Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angelalamika Mtu tofauti na ALLY KIBA au tofauti na TEAM KIBA ningeshangaaa!! Kwa kua ni hao hata sishangai ni kawaida yao!!!! Lini MT VEMA walipost kuwa Kiba anaongoza kwa kuraa?
Hata watanzania wote million 45 tungepiga kura kwa kura za wanigeria tusingefikia!!! Tuache kukurupuka na Post za kutengenezwaaaaa!!! Labda mlete ushahidi ambao unaonesha walipost kiba anaongoza
Ujue Diamond atabaki kuwa wakimataifa kutokana hata anaVo jibehave! Niwakumbushe mashabiki wa ALI KIBA! Diamond aliwahi wekwa katika kipengele fulani cha kupigiwa kuraa,watanzania walimpigia kura Diamond hadi upigaji kura ulisitishwa kwa muda kutokana na wingi wa kura na wao wakasema wanashindwa kuhesabu lakini mambo yalivyo kaa sawa hicho kipengele Diamond HAKUSHINDA! Tuzo akachukua mwingine lakini Diamond hakulalamika hata Robo kikubwa aliwataka mashabiki watulie na wafurahie kuwa nominated tuu ni ushindi tosha Mungu si adhumani mwaka unao fuata aKachukua tuzo!!!
Mjifunze kukubalii Kiba ni nani? Who is kiba in Afrika? Wizkid kafanya Show ngapi na za ukubwa gani?, alikuwa anaperfom vipii watu wanamuitikio kiasi gani?
Acheni ujingaaa.....Nje ya Tanzania Kiba show ya pekee ake Kafanya ngapi? Watu walikuwaje na wapi??? Semeni au hata Tanzania semeni kiba Kafanya show Ngapi hapa Tz? Mnalalamika bila Facts msanii wenu kutwa yupo K/koo halafu mnataka mchukue tuzo za mtumbuizaji bora mnadhani hizo ni KILL AWARDS?
Wizkid kafanya show kazunguka Africa.....kumbukeni Diamond aliwahi kuchukua hiyo tuzo kwa wingi wa show alioufanya mbele ya wizkid hadi show zaa kwenye CCM zilikuwa zinaangaliwa,nigeria alifanya maara kibao!!
Kumbukeni mashabiki wa kiba kuwa nominated sio unajua sanaaa au unastahili sometime unawekwa ili kunogesha tuu tunzo hizo!!!!
Shame on You kiba Fans!
Angelalamika Mtu tofauti na ALLY KIBA au tofauti na TEAM KIBA ningeshangaaa!! Kwa kua ni hao hata sishangai ni kawaida yao!!!! Lini MT VEMA walipost kuwa Kiba anaongoza kwa kuraa?
Hata watanzania wote million 45 tungepiga kura kwa kura za wanigeria tusingefikia!!! Tuache kukurupuka na Post za kutengenezwaaaaa!!! Labda mlete ushahidi ambao unaonesha walipost kiba anaongoza
Ujue Diamond atabaki kuwa wakimataifa kutokana hata anaVo jibehave! Niwakumbushe mashabiki wa ALI KIBA! Diamond aliwahi wekwa katika kipengele fulani cha kupigiwa kuraa,watanzania walimpigia kura Diamond hadi upigaji kura ulisitishwa kwa muda kutokana na wingi wa kura na wao wakasema wanashindwa kuhesabu lakini mambo yalivyo kaa sawa hicho kipengele Diamond HAKUSHINDA! Tuzo akachukua mwingine lakini Diamond hakulalamika hata Robo kikubwa aliwataka mashabiki watulie na wafurahie kuwa nominated tuu ni ushindi tosha Mungu si adhumani mwaka unao fuata aKachukua tuzo!!!
Mjifunze kukubalii Kiba ni nani? Who is kiba in Afrika? Wizkid kafanya Show ngapi na za ukubwa gani?, alikuwa anaperfom vipii watu wanamuitikio kiasi gani?
Acheni ujingaaa.....Nje ya Tanzania Kiba show ya pekee ake Kafanya ngapi? Watu walikuwaje na wapi??? Semeni au hata Tanzania semeni kiba Kafanya show Ngapi hapa Tz? Mnalalamika bila Facts msanii wenu kutwa yupo K/koo halafu mnataka mchukue tuzo za mtumbuizaji bora mnadhani hizo ni KILL AWARDS?
Wizkid kafanya show kazunguka Africa.....kumbukeni Diamond aliwahi kuchukua hiyo tuzo kwa wingi wa show alioufanya mbele ya wizkid hadi show zaa kwenye CCM zilikuwa zinaangaliwa,nigeria alifanya maara kibao!!
Kumbukeni mashabiki wa kiba kuwa nominated sio unajua sanaaa au unastahili sometime unawekwa ili kunogesha tuu tunzo hizo!!!!
Shame on You kiba Fans!
Sasa hizo kura walizopiga hao watu zilikuwa za nini kama maamuzi hutegemea zaidi waandaaji na wadhamini? Si wanatakiwa wakae tu waamue nani anafaa kwa vigezo vyao? Au kura zina asilimia fulani (ndogo) na za wadhamini zina asilimia fulani (kubwa)?Niaje wadau.
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Alikiba kupokonywa ushindi huko MTV EMA.Naomba hapa nitumie nafasi hii kufafanua kilichotokea ili kuweza kuondoa huu utata.
