Alikiba sio wa kufa kimziki leo, bado sana

Alikiba sio wa kufa kimziki leo, bado sana

Kumtabiria Alikiba kufa kimziki sio rahisi jamaa anajua sana na namuona hata baada ya miaka 10 mbele akiwa pale pale Coz toka mwanzo alichagua kufanya muziki tu ma sio drama za maisha yake hivyo muziki wake ndio unambeba kwa asilimia kubwa
 
Back
Top Bottom