Alikiba kawakataza Kings Music kufanya interviews Wasafi Media?

Alikiba kawakataza Kings Music kufanya interviews Wasafi Media?

Punguza kuvuta bangi mkuu. ...
KIBA nyooooooooooooo"

malizia jitukane kabisa"

Na ahakikishe hapatani na diamond ila siku akajiloga akapatana na mwenzake KESHO yake atakuta kashakatiwa ticket za kurudi shamba kulima.

UGOMVI huu mnufaikaji ni ALIKIBA tena anapata faida kubwa sana sana sana..and he knows that...The only thing Mond can do ni kuhakikisha haendelezi bifu..yani ampende hadi raia washangae..anaekuchukia dawa yake usijishughulishe nae.
 
Unatumia kipimo gn kutuaminisha akifanya ivo humu reffer alikiba. Naomba kuuliza.
mond anapovunja records iwe youtube au katika tamasha hujipiga kifua akimrefer huyo wanayemwita mpinzano wake.

lakini je,kuna siku yoyote kiba amejaribu kujibu???
 
Habari zenu wananzengo,

Guys hili bifu la mondi na kiba bado lipo pale pale, wale wanaosema hawa jamaa hawana mabifu basi wanajidanganya tu.. Jiulize ushawahi kuwaona vijana wa Kings music wakitambulisha ngoma zao mpya wasafi media? ila cha ajabu wasafi tv na radio wanapiga ngoma za hao kings kila siku hadi ngoma zao mpya zinachezwa bila hata official interviews/release kwa wasafi. Sawa una bifu na mondi hata uzao wako usijihusishe na chochote kinachohusiana na mondi hata kama kina faida kwao kibiashara? Kumbe bifu binafsi na biashara huwa vinakwenda pamoja? Alikiba badilika biashara haiendi hivyo hata kidogo waache vijana wako wawe huru kwenda popote as long as hawavunji/hawavunjiwi heshima kwako na kwa wengine. Big up kwa Wasafi Media, ile ni media ambayo ipo huru Tanzania haijalishi uwe na bifu na mmiliki wake au la wewe ngoma zako zitapewa airtime everyday labda wewe mwenyewe uwaambie waache kupiga. Compared to clouds, East Africa radio, efm, wote tunajua hizo media ukikorofishana na presenter au hata mfagia ofisi kwa mambo yenu binafsi basi Department zote haijalishi tv au radio watasitisha kucheza ngoma zako mara moja! VERY UNPROFESSIONAL. Entertainment media za kibongo zijifunze kwa wakenya wanafanyaje hizi kazi, wenzetu hawaendeshi media zao kwa mihemko.



maxresdefault.jpg
Nasikia ALI kiba ameanzisha redio yake sema hataki tu watu waijue
 
Habari zenu wananzengo,

Guys hili bifu la mondi na kiba bado lipo pale pale, wale wanaosema hawa jamaa hawana mabifu basi wanajidanganya tu.. Jiulize ushawahi kuwaona vijana wa Kings music wakitambulisha ngoma zao mpya wasafi media? ila cha ajabu wasafi tv na radio wanapiga ngoma za hao kings kila siku hadi ngoma zao mpya zinachezwa bila hata official interviews/release kwa wasafi. Sawa una bifu na mondi hata uzao wako usijihusishe na chochote kinachohusiana na mondi hata kama kina faida kwao kibiashara? Kumbe bifu binafsi na biashara huwa vinakwenda pamoja? Alikiba badilika biashara haiendi hivyo hata kidogo waache vijana wako wawe huru kwenda popote as long as hawavunji/hawavunjiwi heshima kwako na kwa wengine. Big up kwa Wasafi Media, ile ni media ambayo ipo huru Tanzania haijalishi uwe na bifu na mmiliki wake au la wewe ngoma zako zitapewa airtime everyday labda wewe mwenyewe uwaambie waache kupiga. Compared to clouds, East Africa radio, efm, wote tunajua hizo media ukikorofishana na presenter au hata mfagia ofisi kwa mambo yenu binafsi basi Department zote haijalishi tv au radio watasitisha kucheza ngoma zako mara moja! VERY UNPROFESSIONAL. Entertainment media za kibongo zijifunze kwa wakenya wanafanyaje hizi kazi, wenzetu hawaendeshi media zao kwa mihemko.



maxresdefault.jpg
CELEBRITY WORSHIP SYNDROME, ndio maana gemu haliendelei kabisa kama unaona toka 2012 hadi sasa gemu la muziki wa bongi bado linazungumza hawa wasanii wawili tu haina haja yakukusanya data mtaani ni kuwa gemu linashuka na gemu limekosa ladha, mambo yakusikiliza track mbili kwenyw simu ndio haya, Hii inaua vijana wengine mitaani wenyw vipaji maana mashabiki wameshadata na hili mbungi, nyimbo zao ziwe nzuri ziwe mbaya bado watazihusudu tu na hii ni opium moja mbaya sana ktk tasnia ya muziki, kumpaka mpaka mafut msanii unayempenda kwa kuofia kusema ukweli eti kisa wananzengo watachukuliaje huu ni uboya uliotukuka, wakati watu wakijsifia kuwa na wasanii watano ama sita kiamtaifa wengine wana wasanii 50 kimataifa 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
CELEBRITY WORSHIP SYNDROME, ndio maana gemu haliendelei kabisa kama unaona toka 2012 hadi sasa gemu la muziki wa bongi bado linazungumza hawa wasanii wawili tu haina haja yakukusanya data mtaani ni kuwa gemu linashuka na gemu limekosa ladha, mambo yakusikiliza track mbili kwenyw simu ndio haya, Hii inaua vijana wengine mitaani wenyw vipaji maana mashabiki wameshadata na hili mbungi, nyimbo zao ziwe nzuri ziwe mbaya bado watazihusudu tu na hii ni opium moja mbaya sana ktk tasnia ya muziki, kumpaka mpaka mafut msanii unayempenda kwa kuofia kusema ukweli eti kisa wananzengo watachukuliaje huu ni uboya uliotukuka, wakati watu wakijsifia kuwa na wasanii watano ama sita kiamtaifa wengine wana wasanii 50 kimataifa 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

