Alikiba ameshinda Mtv Ema lakini hakustahili zaidi ya Wizkid!

ally kiba achukue tuzo kwa nyimbo gani ?
Ona sass Umehamisha mada!! Hater ni hater tuu!!,,OK, Kama hana wimbo mzuri kwanini achaguliwe mtvema??? Acheni chuki,, mtvema wanachagua mtu ambaye wanajua ana uwezo,, hatakama haters msipouona uwezo wake,wengine wamerecognize!! Mnamfanyia alikiba character assassination,and that's the truth!!
 

Mkuu umeeleweka kabisa. na ukiona mimi nimekuelewa wewe endelea kufanya shughuli zako zingine hawa team Kiba ndivyo walivyo. Akili zao ni kama za bosi wao Kiba ni wagumu kuelewa ni walalamishi utadhani mayatima.

Mbona Diamond huwa halalamiki akikosa tuzo zaidi ya kuongeza juhudi na maarifa katika yake?

Mkuu acha waendelee kulia wengine tunasubiri Simba Baba Tifah Dangote alete tuzo tukasherekee
 
taja nyimbo sio kulia lia hapa halafu uiweke na yoyote ya wizkidayo
 
Hapa ndipo mnapokosea,, jikiteni kwenye Mada,, ni lini diamond aliwahi "indicate'wa Kama mshindi halafu akatangazwa mshindi mwingine tofauti na yeye,, these are two different cases!!! Kwa alikiba ni tofauti na unachokizungumzia,, ishafafanuliwa lakini mnaendelea kumponda alikiba bila hoja za msingi!!!
 

Mpeni tuzo yake c kashinda kibakuli. Mnafikilia ni tuzo za kili awards
 

Mkuu hoja za msingi zishaelezwa au wewe unataka hoja zipi? kama unamajibu yako yaweke tu hadharani.
 
taja nyimbo sio kulia lia hapa halafu uiweke na yoyote ya wizkidayo
Jikite kwenye Mada,,sina muda wa kutaja nyimbo zake,, Kama unamjua Ali mpaka umeamua kumponda hata penye ukweli unazijua nyimbo zake,,, mnajitia wajuaji wa kila kitu,, ni nyimbo gani iliyovuma ya blackcofee kiuhalisia iliyompelekea kushinda bet???!!ukweli ni kuwa kwenye hizi tuzo kuna utata!! Ila team diamond mnachofanya mnaoverlook huo utata badala yake mnakimbilia idea ya kuwa alikiba ni mlalamishi,idea ambayo mnayo kichwani,,, mna chuki kiasi kwamba hata ikitokea alikiba kadhulumiwa wazi na ushahidi ukawepo mtasema hakustahili
 
Domo aliposhindwa kuchukua BET timu bichwa walicheka sana mara oooh jamaa hana uwezo mara oooh cjui nn na ukiangalia kwny voting domo ulikuwa anaongoza lakn tunzo ikaenda kwa mtu mwingne kabisa

In short izi tuzo ukifatiria kwa ukaribu utaona mshindi hapatkani kwa kura tu may be kuna vigezo vingne wanaangalia so tusijisumbue tugange yajayo

Na tujifunze kukubaliana na hari na ukiangalia tu wizkid ana deserve coz kwa asa iv hakamatiki ni wakati wake so cha kufanya wasanii wetu wakaze waache kujaa vichwa
 
Lazima alalamike sababu huwa anashinda alafu watu wanageuza matokeo
Ushahidi ni hizo kura za mtvema
System zao zimewaumbua ila sema tu kiba akisema kitu watu wanamuona kama mnafiki wakati nikweli.

Kingine cha ziada
Siku zote mtu mnafiki na mwenye chuki ndio huwa anapendwa kabla watu hawajmshtukia so kaeni mkao wa kula maongo yenu yote ipo cku raia watajua mnachofanyaga
 
So ukirejea kwenye mada yako apo ulipomtaja black coffee na ww unathibitisha jamaa hakustahiri kupata tuzo za bet au alistahiri coz hiki kilichotekea n kama kilichotokea kwny bet
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwaiyo unaamini kabisa mtv ema wamemnyima alikiba ushindi kwa maksudi na kumpa ambae hakustahili wizkid?
 
Yaani hiyo tuzo angechukua ally dunia nzima ingetuandama kwa dhambi hiyo hamuwezi wizkidayo kwa kila kitu
 

kaka umemaliza kila kitu watu wanaletea uteam kama kweli anachosema mleta mada kwani kulikuwa na figufigu za kubadilisha ile alama ya pink kwenda kwa wizzy na baadae kuitoa wakati wanajua public vote haiamui shindi.
 
Mkuu hoja za msingi zishaelezwa au wewe unataka hoja zipi? kama unamajibu yako yaweke tu hadharani.
Hoja zipi??? Nikuulize swali,, je ilikuwaje mtvema kwenye web yao kwenye kipengele cha winners ambapo kila mshindi including alikiba alikuwepo halafu mtvbsseafrica wakamtangaza wizzie!? Je hiyo management ya mtvema ilimwekaje mshindi kwenye page yao bila kufanya uhakiki, bila hao majaji na wadhamini kutoa final say???(in fact kila aliye indicatiwa kwenye hiyo category ukiingia kwenye page zao za social network wanapongezwa na fans wao Kama washindi, this means wote walioindicatewa Kama winners walikuwa ndio washindi halali,,Shida imekuja kwa alikiba tuu,, mtvbaseafrica ndiyo wakawa wa Kwanza kumpost wiz wakati hakuwrpo kwenye list)
 
 

Attachments

  • Screenshot_2016-11-08-10-20-34.png
    53.2 KB · Views: 31
Shida yenu mnaishi kwa historia,,,Mara nyimbo za wizzie, Mara alikiba kafanya hivii,, hii ni shida kubwa Sana, ilikuwaje mtu ambaye hamkumtegemea Kama black coffee kuchukua tuzo ya bet na kumshinda diamond?????hater ni hater no matter what!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwaiyo unaamini kabisa mtv ema wamemnyima alikiba ushindi kwa maksudi na kumpa ambae hakustahili wizkid?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…