Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Duh inanikumbusha kitambo kidogo nilijikuta nipo kwenye urafiki na mrembo mmoja (sio wa kimapenzi) tulizoea na sana sana kwakuwa tulikuwa tunafanya kazi kwenye jengo moja, baadaye nikaona huu ni ubwege mkubwa, eti na urafiki na mtu ambaye siwezi kula tunda, nikajisemea ipo siku nitajikuta namuita shemeji hivi hivi, kwakuwa tulikuwa tumezoea na kiasi ambacho alikuwa anakuja getto na mimi naenda kwake, nikaona huu ni ujinga day moja alipokuja getto nikaomba mzigo, duh akataa kata kata kunipa papuchi tena akanuna kwelikweli, Dah nikaamua kumpoteza kiaina tunakutana tu lakini hatuongei sana kama zamani.

Nikaona ngoja nifanye igizo moja, alikuwa na rafiki yake hakuwa mzuri sana kisura kivile ila alikuwa very smart kichwani na usafi.

Day moja weekend niliomba tukutane Makambi la kuongea naye nikamwambia nitashukuru kama hata mwambia rafiki yake kwani jambo ninalotaka kuongea naye lina muhusu huyo rafiki yake.

Nakumbuka mpangilio wa maneno ya kutongoza, kinywaji, yeye akinywa wine, mimi Castle lager, kuku choma na baadaye kwenye mziki live pale Dar west ilifanikisha mimi kula tunda siku hiyo.

Closeness ikazidi kunyanduana kila weekend, jirani (rafiki yake au rafiki wa zamani) akajua mahusiano yetu wivu ukatamalaki wakavunja ushost, one day week jmosi rafiki wa zamani alikuwa na harusi ukumbi hauko mbali na ninapo ishi, alipotoka kwenye harusi tu kituo cha kwanza getto saa 6 usiku nasikia mtu anagonga huku nikiwa nimelala, kuamka na kufungua mtoto huyu hapa kapendeza balaa ila yupo nzuiiii kwa kilevi na machozi kwenye paja zake za uso, kuingia geto nikilio na kunishambulia kwa mangumi huku namuangalia tu.... kilichofuata ni historia na muendelezo wa kunyanduana kila mtu kwa wakati wake.
 
Inawezekana umewahi..!! Hivi Kapeace hujawahi fanya jambo la ajabu kisa nyeghe, halafu ukaja kujilaumu baadaye..?? Naongelea mazingira hayo..!! Yaani wakati zipo kwenye PEAK, unakuwa si wewe..!! Unaendeshwa na kifaa cha kunyandukia kwa kwenda mbele
Sio kugongewa kwangu hiyo hapana
 
Yani mtu wa namna hyo usimchekee kabisa kabisa.

Mimi hii ishawai nitokea, nilimtoa nduki na mvua ilikua ikinyesha hadi kufika kweny kigari chake nahisi alikua kaloa hadi mbupu.
Yan umemdarau kila kitu, gari saivi imekuwa kigari, yan daah, kisa tu alitaka mchezo... Haya sawa sawa....
 
......shida wanawake huwa hamzingatii sana usalama wenu, kwa kipindi cha mwanzo mwanzo wa date.....sio safe sana kwa mwanamke kwenda kiumeni sema tamaduni tu ndo zinalazimisha mtufuate home.....
Halafu hii sio date ni rafiki au ukaribu wa me na ke, ila mwanaume anataka kutumia kanafasi kujipatia kitobo, hapo ndo pagumu
 
Mmh kapece kweli mama🤣🤣🤣😂😂😂 unakataa ofa ya pesa??????Au ni kwa sababu tupo hapa JF🤣🤣🤣🤣

Mbinu za kibabe karne hii ni pesa,vingine ni kupoteza mda.
Kwahiyo unataka nianze kujing'ata hapa jukwaani, 🤣🤣 pesa sio chambo kwa wanawake wote
 
Mahusiano hayalazimishwi, uanaume maana yake ukikataliwa unamove on na unakuwa na nguvu eidha kuvunja urafiki au kuamua tu kumweka mwanamke kwenye friend zone .
Mwanaume lazima awaze mafanikio, hayo ya mbususu sio ya kuiweka kipaumbele.
Mbususu ndo ilimuangusha Samsoni, Yusufu Kwa kutokuwa na tamaa na mbususu alipandishwa juu na kuwa wa pili Kwa farao .
Kuna siku nilileta Uzi hapa nikauliza ni jinsi gani nitafanya marafiki zangu wa kike kwenye mishemishe wasiishie kuwa wapenzi wangu maana wengi mwishowe huwa wananipenda na hii inapelekea mkikorofishana mnapoteza uchumba hadi urafiki mliokuwa nao kwa muda mrefu na wengine unkuwa unafanya nao dili za hela, ajabu wanawake hawahawa wakaanza kusema ooh wewe mgonjwa leo huyu analalamika, then kuna watu wanawekeza sana kwenye sex akilala akiamka anawaza atafute demu akamzagamue
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.

Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani.
Binasi sinaga urafiki huo zaidi ya kuomba unipe kipochi chako, nakula na kuendelea kula ukiniomba pesa ndo umenipa talaka, inabaki historia .
 
Back
Top Bottom