Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Hivi huwa wanafanya kusudi kupima msimamo wa mtu?

Lakini...kwanini atengeneze uadui pale anapokataliwa?
Daah umenichekesha sana mambo ya kwenye movie zile za kutafsiriwa unataka ziwe kweli hakuna urafiki wa Simba na Swala hata siku moja hata simba akiwa kashiba swala watakimbia tu ukiona swala anataka kutengeneza urafiki na Simba bila kuliwa Simba atakasirika mno...
 
Kwa hela ipi mko nazo nyie waume za watu, mna majukumu chungu nzima, mtulie na wake zenu ndo mliowachagua
Ila uliomba hela dada akakunyima ndio ukamumaindi.Sisi wanaume hata kama hatuna familia majukumu yapo tu.Lakini kama wewe sio ndugu yangu,basi ujue ukila pesa yangu nawe jiandae kuliwa ili kuboresha urafiki wetu
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.

Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani.
Kweni nyie ni dada zetu? Upendo uliomaanishwa ni wa kufanya mapenzi na kusonga mbele kua mke na mume yamkini, sasa unaleta pozi kweni we ni dada yake? Dunia ina watu B8 na ukileta mbwembwe mtu anaondoka utabaki unalalamika, utajua mwenyewe
 
Ila uliomba hela dada akakunyima ndio ukamumaindi.Sisi wanaume hata kama hatuna familia majukumu yapo tu.Lakini kama wewe sio ndugu yangu,basi ujue ukila pesa yangu nawe jiandae kuliwa ili kuboresha urafiki wetu
Sina tabia hiyo ya kuomba omba hela za watu, unakuta ni jirani ama mteja, kuna ule ukaribu sasa siku anaamua kujitoa ufahamu ndo hapo ni kuwafukuza tu, hapa ofisini nilishafukuza wengi tu sitaki shobo
 
Sina tabia hiyo ya kuomba omba hela za watu, unakuta ni jirani ama mteja, kuna ule ukaribu sasa siku anaamua kujitoa ufahamu ndo hapo ni kuwafukuza tu, hapa ofisini nilishafukuza wengi tu sitaki shobo
Sasa ulikosea kumwita nyumbani kwako,sisi wanaume ukinialika kwako najua una hisia na mimi ila umeshindwa kuongea.
 
Mtulie makwenu ndo machaguo yenu msituchoshe, ila wanaume ni wajinga sana especially waume za watu wanaotongoza kwa gia hiyo, ya mke hanipi na usoni anajivalisha sura ya huruma🤣 kama yatima
Hii gia inaitwa""Mwana Ngendeka""ilianzishwa na wanaume mwaka 1995 baada ya mkutano wa wanawake pale Beijing🤣🤣😂😂
 
Back
Top Bottom