Alikiba kawakataza Kings Music kufanya interviews Wasafi Media?

Alikiba kawakataza Kings Music kufanya interviews Wasafi Media?

acha umbea wewe.yaani umekaa ukajitungia mawazo yako kichwani kisha ukahitimisha.
sema ni lini kiba amewakataza vijana wake wasifike hapo???
huyo diamond pamoja na nyinyi kusema amefanikiwa sana,yeye kutwa kujieleza either kwa vijembe au mafumbo kwamba yeye ni mkali,sijui ana wasi wasi wa nini???
kiba anaishi maisha yake yanayomfaa yeye,kama kufanya interview wasafi ndio njia ya kufanikiwa kimziki basi wasanii wengi tu wangeishapotea.
WCB mbona wanafanya vzr tu kwenye music... sjui Ali kiba wanamtaka wa nini?
Wajinga bhana
 
kwanini kiba ndiye aonekane kukerwa zaidi na hayo mafanikio wakati kuna wasanii zaidi ya 50,wao hawakereki????
na je mmejuaje alikiba anahitaji kufanikiwa kama mond,kuwa na mabodyguards nk!!!
Mkuu hawa watu kuna siku mond atawawekea soksi chafu mdomo awambie waziteme zikiwa safi..
Ujinga na kuabudu watu kumewajaa
 
ukiniona mnafiki mimi nakuona mjinga.
unajua ni kwanini???kiba anazo pesa,kiba anazo gari,kiba anazo nyumba,kiba ana familia na ndoa kafunga.
kama kufanikiwa kwa diamond ni kumzidi kiba si diomond pekee aliyemzidi kiba sawa kijana???kwa kukosa hoja kwa namna hii ndio kunakofanya mnakuja na mitazamo yenu humu,iwe ndio hali halisi.
Malimbukeni tu hao mkuu
 
TV stations ziko nyingi, Radio stations ziko nyingi. Kwa nini hamuhoji ajaenda TBC
Suppose kungekua na TV stations 20 nchini zinazodeal mainly na music ina maana kila akitoa nyimbo azunguke kote kufanya interview?
Wao wanataka aende Wasafi sjui wanataka wamfanyeje?..
 
Habari zenu wananzengo,

Guys hili bifu la mondi na kiba bado lipo pale pale, wale wanaosema hawa jamaa hawana mabifu basi wanajidanganya tu.. Jiulize ushawahi kuwaona vijana wa Kings music wakitambulisha ngoma zao mpya wasafi media? ila cha ajabu wasafi tv na radio wanapiga ngoma za hao kings kila siku hadi ngoma zao mpya zinachezwa bila hata official interviews/release kwa wasafi. Sawa una bifu na mondi hata uzao wako usijihusishe na chochote kinachohusiana na mondi hata kama kina faida kwao kibiashara? Kumbe bifu binafsi na biashara huwa vinakwenda pamoja? Alikiba badilika biashara haiendi hivyo hata kidogo waache vijana wako wawe huru kwenda popote as long as hawavunji/hawavunjiwi heshima kwako na kwa wengine. Big up kwa Wasafi Media, ile ni media ambayo ipo huru Tanzania haijalishi uwe na bifu na mmiliki wake au la wewe ngoma zako zitapewa airtime everyday labda wewe mwenyewe uwaambie waache kupiga. Compared to clouds, East Africa radio, efm, wote tunajua hizo media ukikorofishana na presenter au hata mfagia ofisi kwa mambo yenu binafsi basi Department zote haijalishi tv au radio watasitisha kucheza ngoma zako mara moja! VERY UNPROFESSIONAL. Entertainment media za kibongo zijifunze kwa wakenya wanafanyaje hizi kazi, wenzetu hawaendeshi media zao kwa mihemko.



maxresdefault.jpg
ulivyoandika utafikiri PA wa kiba
 
Kama Wana magari,nyumba etc hyo mafanikio tosha sasa sjui hao mashabiki wanataka nn zaidi
Maana kuna wasanii wanaimba hawana mafanikio +hawadumu kwenye game
Ova
Wao shida yao ni Kiba tu.. kama kawabakia dada zao
 
ukiniona mnafiki mimi nakuona mjinga.

unajua ni kwanini???kiba anazo pesa,kiba anazo gari,kiba anazo nyumba,kiba ana familia na ndoa kafunga.

kama kufanikiwa kwa diamond ni kumzidi kiba si diomond pekee aliyemzidi kiba sawa kijana???kwa kukosa hoja kwa namna hii ndio kunakofanya mnakuja na mitazamo yenu humu,iwe ndio hali halisi.

na diamond kazidiwa na wengine wengi tu....wala hao waliomzidi hawajamtafuta awe nao karibu ili awafikie
 
Hatupo hapa kutoana mapovu ni kueleweshana tu kama wadau wa muziki, sasa huyo domo ndo nani kiongozi? punguza chuki kwa Diamond. Huyo msanii wako sio malaika kusema hakosei anakosea sana na akikosea haambiwi ila mnaishia kumsifia tu which is wrong. Mafanikio ya Diamond yanachangiwa na kuambiwa ukweli na kujishusha kwa watu wengine. Endeleeni kumdanganya Kiba mnazidi kumpoteza jamaa.
Kiba hajaanza mziki leo na hawezi kupotea kwa kusema wewe ndugu...
hii zero yako ya Mjini Magharibi nenda karist paper
 
KIBA nyooooooooooooo"
malizia jitukane kabisa"
Na ahakikishe hapatani na diamond ila siku akajiloga akapatana na mwenzake KESHO yake atakuta kashakatiwa ticket za kurudi shamba kulima.
UGOMVI huu mnufaikaji ni ALIKIBA tena anapata faida kubwa sana sana sana..and he knows that...The only thing Mond can do ni kuhakikisha haendelezi bifu..yani ampende hadi raia washangae..anaekuchukia dawa yake usijishughulishe nae.
Kiba anajishughulisha na Mond?... mbona mnajinyea hv.
Mond ndio amemtoa Ali kimziki?.. Mond ndio kila kitu nchi hii?.. ndio mgawa riziki?... Shwain kabisa
 
Kwani ulize wasafi tu je ushawaona wakijitambulisha tbc fm,RFA au jembe ni jembe we umeona wasafi tu.Au hiyo wasafi fm iliku inform kuwa walisha wahi kuwaalika hao madogo wakakataa..
Achana nao hao miungu watu
 
Back
Top Bottom