Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana bahati!
Kuna wengine hadi tunahisi huenda ni 'pepo' maana tukikaa na mtu wa jinsi tofauti kwa muda kidogo mambaye sio ndg mkiwa wawili, unashangaa ashaanza kutamani kukushikashika!wewe
What if huishi nae?Huu urafiki wa mwanamke kukaribisha mwanaume kwake haijawahi nikuta 😀
Ila kifupi mwanangu wa kike akaribishe kijamaa ghetto au aende ghetto lazima ale makofi ya kutosha 🤬
Wewe sio kwa wahuni kama mimi, huwezi kunifukuza nakupiga pumbu na kulala nalala na chai asubuhi utaniandalia fresh bila kinyongo.Yani mtu wa namna hyo usimchekee kabisa kabisa.
Mim hii ishawai nitokea, nilimtoa nduki na mvua ilikua ikinyesha hadi kufika kweny kigari chake nahisi alikua kaloa hadi mbupu.
Yani ulete uhuni nyumbani kwangu 😂😂😂Wewe sio kwa wahuni kama mimi, huwezi kunifukuza nakupiga pumbu na kulala nalala na chai asubuhi utaniandalia fresh bila kinyongo.
scenario zangu zote nikiwa na taarifa. Nisizo na taarifa sijazizungumziaWhat if huishi nae?
Utajuaje kakaribisha au kaenda getto kwa msela?
Mlichopewa na Mungu, kumnyima mwanaume dhambiYani mtu wa namna hyo usimchekee kabisa kabisa. Mim hii ishawai nitokea, nilimtoa nduki na mvua ilikua ikinyesha hadi kufika kweny kigari chake nahisi alikua kaloa hadi mbupu.
Nilichopewa si sanamu la Michelin kwamba kila mtu atataka aone linafanana vip.Mlichopewa na Mungu ,kumnyima mwanaume dhambi
Safi,ibaki kwa ajili yangu ex,wagombanao ndio wapatanaoNilichopewa si sanamu la Michelin kwamba kila mtu atataka aone linafanana vip.
Wewe ndo hujielewi..
Yaani mwanaume unamkaribisha Hadi kwako ili iweje kama humtaki?
Yawezekana unasema hutaki huku unabana bana pua na kumfanya jamaa ahisi unaleta sitaki nataka
😂😂X nenda salamaSafi,ibaki kwa ajili yangu ex,wagombanao ndio wapatanao