Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Useme ukweli tu kwamba HAUNA HISIA naye za kimapenzi sio una mheshimu maana ata Wanawake walioolewa wanaheshimu waume zao
😀😀😀Angemwambia ukweli tu ajue mipaka yake na hupasw kumwambia unamuheshimu
😀😀😀Angemwambia ukweli tu ajue mipaka yake na hupasw kumwambia unamuheshimu au😀😀
Yap kabisa halafu wajuba WENGI ATUOGOPAGI REJECTION NI BORA UMWAMBIE MTU. UKWELI AJIONGEZE KULIKO UMCHEZEE AKILI YAKE YAAN UWE UNA MUHITAJI KWA ATTENTION MI NAFIKIRI AMWBIE UKWELI SINA HISIA NA WEWE ,HUYO JAMAA ATAMUELEWA USIKUTE KUNA WENGINE WAKO PEndinG ILA KWA KUWA KAMKUBALI SANA YEYE ILI JAMAA AWEZE KU MOVE ON ,
 
Tena mengine yameoa kabisa, unakuta linajiliza ooh mke wangu ananibania nina mwezi sijafanya nihurumie😂😂😂ufyoko fyoko tu, kale ulikotoa mahari aisee tusizoeane, mbaafu
Umeona ee!
Yaani wanatakaga kugeuza wenzao uwanja wa mazoezi...mechi wanacheza kwingine.🤣🤣
Unamfurusha kama mwizi
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake..
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani...
Nini wewe legea watu wapige kipapa hicho.
 
Nilichopewa si sanamu la Michelin kwamba kila mtu atataka aone linafanana vip.
Ni kweli, liliumbwa kwa ajili ya someone special sema nyege ndo zinaharibu mpango wa Mungu.
By the way sio uungwana na sio uanaume kwenda kufanya mavitu kwenye nyumba ya mwanamke, kama unampenda unamuambia unamualika ghettoni kwako, Kwa suala hili wanawake waliosimamia wako sahihi.
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake..
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani...
Sio wanaume tu hata wanawake mnachukia tena mwanamke anachukua vibaya ukigoma kumkaza yaan anafura kwanin umemgomea ishanikuta mara nyingi hii,
 
Wanawake wa kiafrika bana... dahh! Complication nyingiiiiiii!.... kujishaua kwingiiiiiii!... mnajifanyaga mnajielewa kinyama kumbe mapopoma tu 😂

Angekuwa mtoto wa kitasha hapo... fasta mshakulana na urafiki unaendelea ila mkiwashwa mnakunana kama kawa! Rudi kwa hawa mazwazwa sasa ndo yanakimbiliaga huku kumwaga mchele


Mxiiiieeeeew! 😒😣😏
 
Wanawake wa kiafrika bana... dahh! Complication nyingiiiiiii!.... kujishaua kwingiiiiiii!... mnajifanyaga mnajielewa kinyama kumbe mapopoma tu 😂

Angekuwa mtoto wa kitasha hapo... fasta mshakulana na urafiki unaendelea ila mkiwashwa mnakunana kama kawa! Rudi kwa hawa mazwazwa sasa ndo yanakimbiliaga huku kumwaga mchele


Mxiiiieeeeew! 😒😣😏
Hata bongo wa hivyo wapo.
Wanaitwa cha wote au changu doa...
Unaweza tu kuwafuata.
But once it comes to friendship, rules & laws shall be applied!
 
Ni kweli, liliumbwa kwa ajili ya someone special sema nyege ndo zinaharibu mpango wa Mungu.
By the way sio uungwana na sio uanaume kwenda kufanya mavitu kwenye nyumba ya mwanamke, kama unampenda unamuambia unamualika ghettoni kwako, Kwa suala hili wanawake waliosimamia wako sahihi.
Umesema vzuri kabisa
 
Back
Top Bottom