well said mkuu
 
kweli kabisa mkuu. Kwa Tanzania nathubutu kusema kwamba Wasafi media & record label pekee ndo wametuprove wrong kuwa bifu ni bifu na biashara ni biashara so havifuatani pamoja. Kwa jinsi navyomuona Diamond yupo tayari kuruhusu Kings music wapige shoo wasafi festival na kulipwa vizuri tu kama wasanii wengine ila Alikiba hiko kitu hataki sasa hiyo ni akili au matope? yule jamaa akili hana, akae chini na professionals wamfunze biashara inakwendaje.
Alikiba ni professional ila hatakagi tu watu wajue ni msiri sana
 
Alikiba Amshukuru sana Ruge.. Maana alimbeba kisawasawa ili kumkomoa domo! Kama si ruge kiba angeshapotea kwenye ramani zamani sanaaa.. Naona clouds wanaendelea kumpa kiki japo jamaa anatoa manyimbo yasiyoeleweka kabisa siku hizi! Mpaka youtebe
Viewers wamemgommea!
Alikiba ni level moja na Mr nice ila hapendi tu watu wajuwe
 
Kipi kimekufanya useme kua Kiba ndio kawakataza wasanii wake na sio Wasafi Media hawajawaalika wasanii wa Kiba?

Je unaweza kuitetea hii hoja yako kwa ushahidi wa kuonekana na sio hisia?
Ushahidi alikiba anaujua ila hapendagi watu wajuwe
 
Kwani ulize wasafi tu je ushawaona wakijitambulisha tbc fm,RFA au jembe ni jembe we umeona wasafi tu.Au hiyo wasafi fm iliku inform kuwa walisha wahi kuwaalika hao madogo wakakataa..
 
Kwani ulize wasafi tu je ushawaona wakijitambulisha tbc fm,RFA au jembe ni jembe we umeona wasafi tu.Au hiyo wasafi fm iliku inform kuwa walisha wahi kuwaalika hao madogo wakakataa..

tbc washaenda mkuu
 
,,,,yeye kutwa kujieleza either kwa vijembe au mafumbo kwamba yeye ni mkali,sijui ana wasi wasi wa nini???
Katika yote ambayo Mond huwa anajisifia sijawahi kumsikia akijisifia kwamba yeye ni mkali! Ni kutokana na ukweli huo ndio maana mara kwa mara alikuwa akimuita Rich Mavoko kama Messi wa Bongo Flavor! Ni kutokana na ukweli huo, ndio maana kuna siku alisema haamini katika kipaji bali katika hardworking! Na ni kutokana na ukweli huo ndio maana mara kwa mara mafanikio yake hususani kwenye Views za YouTube amekuwa akiwa-refer mashabiki wake kwamba, kama si wao hakika asingekuwa anafikia hapo!

Kauli kama hizo haziwezi kutolewa na mtu anayeamini yeye ni mkali!

Kauli ya kujisifia ambayo mara kwa mara amekuwa akiitoa ni kwamba he's "Rich, young and humble!" Kauli ambayo, according to Floyd Maywether, you can hate it or get insipred!
 
Je wasani wengine ambao nao hajatambulisha nyimbo zao wasafi wanakatazwa na nani??
Tukitaka kuwa wakweli na kuweka mahaba pembeni, lazima kutakuwa na kitu ingawaje ni ngumu kuthibitisha! Binafsi kwa kuwa sikipendi kipindi cha Diva wa Clouds, basi Sports Extra ikiisha tu, huwa nakimbilia Wasafi! Ukweli ni kwamba Wasafi wamearika wasanii wengi sana tena sana ndani ya muda mfupi! Wasanii wengi wamekuwa wakienda kutambulisho ngoma zao pale baada ya kufanya hivyo mchana kwenye redio nyingine! Huwa wanaarika hata wasanii ambao usingewatarajia kama akina Z Anto, Mo Music, juzi tu hapa Shoro Mwamba, Dulla Makabila, Fatma (dadake na Hard Man), n.k!

Kwangu haiingii akilini kwamba hawajawahi kufanya attempt ya kutaka kuwafanyia mahojiano wasanii wa Kings Music! Na hapa ikumbukwe kwamba, ngoma za wasanii wa Kings Music na Kiba mwenyewe zinapigwa! Sasa ikiwa hata ngoma zao wanapiga, nini kitawafanya wasitamani kufanya nao mahojiano?!

Of course, wapo wasanii wengine ambao bado hawajaenda lakini wasanii walio midomoni wengi wameshaenda pale hususani baada ya kuachia ngoma! Hata Jide ambae alikuwa anadhaniwa kuwa na bifu na Mond, nae keshafanyiwa interview pale!
 
Back
Top Bottom