Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Useme hapo tatizo ni kuwa anakaa muda bila kutoa ngoma ila kusema sijui ameshuka chat sio kweli nenda kaangalie mbona anatrend?Mie sijui unaongelea nini...Kipindi Ali kiba ametoa seduce me kuna jamaa yangu mmoja alinipigia simu muda huo huo ngoma ilipoachiwa na mimi nikaipakua muda huo huo...
Useme hapo tatizo ni kuwa anakaa muda bila kutoa ngoma ila kusema sijui ameshuka chat sio kweli nenda kaangalie mbona anatrend?
Kuhusu kupenda wimbo hapo tunatofautiana ladha na sikio.
Angalia I'd yangu ndio utajua kabla hata ya hao nilikuwepo hapa.Ulikuwemo humu jukwaani kipindi cha Ali Kiba VS Diamond?
ID yako ya mwaka 2018,Nimeandika makala humu kuhusu Ali kiba mwaka 2015.Angalia I'd yangu ndio utajua kabla hata ya hao nilikuwepo hapa.
Na niliiona pia.ID yako ya mwaka 2018,Nimeandika makala humu kuhusu Ali kiba mwaka 2015.
On fire ni mzuri kiukweli mama watoto anaupenda SanaaOngezea na Asali,
Long Live the King.
Halafu mkuu ni lazima alikiba ashindane na diamond?Ulikuwemo humu jukwaani kipindi cha Ali Kiba VS Diamond?
siongelei ushindani wa Ali kiba na Diamond,naongelea kipindi ambacho Ali Kiba alikuwa katika kilele cha mashabiki. Nyuzi kama hii uliyoleta nilitegemea kuiona kipindi hiko.Watu walimpenda Ali Kiba wakachoka. Mada yako ya kisasa lakini humu inaweza kuonekana ipo nyuma ya wakati sababu watu walisha-move on.Halafu mkuu ni lazima alikiba ashindane na diamond?
Mambo haya haya ndo yamempoteza aslay.
Anafanya mziki wake basi
Mbona unaongelea opinion za watu mkuu?siongelei ushindani wa Ali kiba na Diamond,naongelea kipindi ambacho Ali Kiba alikuwa katika kilele cha mashabiki. Nyuzi kama hii uliyoleta nilitegemea kuiona kipindi hiko.Watu walimpenda Ali Kiba wakachoka. Mada yako ya kisasa lakini humu inaweza kuonekana ipo nyuma ya wakati sababu watu walisha-move on.
Ngoja nasi tusizikieWakuu.
Alikiba huyu ni mkongwe kama tujuavyo. Kadri muda ulivyosogea watu walitabiri kifo chake cha kimziki, ingawaje wale alioanza nao kuimba wengi wamepotea...
Mkuu alikiba ni msanii complete.Niliwahi ona clip Ali Kiba anaimba bila beat ule wimbo alioimba na Ommy Dimpoz...ilikuwa balaa sana ...
Sijawahi ona mwanamuziki anaimba bila beat Tz nikafurahia zaidi ya Ali Kiba na Christia Bella
Hutojuta.Ngoja nasi tusizikie
Long live the king😍😍😍Niliwahi ona clip Ali Kiba anaimba bila beat ule wimbo alioimba na Ommy Dimpoz...ilikuwa balaa sana ...
Sijawahi ona mwanamuziki anaimba bila beat Tz nikafurahia zaidi ya Ali Kiba na Christia Bella
Watu wamemove on wapi au ww ndo umemove on ?siongelei ushindani wa Ali kiba na Diamond,naongelea kipindi ambacho Ali Kiba alikuwa katika kilele cha mashabiki. Nyuzi kama hii uliyoleta nilitegemea kuiona kipindi hiko.Watu walimpenda Ali Kiba wakachoka. Mada yako ya kisasa lakini humu inaweza kuonekana ipo nyuma ya wakati sababu watu walisha-move on.
Nimemshangaa sana jamaaWatu wamemove on wapi au ww ndo umemove on ?