Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.

Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani.
Urafiki kati ya mwanamke na mwanaume unajengwa vizuri na mbususu
 
Shida ni nyie wanawake, toka mnaanza kufahamiana lazima uwe na mipaka ili mtu ajue mapema. Mnaanza mapema na viutani vya mapenzi, chats za mahaba, some outing then mtu anaanza kuingiza gia unasema ulitaka urafiki wa kawaida! How?

Urafiki wa kawaida ni kwenye kazi na si ziada, shule na si ziada, ujirani si ziada! Me na Ke mkiwa karibu hadi ku socialise hapo akitokea mmoja wapo kujiongeza hasira za nini? Sasa ukimchomolea itaishaje ni namna mtu alivyo na jinsi ulivyomtolea nje. Kama mtu aliwekeza muda na rasilimali alafu baadae unambetua kirahisi lazima ajione fala akasirike [emoji1787]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.

Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani.
We unaweza kujenga urafiki na mwanaume bila kumuomba omba hela? 😀
 
Na wewe usile vyake..ulivyokuwa unakula pesa zake hukujua ameoa?? Lazima ulipie gharama.. Kama humtaki mtu achana naye acha kumfanya zoba Halfu ifike siku uzinguee.. moto utapelekewa tu. Hata kiubishibish utaonyesha ushirikiano mbele y safar
Hivi mnavyosema kula vyake, vyake vipi, siishi kwa kudanga eti
wanaume wengi wa sasa hamjui kutongoza yani uje uniambie ooh mke wangu hanipi nina mwezi halafu buuuh na mimi nikupe😂😂, mkeo hakupi sababu hujui kufanya, mkeo hakupi sababu huna nguvu, mkeo hakupi sababu sio mtamu,

Na ukisema anakupa ila unataka na mimi nikupe nitakushauri uende ukaombewe😂
 
Sasa hasira zake zinakuhusu nini mpaka utusimulie huku? Sema na wewe unamtaka na kukasirika kwake kunakuuma, we mpe tu hiyo mnato asugue umalize hasira. Kwani we bikra aisee?
 
......nitoe uhauri tu Kwa wanawake hapa ifike wakati wasione kama kila mwanaume ni kama babaake au mamaake ambae anaweza kumpa kitu chochote kama zawadi for free, si kila mwanaume ndugu yake ambaye anaweza kumuomba chochote na akapata for free......
.......wanawake wamejijengea kautaratibu ka wizi na utapeli kwa wanaume kwa kutumia kigezo cha hisia za kimapenzi alizonazo mwanaume kwake(hii Sasa hivi inatambulika kwenye dawati la jinsia kama 'unyanyasaji wa kiuchumi wa wanawake dhidi ya wanaume'), I can assure you huyu mtoa mada toka mwanzo wanakutana sio kwamba hakujua kuwa Jamaa ana hisia nae kimapenzi, la hasha alijua na aliona ni fursa ya kunufaika..........
....utaratibu walio nao wanawake ni ile kwamba akitokea mwanaume ameonyesha interest kwake, wanachofanya kama hajakupenda wanakutumia kula mali na fedha zake, na kwamba ikitokea umemuomba mapenzi anasingizia kwamba we ni rafiki na anakuheshimu as if wapenzi wao wanaowapa mapenzi hawawaheshimu....
.........na hili wanawake wale mashosti huwa wanaelezana kabisa kwamba kama mwanaume anajileta kwako we kula wala usikatae ofa wala zawadi ila akitaka papuchi mwambie we rafiki ninaekuheshimu, na pia ikitokea mwanamke ana hisia na huyo mwanaume, haya yote huwezi kuyasikia na mwanamke ataipeleka papuchi ye mwenyewe na pia wanaweza kumalizana nyumbani kwa mwanamke kiroho safi kabisa bila hata ya maneno kwamba ooh! huniheshimu au hupaheshimu nyumbani kwangu, na pia huwezi kuona nyuzi za lawama humu.......
.........nb: mwanaume ukishaona dalili za kutokubalika kwa mwanamke ondoka mapema usiingize hasara zaidi, mwanamke atambue kwamba hakuna cha bure, wanaume wengine wakikosa papuchi lazima walipe kisasi kufidia gharama zao i.e. kubakwa, kulawitiwa, kupigwa na pengine kuuwawa.......
 
Back
Top Bottom