave kwenye jamii.

Alikiba ameona upepo umekata wote ameamua apitie mlango wa diamond platinumz kuongelewa na ili atoe Album Yake ya utopolo.[emoji383][emoji383][emoji383]

WARNER MUSIC GROUP nasikia inampa kiwewe sana na amechanganyikiwa sana.

N.B: DIAMOND PLATINUMZ NAOMBA ASIMJIBU NA KUMPA BOOST YA ALBUM YAKE YA UTOPOLO.

Diamond platinumz anahela[emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383]
Jiffunze kutiririka vzr na uzi.

Ulipaswa utaje kwanza kile alichosema Kiba ndiyo uendelee na hoja yako.

Sasa unashusha uzi kanakwamba wote tunajuwa alichosema huyo kiba kwa mondi.

Anza uzi wako vzr ili tukuelewe mkuu.

Unapenda kuandika lakini aina yako ya uandishi huwa changamoto.

Nimeona nyuzi zako nyingi watu wakikukosoa kwa jinsi unavyoandika cku wa wanakuchukia hapana,,maana hata hawakujuwi.

Tumia ukosoaji huo kama fursa ya kujifunza pia.

Half unachangamoto ya kuchanganya herufi sana.
 
Ni hulka ya wanamuziki laini laini kuwasilisha mitizamo yao kimipasho mipasho.
Wanahip hop kama Nay wa Mitego wanakuchana tu.Shida nini?
 
Kwa Sadala ipo Kilimanjaro ni mahali kuna mteremko kuelekea mto Kikavu.

Wahuni "sadala" kwakuwa ni mteremko wakatengeneza hilo neno kuwa maana ya vya bure/dezo.

Yani mtu anaependa sadala ni mtu anaependa ofa/dezo/vya bure/mteremko. Kitonga.
 
kwa sadala kuna ka manzi kangu...mmenikumbusha kesho lazima nitie maguu
 
Niliwauliza wale wamama pale Lambo machame majani mnachukua wapi, walisema wanayatoa kwa sadala.
 
Kwani kamwambia DOMO au SADALA? kwamba DOMO ndo SADALA au? Teh teh teh TEAM SADALA MNA KAZI SANA..any way SADALA MWENYEWE ANASEMAJE?
 
Back
Top Bottom