Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Uwez kumzuia mtu kufkir vile anavyo fkir izo n fkra zako mkuu azibadilishi chochote
Sjui tunaelewana apo mjanja [emoji3][emoji3][emoji3]
Kweli na mimi nimefikiri wewe ni mshamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwez kumzuia mtu kufkir vile anavyo fkir izo n fkra zako mkuu azibadilishi chochote
Sjui tunaelewana apo mjanja [emoji3][emoji3][emoji3]
acha ushamba aiseee,hapo hakuna mtu mwenye hela..........angalia kwenye list ya matajiri duniani top 10 nzima nambie ni nani anavaa kama KONDE AU MONDvazi la Kiba kwioo
Ukiitwa Ikulu sote tunajua unapigilia vitu hatarii
Hatujazungumzia uwezo kifedha..Issue ni Venue!acha ushamba aiseee,hapo hakuna mtu mwenye hela..........angalia kwenye list ya matajiri duniani top 10 nzima nambie ni nani anavaa kama KONDE AU MOND
kuanzia JEFF BEZOS,BILL GATES,MARK,ELON,MUKESH AMBANI,ARNAULT,LARRY PAGE etc wanavaa casual and simple waweza sema ni maskini
Mkuu mbona JEFF BEZOS ananyoka suti kali sana unataka kuniambia zile suti unaweza zifananisha na zakina almas na mmakonde zile za suti bega za laki 2acha ushamba aiseee,hapo hakuna mtu mwenye hela..........angalia kwenye list ya matajiri duniani top 10 nzima nambie ni nani anavaa kama KONDE AU MOND
kuanzia JEFF BEZOS,BILL GATES,MARK,ELON,MUKESH AMBANI,ARNAULT,LARRY PAGE etc wanavaa casual and simple waweza sema ni maskini
Hiyo juice haijafunguliwa,hata grass bado imegeuzwa juu chini.Nandy yeye kakausha juicy yake mapema
Na alivyokaa ni kama anataka wamuongeze
Tangazo la Pepsi ni Mali ya WCB kumbe? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Usharowanaaa.Yaaaan afu romantic sasa, nmependa mnoooooh.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mmoja hapo kakaa kama kibaka anawaza kuibia wenzake simu na juice halafu waje kutafuta pamoja
zichunguze vizuri suti zake ziko casual sio kwaajili ya show off hazina marembo..........na aliwahi kuhojiwa akasema havai nguo from up to down zaidi ya dola 110Mkuu mbona JEFF BEZOSMkuu mbona JEFF BEZOS ananyoka suti kali sana unataka kuniambia zile suti unaweza zifananisha na zakina almas na mmakonde zile za suti bega za laki 2