Huu uzi mpaka sasa bado uko page ya kwanza....Isingekuwa hivi mkuu wakati Kiba yupo moto.Watu wamemove on wapi au ww ndo umemove on ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi mpaka sasa bado uko page ya kwanza....Isingekuwa hivi mkuu wakati Kiba yupo moto.Watu wamemove on wapi au ww ndo umemove on ?
Mimi na wewe tupo kundi moja ila wewe hujajua kwamba saivi haupo interested na miziki ndo mana haupat hata muda wa kudownload hayo manyimbo ya bongoflevasiongelei ushindani wa Ali kiba na Diamond,naongelea kipindi ambacho Ali Kiba alikuwa katika kilele cha mashabiki. Nyuzi kama hii uliyoleta nilitegemea kuiona kipindi hiko.Watu walimpenda Ali Kiba wakachoka. Mada yako ya kisasa lakini humu inaweza kuonekana ipo nyuma ya wakati sababu watu walisha-move on.
Tatizo la huyu mtu ni nyodo, nilikuwa shabiki wake ila sio kwasasa
Sidhani kama kumewahi kuwepo na Ali Kiba Vs Diamond, zaidi ni hisia tu za watu.Ulikuwemo humu jukwaani kipindi cha Ali Kiba VS Diamond?
Nyodo kwa mashabikiAnamzidi mmakonde? haha
HaswaaaaahSidhani kama kumewahi kuwepo na Ali Kiba Vs Diamond, zaidi ni hisia tu za watu.
Ali Kiba hajawahi kukimbizana na matakwa na hisia za mashabiki.
Ali Kiba huwa anafanya muziki, anatoa wimbo halafu na yeye anaendelea na maisha yake. Hajawahi kufanya jitihada za kutaka mashabiki wawe busy naye, bali amekuwa akiwapatia nyimbo zake wawe busy nazo, siyo maisha yake.
Najua ww ni mke wa Ali Kiba ..Ongezea na Asali,
Long Live the King.