AliKiba amdiss Diamond Platnumz kuhusu utajiri na Forbes: Wadau wasema Sadala ni kiki ya album yake mpya

Kuna watu wanafurahi wasipotajwa kuwa na hela.
 
Kwa Sadala.....

Aisee! Pale kuna vibaka wanachomoa balaa. Hata hela iliyopo kwenye bukta wanachukua.

Sasa sijui ndo watoto wa Sadala ama la!.
 
Alikiba kama Yanga, wamechoka
 
Alichofanya diamond kulia lia kwamba yeye ni tajiri ni kituko mtu yoyote lazima amdhihaki kwa kile kitendo diamond ndo ana vingi vya kujifunza kupitia wenzie
 
Haki nimecheka hapo pa kujifunza jinsi dai na ray wanavyobehave kwenye jamii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] i was like, "seriously"!!!!!!!
Yaan chawa wa WCB wana haha hatari lol, tuishie kuwatazama tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"SADALA" ila King kiba jaman khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…