Kwa mujibu wa Mtv Ema Alikiba ameshinda kwa kura nyingi sana alizopigiwa na mashabiki na wamemtangaza kuwa katika kipengele cha kura nyingi Ali ndio mshindi.
Naomba tufahamu kwamba Tuzo kubwa kama MTV EMA na BET kuna vipengele ambavyo maamuzi yake hayategemei kura za mashabiki bali huamuliwa na wadhamini, majaji pamoja na waandaaji wa Tuzo. Kipengele hiki huangaliwa ni kiasi gani msanii anafanya vizuri katika category aliyowekwa cz inawezekana msanii akakosa kura nyingi lakini anastaili kupata tuzo kutokana na mchango wake katika mziki.
Kipengele hicho ndicho kilichomfanya Wizzy ashinde Tuzo hiyo ya MTV EMA.
Kiukweli MTV EMA hawajakosea katika hilo cz watanzania wengi walimpigia kura Kiba bila kujali team zao lakini kwa viwango vya kimataifa kiba hawezi kumfikia hata Robo Wizkid.
Alikiba alitakiwa kuwaambia ukweli mashabiki zake na sio kulalamika kwenye media kuwa haelewi kilichotokea wakati anafahamu ukweli wote. Kulalamika kwa Ali kutamsababishia picha mbaya na sidhani kama MTV EMA watakuja tena kumchagua kuwania Tuzo hizo katika Category yoyote ile.
Natumaini nimeeleweka japo kwa uchache.
Mkuu hio sio account official ya MTVEMA,Ni fake account tu ambayo teamkiba wameanzisha,hakuna sehemu walipojibiwa na MTV niamini mimi.Hebu soma hapa walichoeleza mbona mnakuwa wagumu kuelewa?
View attachment 430845
Tutaifuta tu hamna namna[emoji23]Sijui na leo mods watafuta komenti zangu,maana wanapenda DIAMOND akipondwa,ila kiba akipondwa wanafuta komenti zako. KIBA HANA HADHI YA TUZO ZA KIMATAIFA AJIPANGE LABDA SIKU ZA MBELE ATAFANIKIWA LAKINI SIO KWA SASA.
We jamaa unaangaika sana,KIBA SI WAKUCHUKUA TUZO MBELE YA WALE ALIOKUWEPO NAO,ACHANA NA HIVO VITU VILIVYOTENGENEZWA NA HAO TIMU KIBA. TUZO ZIMESHAPITA NA WIZKID NDIO MSHINDI MWAMBIENI MTU WENU AFANYE MUZIKI SIO MAJUNGU NA KULALAMIKA.Ukiangalia hiyo picha vizuri, ktk huo mstari wa pink kwa Ali kiba kinembo kama tuzo kwa chini kimechomoza, hakijakaa ktk mstari mmoja ulionyooka na picha yake, kama unabisha chukua rula alafu Pima chora mstari kuanzia juu mpaka ktk nembo ya tuzo, kwa kiba kimechomoza, lkn kwa wa sanii wengine hakijachomoza, kimejipanga ktk mstari mmoja na picha, kwa hiyo huu ni utundu tu wa graphics, tusipotezeane muda. View attachment 430885
Wafute tu,bado sitosifia kisichostahili.Tutaifuta tu hamna namna[emoji23]
..cku bifu yake na Diamond itakapo isha ndo itakua mwisho wake, maana anatumia hii bifu ndo inamueka mujini.Niaje wadau.
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Alikiba kupokonywa ushindi huko MTV EMA.Naomba hapa nitumie nafasi hii kufafanua kilichotokea ili kuweza kuondoa huu utata.
Kwa mujibu wa Mtv Ema Alikiba ameshinda kwa kura nyingi sana alizopigiwa na mashabiki na wamemtangaza kuwa katika kipengele cha kura nyingi Ali ndio mshindi.
Naomba tufahamu kwamba Tuzo kubwa kama MTV EMA na BET kuna vipengele ambavyo maamuzi yake hayategemei kura za mashabiki bali huamuliwa na wadhamini, majaji pamoja na waandaaji wa Tuzo. Kipengele hiki huangaliwa ni kiasi gani msanii anafanya vizuri katika category aliyowekwa cz inawezekana msanii akakosa kura nyingi lakini anastaili kupata tuzo kutokana na mchango wake katika mziki.
Kipengele hicho ndicho kilichomfanya Wizzy ashinde Tuzo hiyo ya MTV EMA.
Kiukweli MTV EMA hawajakosea katika hilo cz watanzania wengi walimpigia kura Kiba bila kujali team zao lakini kwa viwango vya kimataifa kiba hawezi kumfikia hata Robo Wizkid.
Alikiba alitakiwa kuwaambia ukweli mashabiki zake na sio kulalamika kwenye media kuwa haelewi kilichotokea wakati anafahamu ukweli wote. Kulalamika kwa Ali kutamsababishia picha mbaya na sidhani kama MTV EMA watakuja tena kumchagua kuwania Tuzo hizo katika Category yoyote ile.
Natumaini nimeeleweka japo kwa uchache.
Umeongea Pumba Kabisa. Umeonyesha jinsi ulivyo na Mihemuko ya U team Domo. Unajifanya unajua lakini Kumbe ni Kihiyo. Tumewataka MTV watoe ufafanuzi wa Criteria wanazotumia kumpata mshindi. Mpaka sasa wanapepesa macho, Kumbuka Eddy Kenzo aliwahi kuwalalamikia Pia kwa figisu zao. Inshort hizo tuzo kwajiri ya Nigeria na africa.