Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Nimeandika zaidi ya mara tano lakini nafuta.
Anyway kwaufupi tu;
MWANAMKE ACHA KULA PESA NA KUPOKEA ZAWADI KWA MWANAUME AMBAE HAUPO TAYARI KUMPA.
Vyake unavitaka ila akikuomba unatia tia huruma ety ooooh namuheshimu pumbaf, mbona pesa zake huziheshimu
 
Nimeandika zaidi ya mara tano lakini nafuta.
Anyway kwaufupi tu;
MWANAMKE ACHA KULA PESA NA KUPOKEA ZAWADI KWA MWANAUME AMBAE HAUPO TAYARI KUMPA.
Vyake unavitaka ila akikuomba unatia tia huruma ety ooooh namuheshimu pumbaf, mbona pesa zake huziheshimu

Sasa unaendaje? Kukodi shamba usiloweza kulilima
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake..
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani...
Urafiki bila K wanini?
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake..
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani...
🙂Mambo ya wahindi atuwezi😂
Kama nyie msivoweza urafiki bila ela
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake..
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani...
Na wewe hela zake usimuombe
 
Back
Top Bottom