Alikiba, Harmonize na Diamond meza moja Ikulu

Alikiba, Harmonize na Diamond meza moja Ikulu

vazi la Kiba kwioo

Ukiitwa Ikulu sote tunajua unapigilia vitu hatarii
acha ushamba aiseee,hapo hakuna mtu mwenye hela..........angalia kwenye list ya matajiri duniani top 10 nzima nambie ni nani anavaa kama KONDE AU MOND
kuanzia JEFF BEZOS,BILL GATES,MARK,ELON,MUKESH AMBANI,ARNAULT,LARRY PAGE etc wanavaa casual and simple waweza sema ni maskini
 
acha ushamba aiseee,hapo hakuna mtu mwenye hela..........angalia kwenye list ya matajiri duniani top 10 nzima nambie ni nani anavaa kama KONDE AU MOND
kuanzia JEFF BEZOS,BILL GATES,MARK,ELON,MUKESH AMBANI,ARNAULT,LARRY PAGE etc wanavaa casual and simple waweza sema ni maskini
Hatujazungumzia uwezo kifedha..Issue ni Venue!

Waangalie wasanii wa marekani siku wameitwa White House!...wengi wao wanavaa smart wear

Casual wear kila mtu anavaa

Mark is one of the richest but has the same style for casual
 
IMG_20200713_195640.jpg

Nandy kidogo akose nafasi akae juani aungueeee azimie wampeleke hospital, Zuchu aje akae.

.. alafu konde nae simu iishe charge atoke kutafuta charge, Tale amwite RayVanny akae hapo @WCB Waanze kupiga story kumkera sheikh🤦🤣😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah hivi unawaza nini?
 
Mkuu mbona JEFF BEZOS
acha ushamba aiseee,hapo hakuna mtu mwenye hela..........angalia kwenye list ya matajiri duniani top 10 nzima nambie ni nani anavaa kama KONDE AU MOND
kuanzia JEFF BEZOS,BILL GATES,MARK,ELON,MUKESH AMBANI,ARNAULT,LARRY PAGE etc wanavaa casual and simple waweza sema ni maskini
Mkuu mbona JEFF BEZOS ananyoka suti kali sana unataka kuniambia zile suti unaweza zifananisha na zakina almas na mmakonde zile za suti bega za laki 2
 
Hivi hawa watu hawakuongea kweli kwenye hiyo meza? Hata salamu? Au ndo mmoja hapendi showoff za kusalimiana
 
Tangazo la Pepsi ni Mali ya WCB kumbe? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Ohoo basi event ya ccm ni mali ya ccm, haiwezekani chama kilipie full airtime alafu ukate matangazo yao sehemu ya event yao, unless otherwise wawe wamekubaliana uongozi wa ccm na media.
 
Kuna mmoja hapo kakaa kama kibaka anawaza kuibia wenzake simu na juice halafu waje kutafuta pamoja
 
Wanakuja na idea ya kujenga kiwanda nini??

Ova
 
Mkuu mbona JEFF BEZOSMkuu mbona JEFF BEZOS ananyoka suti kali sana unataka kuniambia zile suti unaweza zifananisha na zakina almas na mmakonde zile za suti bega za laki 2
zichunguze vizuri suti zake ziko casual sio kwaajili ya show off hazina marembo..........na aliwahi kuhojiwa akasema havai nguo from up to down zaidi ya dola 110
 
Back
Top Bottom