kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
- Thread starter
-
- #41
Ndi hivo mkuu, akirogwa tu akatia neno patachafuka kisenge.Mimi mwenyewe naomba avumilie hata wiki inatosha.CMG,Ommy na Kiba walihitaji view milion 3 youtube nyimbo ya yanje lkn wamefeli na amini hata hili watafeli tu na ndio maana wameamua kuweka nguvu kubwa.
Mimi mwenyewe naomba avumilie hata wiki inatosha.CMG,Ommy na Kiba walihitaji view milion 3 youtube nyimbo ya yanje lkn wamefeli na amini hata hili watafeli tu na ndio maana wameamua kuweka nguvu kubwa.
Tangu Ommy dimpo amwambie mshkaji ni shoga,Ommy naye akamwambia mpk siku unione nimetoka chumbani kwa bi.Sandra nimevaa taulo kiunoni huku ukitambulishwa.na mamako mi ndo babako.ndo utaniheshimu na akaweka picha akiwa na bi.Sandra(mama domo),hahahDiamond ni mtoto wa uswazi amezoea kusutana. Hawezi kukaa kimyaa.
ndo hivyo ilivyo banawala sikuwa najua kuwa kiba alifanyiwa interview!
Ni sawa tu, maana Alikiba hata hawajali lakini jamaa wanamshobokea wee, waachane naye!Ikiwa leo ni siku maalumu kwa ajili ya mahojiano ya kiba pale mawingu (clouds) media, wenyewe wanakwambia ALIKIBA DAY. Baadhi ya maswali aliyoulizwa ni jinsi alivosalimiana na hasimu wake mkubwa Diamond Platnumz kwa kumgeuzia kiganja cha mkono, hakusita kusema kila mtu anasalimiwa kwa style yake. Akimanisha utofauti uliopo pindi unaposalimiana na mwanamke au mwanaume.View attachment 773373
Mwenye IQ kubwa hebu itafisiri hiyo kauli, au unaropokwa tu na mihemuko ya ushabiki.ni kwamba IQ za watu humu ni ndgo sana au kuendekeza upuuzu,io kauli ya kiba na kumfananisha dai na mwanamke vnahusiana vp,heri ungemtafta kumuulza sio kumlisha tafsiri mtu..
Ila clouds wanahaingaika sana si walikua wanambeba aslay hawa saiv wamegeukia kwa kiba na bure bure wanaitangaza biashara ya msauzi kisa kupromote bifu na wasafi aiseee
ndio hivyo "" haujui au!?saa sita usiku mkuu[emoji15]
hizo ni trick za biashara ili nyie mang'ombe muendelee kushabikia timu zenu hizoIkiwa leo ni siku maalumu kwa ajili ya mahojiano ya kiba pale mawingu (clouds) media, wenyewe wanakwambia ALIKIBA DAY. Baadhi ya maswali aliyoulizwa ni jinsi alivosalimiana na hasimu wake mkubwa Diamond Platnumz kwa kumgeuzia kiganja cha mkono, hakusita kusema kila mtu anasalimiwa kwa style yake. Akimanisha utofauti uliopo pindi unaposalimiana na mwanamke au mwanaume.View attachment 773373
Achilia mbali Aslay, nani aliamini kuwa Darasa atakuja kupotea??
Hawa CMG mungu anawaonaaa..walimtumia Darasa weeeeee walipommaliza kumnyonya wakamtupa...jamaa saivi naskia kawa teja.....wakaamia kwa Aslay bado wakabuma
Iyo ya Kiba wala hamna mtu aliestuka....labda Da mange akisupport ndo itavuma....ila CMG tumeshawazoea
Mwambieni Kiba aache ushamba, siwezi kuendelea kumshabikia mtu mpuuzi kama huyo, najielewa na najitambuwa.Jamani kazi ipo
Vijana acheni majungu
Ni tetesi ambazo zipo mtaani.Hivi mawingu si wana bifu na domo
Asante NYASI maana bila ww hatuwezi kuishihizo ni trick za biashara ili nyie mang'ombe muendelee kushabikia timu zenu hizo
Ana majibu ya hovyo sana. Ambayo diamond ikitokea kajibu hivo hukuzwa mara milion ili tu aonekane mbaya.mimi nasemaga kuliko uswahili wa kkoo bora wa tandale.
saa zingine domo ana act kama mtu mzima...
ali kiba ni mswahili mara2 ya Mond