Ata mm nimemuuliza ni kigezo kipi walitumia kumpa kahawa nyeusi ushindi kama hata kura tu alikuwa na 1% ya kura zilizopigwa huku domo akiongoza kwa 53% ya kura zote......akijibu ilo swali la sifa zilipelekea black coffee kushinda ndo atapata jibu kwa nn Ali kaangukia pua.....team kiba weng hawana fact bali wanaongozwa na mihemuko na kutojiamini.....mbona domo huwa halalamikidomo alikua anaongoza kwa kura black cofee alikua wa tatu lakini alipewa jamaa akapongeza wasiwasi wako