Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7 na zote zikiwa ni Ijumaa

Sidhani kama kuna maana yoyote maana tarehe na majina ya siku na miezi zilipangwa na mwanadamu.
 
Mm nadhan kuna uhusiano flan, mfano mm mwanangu alizaliwa march 21 tarehe aliyo zaliwa braza, ajabu yake mtoto wa braza akaja kuzaliwa tarehe niliyozaliwa mm. Ngoja. Waje wataalamu watuambie vzr

 
We ni punda kabisa.... Kosa la mtoa mada ni nini??? Kama huelewi si unapita tu... Mseeengerema wewe nyumbani kwetu pazuri... Karibu Mkuu..
Mleta post mwenyewe hajawahi kufa kwa hiyo binafsi kwanza nasema Inna lillahi wa inna ilayhi raaji'oon.Mbili sijaona kama hilo suala la kifo linapaswa kupostiwa kihivyo the way he did.
 
Mleta post mwenyewe hajawahi kufa kwa hiyo binafsi kwanza nasema Inna lillahi wa inna ilayhi raaji'oon.Mbili sijaona kama hilo suala la kifo linapaswa kupostiwa kihivyo the way he did.

Mimi kosa langu li wapi? Mleta mada jina anaitwa Taira la Mirembe. Sasa unazani anachoongea kina ukweli wowote zaidi akili zake zitakua zimeluka tu.
 
Kwani kuna ajabu gani? Mimi mwenyewe nilizaliwa siku ya Ijumaa na natamani nife siku ya Ijumaa. ...kwa waislam wanajua namaanisha nini.
 
Kwani kuna ajabu gani? Mimi mwenyewe nilizaliwa siku ya Ijumaa na natamani nife siku ya Ijumaa. ...kwa waislam wanajua namaanisha nini.

Hata mimi sioni ajabu. Lakini kutamani kufa ijumaa isije ikawa kama Mfalme JUHA.
 
Wewe mwenyewe ni Tahira la Mirembe. Kwahiyo hata unachouliza ni Utahira tu.

We ni punda kabisa.... Kosa la mtoa mada ni nini??? Kama huelewi si unapita tu... Mseeengerema wewe nyumbani kwetu pazuri... Karibu Mkuu..

Umekurupuka wewe. Haujajua unachoandika. Tahira la Mirembe ni jina lake wala mimi sijamtukana ila wewe ndo umenitukana. Labda niseme kuwa wewe ni FISI na Msengerema.

Mpumbavu mkubwa wewe

Wewe ni MATAKATAKA yaliyoshindikana na JIJI.

Hivi siku mkionana halafu mkajikuta mnafahamiana mtajisikiaje?
Yamewahi kuwakuta watu tena hapahapa JF tena mimi nikiwa shuhuda...mbaya zaidi kumbe walikuwa ndugu
 
Hivi kuzaliwa na kufa kipi kinatangulia?Unatangulia kufa ndio unazaliwa au unazaliwa ndio unakufa?

Maana sijamuelewa mtoa Masada kwenye heading alipoandika "Alikufa tar 24/7 na alizaliwa tar 24/7.

Nahisi mshangao zaidi wa mtoa maada upo kwenye "kufa na baadae kufufuka kwa marehemu"na sio tarehe.
 

Masada=maada
 
ayaaa, au huyu ndiyo yule aliyetabiriwa? nabii mwanafyale aliyekuja kuwaokoa weusi kutoka mawazo ya giza!....sujuduni.
 
Niliwahi kusikia sehem kuwa tarehe ya kuzaliwa na tarehe ya kufa huwa hazipishan sana! sikuwahi kulifuatilia nililipuuza.
 
Kwenye ulimwengu huu wa damu na Nyama hamna shida kwa sasa, lakini kwenye ulimwengu wa Roho, tafuta majibu hali Yako inaweza kuwa mbaya au Mzuri. Maneno aliyokunenea uyajui, inawezekana alitamka baraka ambayo huwezi kuidai au laana usiyoweza kuvunja maana hujui. Baada ya kutamkiwa maneno ndio mambo huuanza, tafuta majibu haraka kabla mambo hayajaenda mrama au ukapewa baraka ya mbuzi kulishwa majani na pumba kwa wingi wakati huu iliuchinjwe X-mass
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…