Huna majibu na conclusion ni kwamba nabishana na mtu asiye na uelewa wowote!!! It's like kubishana masuala ya Fluid Mechanics na mtoto wa Darasa la Sita kutoka Azimio Primary school!!!Enhee ilifikisha views 1 M ndani ya 48 hrs au baada ya wiki kadhaa?
Ww ndo utupe madini sasa ya huo ulimwengu wa hacking kuliko kuleta hoja dhaifu zisizo na fact.Kapokee book 7 yako kwa domo maana sio kwa kuingia chaka huku. Yaani wewe ni chaka la shamba, hakuna unachokijua chochote kwenye ulimwengu wa hacking zaidi ya kupigiwa theoretical stories.
Vipi aje remix aliyomshirikisha M.I au yenyewe siyo featuring.....na vipi kuhusu subscribers?Huyo ni Neyo.
Usimlinganishe Neyo na kiba kupitia mgongo wa Diamond
Umeelewa lkn nilichouliza maana unaruka ruka tu kama pop cornNi aibu kuomba lift (domo collabo/feat.) halafu unashangilia kumpita anayeendesha gari yake mwenyewe (Alikiba ~Seduce me)
Huna hoja wewe. Unakimbilia kuwatukana nduguzo waliosoma Azimio na ka elimu kako ka informatics theories. Ukitaka nikuajiri ni pm tafadhari.Huna majibu na conclusion ni kwamba nabishana na mtu asiye na uelewa wowote!!! It's like kubishana masuala ya Fluid Mechanics na mtoto wa Darasa la Sita kutoka Azimio Primary school!!!
We ni msukule wa Mange tu ndo maana umelishwa sumu ambazo unashindwa hata kuzitetea! Narudia, jibu kwanza hili swali ili nifahamu nabishana na mtu wa aina gani!!! Hakuna daktari mwenye akili timamu anayeweza kubishana na Engineer kuhusu masuala ya human anatomy! So, jibu kwanza hili swali:Huna hoja wewe. Unakimbilia kuwatukana nduguzo waliosoma Azimio na ka elimu kako ka informatics theories. Ukitaka nikuajiri ni pm tafadhari.
Hebu niambie ubora uliopo kwenye Vevo Youtube channel account compared to pure Youtube channel account huku msisitizo ukizingatia mada ya hapa!!
Shows gani?? Hizihizi za kipaimara na birthday??Ina maana wewe una akili sana zaidi ya Sony Music Entertainment na Rockstar waliompa endorsement Alikiba?
Au wewe ni una weledi zaidi ya waandaaji wa Music wanaompeleka Alikiba America na Ulaya kwenye Shows?
Acha ubazazi.
Ongea na mods kabisa kuhusu ban. Vipi huwa unasoma post za Mange instagram?We ni msukule wa Mange tu ndo maana umelishwa sumu ambazo unashindwa hata kuzitetea! Narudia, jibu kwanza hili swali ili nifahamu nabishana na mtu wa aina gani!!! Hakuna daktari mwenye akili timamu anayeweza kubishana na Engineer kuhusu masuala ya human anatomy! So, jibu kwanza hili swali:
Wacha ushamba kiba anamaisha ya kawaida tu..Mondi ndio msanii wa kwanza anaewalipa Mameneja na kuwalipa watendaji wake wengine wote pamoja na artist wa label yake,dancers etc.Au wewe unamaanisha lile banda la popo Madale, watu na nyumba zao hawachongi
Namsubiri mdogo wangu anayesoma darasa la sita!! Utaanza kujadiliana nae yeye manake umesha-prove kwamba hauna uwezo wa kujibu hoja zangu!Ongea na mods kabisa kuhusu ban. Vipi huwa unasoma post za Mange instagram?
Mkuu hapo ni hamna kitu....hakuwezi kwa Facts,hana anachokijuaNamsubiri mdogo wangu anayesoma darasa la sita!! Utaanza kujadiliana nae yeye manake umesha-prove kwamba hauna uwezo wa kujibu hoja zangu!
Yaani kaanzisha mada ambayo imemzidi umri na uelewa wa mada husika!!!Mkuu hapo ni hamna kitu....hakuwezi kwa Facts,hana anachokijua
Ninyi ni team Kiba au team Domo?Namsubiri mdogo wangu anayesoma darasa la sita!! Utaanza kujadiliana nae yeye manake umesha-prove kwamba hauna uwezo wa kujibu hoja zangu!
Mkuu hapo ni hamna kitu....hakuwezi kwa Facts,hana anachokijua
Hahaha najichekea mieNinyi ni team Kiba au team Domo?
Vipi matibabu kule hospitali teule Dodoma mmeshatoka?