Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wanawake wote huwa wanajifanyaga hard to get..!! Ngoja kwanza niteme kibrokeni changu..! To me, to get is to get, be it hard or soft way..!! The end result is to get..!!!Unajifanya hard to get ww!!
......shida wanawake huwa hamzingatii sana usalama wenu, kwa kipindi cha mwanzo mwanzo wa date.....sio safe sana kwa mwanamke kwenda kiumeni sema tamaduni tu ndo zinalazimisha mtufuate home.....😂😂Hapana hata ke kugongewa kwake ni kujidharau sifanyi huo ujinga
Sio kugongewa kwangu hiyo hapanaInawezekana umewahi..!! Hivi Kapeace hujawahi fanya jambo la ajabu kisa nyeghe, halafu ukaja kujilaumu baadaye..?? Naongelea mazingira hayo..!! Yaani wakati zipo kwenye PEAK, unakuwa si wewe..!! Unaendeshwa na kifaa cha kunyandukia kwa kwenda mbele
Mbinu za kibabe karne hii ni pesa,vingine ni kupoteza mda.Mbinu yako ishayumba, haijanishtua kabisa, muhimu mjifunze kutongoza mkachukue mbinu za kibabe kwa baba na babu zenu
Wewe sio kwa wahuni kama mimi, huwezi kunifukuza nakupiga pumbu na kulala nalala na chai asubuhi utaniandalia fresh bila kinyongo.
Yan umemdarau kila kitu, gari saivi imekuwa kigari, yan daah, kisa tu alitaka mchezo... Haya sawa sawa....Yani mtu wa namna hyo usimchekee kabisa kabisa.
Mimi hii ishawai nitokea, nilimtoa nduki na mvua ilikua ikinyesha hadi kufika kweny kigari chake nahisi alikua kaloa hadi mbupu.
Halafu hii sio date ni rafiki au ukaribu wa me na ke, ila mwanaume anataka kutumia kanafasi kujipatia kitobo, hapo ndo pagumu......shida wanawake huwa hamzingatii sana usalama wenu, kwa kipindi cha mwanzo mwanzo wa date.....sio safe sana kwa mwanamke kwenda kiumeni sema tamaduni tu ndo zinalazimisha mtufuate home.....
...... haahaahaa kwamba umeshtuka, ngoja na mimi nije na mkakati kabambe na mbinu mtambuka, am sure utanielewa tu.....Mbinu yako ishayumba, haijanishtua kabisa, muhimu mjifunze kutongoza mkachukue mbinu za kibabe kwa baba na babu zenu
Kwahiyo unataka nianze kujing'ata hapa jukwaani, 🤣🤣 pesa sio chambo kwa wanawake woteMmh kapece kweli mama🤣🤣🤣😂😂😂 unakataa ofa ya pesa??????Au ni kwa sababu tupo hapa JF🤣🤣🤣🤣
Mbinu za kibabe karne hii ni pesa,vingine ni kupoteza mda.
Labda mniroge🤣🤣...... haahaahaa kwamba umeshtuka, ngoja na mimi nije na mkakati kabambe na mbinu mtambuka, am sure utanielewa tu.....
Hebu picha ako nikuone.Ana bahati!
Kuna wengine tukikaa na mtu wa jinsi tofauti kwa muda kidogo (ambaye sio ndg) mkiwa wawili, unashangaa ashaanza kutamani kukushika shika!😔
Ni kama aliyebanwa kuhara, yaani umbali mdogo tu anaweza akachafua boxer/chupi..!! Umeshikwashikwa ukiwa kwako, ukatomaswa vilivyo, ute huooooooo..!! We Kapeace usindanganye banaaa..!!Sio kugongewa kwangu hiyo hapana
Kuna siku nilileta Uzi hapa nikauliza ni jinsi gani nitafanya marafiki zangu wa kike kwenye mishemishe wasiishie kuwa wapenzi wangu maana wengi mwishowe huwa wananipenda na hii inapelekea mkikorofishana mnapoteza uchumba hadi urafiki mliokuwa nao kwa muda mrefu na wengine unkuwa unafanya nao dili za hela, ajabu wanawake hawahawa wakaanza kusema ooh wewe mgonjwa leo huyu analalamika, then kuna watu wanawekeza sana kwenye sex akilala akiamka anawaza atafute demu akamzagamueMahusiano hayalazimishwi, uanaume maana yake ukikataliwa unamove on na unakuwa na nguvu eidha kuvunja urafiki au kuamua tu kumweka mwanamke kwenye friend zone .
Mwanaume lazima awaze mafanikio, hayo ya mbususu sio ya kuiweka kipaumbele.
Mbususu ndo ilimuangusha Samsoni, Yusufu Kwa kutokuwa na tamaa na mbususu alipandishwa juu na kuwa wa pili Kwa farao .
Binasi sinaga urafiki huo zaidi ya kuomba unipe kipochi chako, nakula na kuendelea kula ukiniomba pesa ndo umenipa talaka, inabaki historia .Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani.
Acha uongo weweSometimes there are more important things in life than XXX.
.......kulogana mbali aisee, btw ni ngumu kumloga mtu usiemuona, ntaandaa utaratibu tuonane then baada ya hapo kwakweli mwenyewe hutaamini imekuaje.....Labda mniroge🤣🤣
Tusimwage mchele kwenye kuku wengi🤣🤣🤣🤣😂😂Kwahiyo unataka nianze kujing'ata hapa jukwaani, 🤣🤣 pesa sio chambo kwa wanawake wote