Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Angemwambia ukweli tu ajue mipaka yake na hupasw kumwambia unamuheshimu au😀😀Useme ukweli tu kwamba HAUNA HISIA naye za kimapenzi sio una mheshimu maana ata Wanawake walioolewa wanaheshimu waume zao
Anafaidi hivyo dah,bagamoyo sio mbali,naloga mtu😂😂X nenda salama
Mwenzako nampa nyama anaila hata kama ikiwa mbichi.
Useme ukweli tu kwamba HAUNA HISIA naye za kimapenzi sio una mheshimu maana ata Wanawake walioolewa wanaheshimu waume zao
😀😀😀Angemwambia ukweli tu ajue mipaka yake na hupasw kumwambia unamuheshimu
Yap kabisa halafu wajuba WENGI ATUOGOPAGI REJECTION NI BORA UMWAMBIE MTU. UKWELI AJIONGEZE KULIKO UMCHEZEE AKILI YAKE YAAN UWE UNA MUHITAJI KWA ATTENTION MI NAFIKIRI AMWBIE UKWELI SINA HISIA NA WEWE ,HUYO JAMAA ATAMUELEWA USIKUTE KUNA WENGINE WAKO PEndinG ILA KWA KUWA KAMKUBALI SANA YEYE ILI JAMAA AWEZE KU MOVE ON ,😀😀😀Angemwambia ukweli tu ajue mipaka yake na hupasw kumwambia unamuheshimu au😀😀
Tena mengine yameoa kabisa, unakuta linajiliza ooh mke wangu ananibania nina mwezi sijafanya nihurumie😂😂😂ufyoko fyoko tu, kale ulikotoa mahari aisee tusizoeane, mbaafuNi upumbavu yani mtu asipoiheshimu nyumba ako mtimue.
Haiwezekan litoke huko na nyege zake ety lizilete kwangu fukuza kabisa.
Hmm.. Kwa nguvu kweli alikosea, lakini kosa linaanza pale ulipokubali kupokea vitu vyake au wewe bado mtoto hukujua utatoa nini?Kwahiyo, kama amewahi kutoa hela au zawadi, ndio kigezo cha kutaka mapenzi kwa nguvu?
😂😂😂😂🙌Tena mengine yameoa kabisa, unakuta linajiliza ooh mke wangu ananibania nina mwezi sijafanya nihurumie😂😂😂ufyoko fyoko tu, kale ulikotoa mahari aisee tusizoeane, mbaafu
Na utakuta mwingine anapewa bureWell said
Utakuta amemtamanisha mwamba. Tamaa zikamjaa. Kisha akambania.
Sio Sawa hii
Dada jishikilie hapohapo kuna type bado hujakutana nazo. Inaweza fika asubuhi unatamani kuloweka nguo zangu nisiondoke.Yani ulete uhuni nyumbani kwangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi utakua unaota bro tena ndoto za mchana.
Umeona ee!Tena mengine yameoa kabisa, unakuta linajiliza ooh mke wangu ananibania nina mwezi sijafanya nihurumie😂😂😂ufyoko fyoko tu, kale ulikotoa mahari aisee tusizoeane, mbaafu
Nini wewe legea watu wapige kipapa hicho.Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake..
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani...
Ni kweli, liliumbwa kwa ajili ya someone special sema nyege ndo zinaharibu mpango wa Mungu.Nilichopewa si sanamu la Michelin kwamba kila mtu atataka aone linafanana vip.
Sio wanaume tu hata wanawake mnachukia tena mwanamke anachukua vibaya ukigoma kumkaza yaan anafura kwanin umemgomea ishanikuta mara nyingi hii,Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake..
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani...
Hata bongo wa hivyo wapo.Wanawake wa kiafrika bana... dahh! Complication nyingiiiiiii!.... kujishaua kwingiiiiiii!... mnajifanyaga mnajielewa kinyama kumbe mapopoma tu 😂
Angekuwa mtoto wa kitasha hapo... fasta mshakulana na urafiki unaendelea ila mkiwashwa mnakunana kama kawa! Rudi kwa hawa mazwazwa sasa ndo yanakimbiliaga huku kumwaga mchele
Mxiiiieeeeew! 😒😣😏
Umesema vzuri kabisaNi kweli, liliumbwa kwa ajili ya someone special sema nyege ndo zinaharibu mpango wa Mungu.
By the way sio uungwana na sio uanaume kwenda kufanya mavitu kwenye nyumba ya mwanamke, kama unampenda unamuambia unamualika ghettoni kwako, Kwa suala hili wanawake waliosimamia wako sahihi.
Nyumbani kwangu lazima kuwe na mipaka.Dada jishikilie hapohapo kuna type bado hujakutana nazo. Inaweza fika asubuhi unatamani kuloweka nguo zangu nisiondoke.
Ila mimi sio muhuni ila nazijua codes[emoji23]