Anhaahahaahaaa
acha umbea wewe.yaani umekaa ukajitungia mawazo yako kichwani kisha ukahitimisha.kama ni msikilizaji wa wasafi radio au ukibahatika kutazama tv ya wasafi utagundua hilo, kuna kipindi kinaitwa block 89 sometimes watangazaji wanaweza wakaingizia story za kiba au kings music kwa uzuri kabisa (in apositive way) na dj anacheza ngoma zao utazani hakuna chochote kilichopo, ukifatilia mazungumzo yao kwa makini na busara utagundua kuwa kuna nguvu ya upande wa pili inayotumika either kutoka kwa kiba au meneja wake ili vijana wake wasiende pale na wasafi wanafanya kila jitihada wawepo pale ila wanaishia kuzungushwa. Fatilia hiyo media na vipindi vyake utagundua kitu.
huko youtube kuna mashindano???Huyo kiba na kundi lake wote wanabuluzwa na mboso YouTube
unaendeshwa na ushabiki maandazi.Diamond anajua biashara na hapendi bifu ila huyo mtu wa kale ni mnafki na mswahili mwenyewe roho mbaya.
mwishoni mtasema beef hilo ndio limepa mimba tanasha,yaani soga za wabongo bana.Ali Kiba beef na wcb ndy inamuweka kwenye pipeline
Ova
beef lake linasababishwa na nini???Jamaa hampendi mondi pamoja na wasafi crew. Kwani alikiba ana beef na mond au wasafi wote?
We unafikiri hyo Kiba anataka kukaa Sawa na diamondmwishoni mtasema beef hilo ndio limepa mimba tanasha,yaani soga za wabongo bana.
beef lake linasababishwa na nini???
waliishawahi kumpiga??
kwanini kiba ndiye aonekane kukerwa zaidi na hayo mafanikio wakati kuna wasanii zaidi ya 50,wao hawakereki????Beef linakuja sababu mond ana mafanikio zaid yake
mond anapovunja records iwe youtube au katika tamasha hujipiga kifua akimrefer huyo wanayemwita mpinzano wake.We unafikiri hyo Kiba anataka kukaa Sawa na diamond
Au diamond anataka kukaaa Sawa na kiba
Hapana.....wote hzo tofauti zao ndy zinaweka kwenye soko
Ova
huwa naona ni upumbavu sana kuamini Kiba anatakiwa awe kama Mond!!!kwani mond ana kasoro gani mpaka asitoshe???Asiyejua maana usimpe maana,kwani hata ukimpa ataona kama una mtukana na hamna mwalimu mzuri kama muda na kizuri kitaonekana kwani mda wake ushafika kizuri hiko kuonekana.
As long wote wanafanya vzuri mpaka Sasamond anapovunja records iwe youtube au katika tamasha hujipiga kifua akimrefer huyo wanayemwita mpinzano wake.
lakini je,kuna siku yoyote kiba amejaribu kujibu???
eti kiba hana mafanikio kama mond,sijui mafanikio kwa watu wengine ni kitu gani[emoji16][emoji16][emoji16].As long wote wanafanya vzuri mpaka Sasa
Ova
acha umbea wewe.yaani umekaa ukajitungia mawazo yako kichwani kisha ukahitimisha.
sema ni lini kiba amewakataza vijana wake wasifike hapo???
huyo diamond pamoja na nyinyi kusema amefanikiwa sana,yeye kutwa kujieleza either kwa vijembe au mafumbo kwamba yeye ni mkali,sijui ana wasi wasi wa nini???
kiba anaishi maisha yake yanayomfaa yeye,kama kufanya interview wasafi ndio njia ya kufanikiwa kimziki basi wasanii wengi tu wangeishapotea.
Mi binafsi naona wote wanamafinikioeti kiba hana mafanikio kama mond,sijui mafanikio kwa watu wengine ni kitu gani[emoji16][emoji16][emoji16].
ukiniona mnafiki mimi nakuona mjinga.Sio sisi kusema kafanikiwa hata wewe unajua kuwa kafanikiwa sana “huo unafik ndo tunaukataa”
chunguza wanaodai hivi,ni wale watoto under 19yrs wanaosikiliza singeri.Mi binafsi naona wote wanamafinikio
Sasa sjui mafanikio gani mashabiki wanayotaka wayaone
Ova