Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Kwani mwenzako akikufungukia anaomba mambo flani ndo ameku-direspect?! Dahh! Wanawake wa kiafrika bana 🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️
Inategemea na connection uliyotengeneza.
Ukitengeneza ya friend zone imekula kwako.
The first approach ndo inaamua Kila kitu.
 
Kwani mwenzako akikufungukia anaomba mambo flani ndo ameku-direspect?! Dahh! Wanawake wa kiafrika bana 🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️
Hivi ww ungekua mwanamke ungeweza kupeana mbususu yako kwa kila anaekuomba?
Eeh ndio wanawake wa kiafrika kumbe hao wa kizungu wanagongwa na kila anaewaomba.
Basi hongera zao.
 
Back
Top Bottom