Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Sanaa.jamaa yuko cmple sana.Ha complicate mambo bt anaish anavyopendaNmependa alivyo vaaa [emoji146], [emoji4][emoji4][emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanaa.jamaa yuko cmple sana.Ha complicate mambo bt anaish anavyopendaNmependa alivyo vaaa [emoji146], [emoji4][emoji4][emoji4]
Ali Kiba alisikika akimwambia Diamond amrudishie penseli yake.Mastaa wabongo ambao hawaivi au kupikwa chombo kimoja wapangwa meza moja ya wageni waalikwa ikulu Chamwino Dodoma kwenye sherehe za kuweka mchanga.
Je nafsi zao wanaongea nini?View attachment 1504483
Unaona kawaida lakini unakuta ile kofia yake tu inalipa kodi ya hicho kichumba chako ulichopanga uswazi kwenu huko.Sizan kama kuna uingiliano kwenye kuvaa na kuwa na pesa unaweza kuwa na hela na usjue kuvaa kwaiyo tulia mkuu..nilicho kuwa namaaanisha kuhusu Ali n kwamba bwana Alli ni msanii mkubwa sana kuna time hatakiwi kujieka ivyo kawaida kawaida
Ndo anapo tofautiana na wenzake, na kuzidi kudumu ktk mioyo ya mashabiki wengiiiih. I like itSanaa.jamaa yuko cmple sana.Ha complicate mambo bt anaish anavyopenda
Mwanaume mwenzako unamsifia kuwa romantic , aisee inasikitisha sana.Yaaaan afu romantic sasa, nmependa mnoooooh.
Ni mtu wa ajabu mnobwana wa mdogo wa kariakoo kavaa utafikiria anaenda msimbazi kupiga ubweche
Wachaaaa, ngoja nikatazameNahisi kuna ndugu zangu wamepiga shot isiyo muiclude Diamond Platnumz.
Ila ndugu yao Millard imebidi ampost leo kwa channel yake hamna jinsi.
Poleeeeeeeeh saanaaaah mpwaaaaaa, najua unateseka mnoooh, hebu meza paracetamol afu lala. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume mwenzako unamsifia kuwa romantic , aisee inasikitisha sana.
Wakikujibu,ni tagKwani aya matangazo ya ccm yanayo katishwa n mal ya WCB ????
Ameimba ten over tenNasty C ni msouth Africa huyu mwenye breachNaeto C ni mnajeria nayemzungumzia.Nadhan kaacha mziki maana babake ana hela kama kina davido au DJ cuppy.View attachment 1504596View attachment 1504601
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana nimesema some time mkuu..jana alivaa sawa na tukio lilivo kuwa linaitaji ila leo kavaa kama kaenda kudoea wal kwenye shuhur au msiba
Kwani cocastic ni mwanaume ?Mwanaume mwenzako unamsifia kuwa romantic , aisee inasikitisha sana.
BestiePoleeeeeeeeh saanaaaah mpwaaaaaa, najua unateseka mnoooh, hebu meza paracetamol afu lala. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NdioKwani cocastic ni mwanaume ?
Chapati samaki huyo.Bestie
Wewe ni mwanaume kama wakulungwa wanavyosema ?
Maana siku zote huwa najua wewe ni mwanamke.
Kama ni kweli, aibu naona mimi kwa kumtaman mwanaume mwenzangu.Ndio
Sana.Kama ni kweli, aibu naona mimi kwa kumtaman mwanaume mwenzangu.
Nilikuwa na wazo kama hilo ila nikawa nalikataa kulikubaliSana.
Nina wasiwasi atakuwa ndiye yule Rayyoungr.
Pigia mstari .Nilikuwa na wazo kama hilo ila nikawa nalikataa kulikubali
Humu ndani hakuna anaejua uhalisia wala jinsia yangu, sasa nashangaa kila mtu anataja jinsia ambayo yeye anahisi, na by the way a don't take serious couz sipo humu kutangaza jinsia yangu. Kwahyo wee utakavyo amini kulingana na maneno ya watu bas juu yako.Bestie
Wewe ni mwanaume kama wakulungwa wanavyosema ?
Maana siku zote huwa najua wewe ni mwanamke.