Alikiba unapaswa kuomba RADHI Wakristo

Hahahahaa....
 
kwani qaswida ina nini cha maana? Ni upuuzi kama upuuzi mwingine hakuna mkristo anayesikiliza upuuzi huo. Wapi uliona kwaya wamevaa nusu uchi? Uwe na uelewa wa mambo usi generalise mambo jaribu kuwa mchambuzi utapata ukweli wa mambo
Mfano Rose Muhando na madancer wake wanakatika na kubinuka matako huku wanaimba 'Yesu nibebe' unaona sawa?
Halafu nywele wanawake hawafuniki
wanavaa vimini magoti yanaonekana.
Ndo nusu uchi hiyo.
 
Mfano Rose Muhando na madancer wake wanakatika na kubinuka matako huku wanaimba 'Yesu nibebe' unaona sawa?
Halafu nywele wanawake hawafuniki
wanavaa vimini magoti yanaonekana.
Ndo nusu uchi hiyo.
kwa hiyo rose muhando unamuona ndio role model wako kuhalalisha hoja yako? Aliyekuambia rose muhando ameokoka?
 
kwani we uliyeandika huu uzi nawe mkristo???
 
we utakuwa mkristo wewe!!!
 
Tatizo la huyu mtoto wana mkuza sana huku hana anachokijua.........na kichwa chake kipana kama tofali la kuzibia chemba
 
Asante sana kaka kwa ufafanuzi mzuri, hawa wazee wamekuwa wakiandama wakristo hata kwenye mambo yanayofanywa na waislamu wenzao, wapagani au watu wa Dini nyingine
 

Mimi sibishi ili mradi nibishe tu mkuu ,mimi naangalia mantiki ,sipelekeshwi na mihemko ya Utimu wala udini,ukiona mtu hoja zake anaingiza matusi ujue huyo hamna kitu ,wewe kila ukiandika lazima utie matusi...Jenga hoja acha lugha za kashfa...Na hapa wala hatushindani na si kila mtu anayemtetea Ali kiba basi ni muislam mwenzake.
 
Garbage
 
Huyu anayechukua video nae mkristo? Huyu dogo ndo anabak pale pale,kwasababu ana dharau sana
 

Attachments

  • nivurugenikuvuruge_1693718811766.mp4
    11.2 MB
Jibu swali basi ..Rose Muhando sio mkristo?
unataka nijibu ni mkisto kwa mtazamo wako? Kwa taarifa yako huyo ni mkristo vuguvugu tu ndio maana unamuona hivyo. Biblia haitambui wakristo vuguvugu. Vipi we na uislam wako unadhani unamzidi nini ikiwa nawe hujui unachokiamini na kukiabudu?
 
unataka nijibu ni mkisto kwa mtazamo wako? Kwa taarifa yako huyo ni mkristo vuguvugu tu ndio maana unamuona hivyo. Biblia haitambui wakristo vuguvugu. Vipi we na uislam wako unadhani unamzidi nini ikiwa nawe hujui unachokiamini na kukiabudu?
Awe vuguvugu awe joto, ila ndo huyo anauwakilisha ukristo.. maana anaimbia kanisani na kwenye mikutano na mahubiri ya kikristo.

Kwenye uislam mtu hawezi kufanya hivo akaachwa
 
Hapa tukubali tu tunazingua na Maadili yetu yako chini ukilinganisha na Wenzetu, Mnajitetea sana na Mnajua kabisa Mnavyomsnitch Yesu as if hawaoni💔
Wenzetu wana Madhaifu yao mengi tu ila ni Watii wa taratibu za Imani yao angalau.
 
"Sisi /mimi m/watoto wa kiislamu" wanahaka pia kamsemo kao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…